NAPE NNAUYE: ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2015-2020 IKO TAYARI
Ndugu Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM akitolea ufafanuzi mambo mbalimbali kwa waandishi wa habari wakati akizungumza nao kwenye mkutano uliofanyika CCM Lumumba jijini Dar es salaam.
Ndugu Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM akiionyesha ilani ya uchaguzi iliyopitishwa jana na Halmashauri Kuu ya CCM mjini Dodoma.
Hii ndiyo Ilani yenyewe.
Baadhi ya waandishi wa habari wakiwa kwenye mkutano huo.
Baadhi ya wapiga picha vyombo mbalimbali vya habari wakichukua matukio katika...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/248.jpg)
NAPE NNAUYE:ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2015-2020 IKO TAYARI
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-dwIpE_Wlqd4/XuNIhyic_II/AAAAAAACNEM/_hXoLYwtjfkVHtfqDVRRlCfPtI-mawsowCLcBGAsYHQ/s72-c/MBUNGE2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PREf2LnUxEU/XuobkqB7WjI/AAAAAAALuPQ/sw-CMhavQnIwfKylieP0YEclPpOzp7LWQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200616_164101_872%2B%25281%2529.jpg)
BAADHI YA CHANGAMOTO ZILIZOTATULIWA KATIKA UTEKELEZAJI WA ILANI YA UCHAGUZI YA 2015-2020
Diwani aliyemaliza muda wake wa kata ya Tumbi wilayani Kibaha mkoa wa Pwani Hemed Mnkai Chanyika akiwasilisha taarifa ya utekelezaji ilani ya uchaguzi ya mwaka 2015-2020 ameeleza kuwa katika kipindi chake cha uongozi amefanikiwa kutatua changamoto mbalimbali za wananchi ikiwemo miundombinu ,elimu,Afya,maji
michezo na ardhi.
Ameeleza hayo Jana Kibaha kuwa katika kusimamia tatizo la ajira kwa vijana aliweza kutoa mikopo mbalimbali kwa vijana,ili waweze kujiajiri na hivyo...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pyiHVOH_F3I/VlghVQrwILI/AAAAAAAIIl4/28Ch93S6DUA/s72-c/67c4c2e5-52a2-4543-827f-28bef657c4ba.jpg)
CCM imethibitisha kuwa iko tayari endapo uchaguzi huo utapangwa tena na si vyenginevyo - Balozi Seif Ali Iddi
![](http://4.bp.blogspot.com/-pyiHVOH_F3I/VlghVQrwILI/AAAAAAAIIl4/28Ch93S6DUA/s640/67c4c2e5-52a2-4543-827f-28bef657c4ba.jpg)
5 years ago
MichuziMBUNGE AYSHAROSE MATTEMBE ATOA TAARIFA YA ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2O15-2020
Wajumbe wa Baraza la Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Wilaya ya Singida Mjini, wakimpongeza Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) Mkoa wa Singida, Aysharose Mattembe (kulia) kwa utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya mwaka 2015-2020.
Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Singida, Alexandrina Katabi, akizungumza katika mkutano huo.
Katibu wa UWT Singida Mjini, Maimuna Likunguni, akiendesha mkutano huo.
Mkutano ukiendelea.
Katibu wa UVCCM Mkoa wa Singida, George Silindu,...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ariyWCwqBYY/XueJmllh2vI/AAAAAAACNfs/2jm3cgb28UIEfRxy11-Y5DxJX793K4sAACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200615_174257.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-3-tMn9dIxv8/Xu7oiPcLLfI/AAAAAAACNxk/xygWFcGpoCcpKAPkfaNe5dEF2WsAiK-KACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM NA AHADI ZA MBUNGE JIMBO LA CHALINZE 2015-2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-3-tMn9dIxv8/Xu7oiPcLLfI/AAAAAAACNxk/xygWFcGpoCcpKAPkfaNe5dEF2WsAiK-KACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-0mjVARgO858/Xu7oqL7NIzI/AAAAAAACNxo/ir1qEbAGfwcMPbWc1gnG5JmmTzLdi_I-ACLcBGAsYHQ/s400/Screenshot_2020-06-20_232132.jpg)
Mwaka 1995 Serikali ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia Gazeti lake la Serikali ilitangaza jimbo jipya
la Uchaguzi la Chalinze lenye Kata 15 katika Wilaya ya Bagamoyo, Mkoa wa Pwani.
Katika kipindi cha Miaka ishirini na mitano (25) toka kuanzish￾wa kwa jimbo hili la uchaguzi, tumeshuhudia maendeleo makubwa.
Pamoja na maendeleo yaliyopatikana katika kipindi hicho,...
10 years ago
VijimamboRais Kikwete aongoza kikao kujadili Ilani ya CCM 2015-2020 Dodoma
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-jMg4QSuBj5Q/XuYbQXlle4I/AAAAAAACNSQ/ZJ3PJtdfKjw2gguSy6HyreHEgcmekSvWQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-6c9e2577d6.png)