Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shule ya walemavu wa akili hoi kifedha

SHULE ya Msingi Maalumu ya Walemavu wa akili iliyoko katika Kijiji cha Mjimpya Wilayani Tandahimba, Mkoa wa Mtwara inakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo ukosefu wa fedha za kuendeshea shule hiyo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Tanzania iko hoi kifedha, asema CAG

Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utoh amesema kuwa Serikali ya Tanzania iko hoi kifedha hivyo Bunge na Serikali lazima wajitathmini.

 

11 years ago

Mwananchi

TAMH: Walemavu wa akili wanadhalilishwa kingono

>Ingawa kuna usemi kuwa binadamu wote ni sawa, na kwamba wana haki ya kuheshimiwa, kupendwa na hata kulindwa, imebainika kuwa watu wenye ulemavu wa akili wanakosa haki hizo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uandikishaji walemavu shule waongezeka

UANDIKISHAJI wa watoto wenye ulemavu katika shule za msingi wilayani Kilombero umeongezeka kutoka watoto 131 mwaka 2012 hadi watoto 160 mwaka jana. Hayo yamo kwenye taarifa ya utafiti wa pili...

 

10 years ago

Habarileo

Shule ya walemavu Buhangija yaelemewa na changamoto

SHULE ya watoto wenye ulemavu ya Buhangija Jumuishi inakabiliwa na changamoto kubwa zinazofanya maisha kwa watoto hao kuwa magumu.

 

11 years ago

Michuzi

shule ya msingi kibamba yapata kitengo cha wenye ulemavu wa akili

Kitengo (madarasa) cha wanafunzi wenye ulemavu wa akili, shule ya msingi kibamba. Kitengo kimejengwa na Bw Rupin Rajani wa Rajani Group kupitia DSM Mentally Handicapped Children Support Group. Kibao kinacho onesha wafadhili wa kitengo hiki. Bw. Rupin Rajani na wanachama wa DSM Mentally Handicapped Children Support Group nje ya darasa moja wapo. Bw. Rupin Rajani ndani ya darasa lenye wanafunzi wenye ulemavu wa akili katika shule ya msingi Kibamba, pamoja na waalimu wa elimu maalum na Mama...

 

10 years ago

Dewji Blog

Shule ya walemavu Buhangija Jumuishi yaelemewa na changamoto

DSC_0162

Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Zulmira Rodrigues akimsikiliza kwa makini Mkuu wa kitengo cha watoto walemavu shule ya msingi Buhangija Jumuishi ya mkoani Shinyanga Mwl. Loyce Daudi aliyekuwa akimwelezea changamoto mbalimbali walizonazo shuleni hapo.(Picha na Zainul Mzige).

Na MOblog, Shinyanga

SHULE ya watoto wenye ulemavu ya Buhangija Jumuishi inakabiliwa na changamoto kubwa zinazofanya maisha kwa watoto hao...

 

9 years ago

Habarileo

TEA watumia bil 2/- kusaidia shule za walemavu

MAMLAKA ya Elimu Tanzania (TEA) imetumia zaidi ya sh bilioni 1.83 kwa ajili ya kusaidia shule na vyuo vyenye watu wenye ulemavu katika kipindi cha miaka mitatu.

 

10 years ago

GPL

SHULE YA WALEMAVU BUHANGIJA JUMUISHI YAELEMEWA NA CHANGAMOTO‏

Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Zulmira Rodrigues akimsikiliza kwa makini Mkuu wa kitengo cha watoto walemavu shule ya msingi Buhangija Jumuishi ya mkoani Shinyanga Mwl. Loyce Daudi aliyekuwa akimwelezea changamoto mbalimbali walizonazo shuleni hapo.(Picha na Zainul Mzige). Mkuu wa kitengo cha watoto walemavu shule ya msingi Buhangija Jumuishi ya...

 

10 years ago

GPL

BASI LA WANAFUNZI WALEMAVU SINZA LAKAMATWA, WASHINDWA KWENDA SHULE

Mwalimu Mkuu Msaidizi, Gabriel Mselemu, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani). Walimu wakiwa darasani na wanafunzi wawili.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani