Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uandikishaji walemavu shule waongezeka

UANDIKISHAJI wa watoto wenye ulemavu katika shule za msingi wilayani Kilombero umeongezeka kutoka watoto 131 mwaka 2012 hadi watoto 160 mwaka jana. Hayo yamo kwenye taarifa ya utafiti wa pili...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Uandikishaji shule za msingi wafika pazuri

WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa, amesema uandikishaji wa watoto katika elimu ya msingi nchini umefikia asilimia 96.2. Dk. Kawambwa alitoa kauli hiyo jijini Dar es...

 

11 years ago

Mwananchi

Mfumo mpya wa uandikishaji sekondari utazisaidia shule binafsi?

Kwa mujibu wa taarifa kwa umma iliyotolewa hivi karibuni na Tamongsco, kupitia utaratibu huo waliouita shirikishi, kamati maalumu imeundwa kusimamia uandikishaji wa wanafunzi katika shule za umma na zile binafsi.

 

10 years ago

Habarileo

Shule ya walemavu Buhangija yaelemewa na changamoto

SHULE ya watoto wenye ulemavu ya Buhangija Jumuishi inakabiliwa na changamoto kubwa zinazofanya maisha kwa watoto hao kuwa magumu.

 

10 years ago

Habarileo

Shule ya walemavu wa akili hoi kifedha

SHULE ya Msingi Maalumu ya Walemavu wa akili iliyoko katika Kijiji cha Mjimpya Wilayani Tandahimba, Mkoa wa Mtwara inakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo ukosefu wa fedha za kuendeshea shule hiyo.

 

9 years ago

Habarileo

TEA watumia bil 2/- kusaidia shule za walemavu

MAMLAKA ya Elimu Tanzania (TEA) imetumia zaidi ya sh bilioni 1.83 kwa ajili ya kusaidia shule na vyuo vyenye watu wenye ulemavu katika kipindi cha miaka mitatu.

 

10 years ago

Dewji Blog

Shule ya walemavu Buhangija Jumuishi yaelemewa na changamoto

DSC_0162

Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Zulmira Rodrigues akimsikiliza kwa makini Mkuu wa kitengo cha watoto walemavu shule ya msingi Buhangija Jumuishi ya mkoani Shinyanga Mwl. Loyce Daudi aliyekuwa akimwelezea changamoto mbalimbali walizonazo shuleni hapo.(Picha na Zainul Mzige).

Na MOblog, Shinyanga

SHULE ya watoto wenye ulemavu ya Buhangija Jumuishi inakabiliwa na changamoto kubwa zinazofanya maisha kwa watoto hao...

 

10 years ago

GPL

SHULE YA WALEMAVU BUHANGIJA JUMUISHI YAELEMEWA NA CHANGAMOTO‏

Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Zulmira Rodrigues akimsikiliza kwa makini Mkuu wa kitengo cha watoto walemavu shule ya msingi Buhangija Jumuishi ya mkoani Shinyanga Mwl. Loyce Daudi aliyekuwa akimwelezea changamoto mbalimbali walizonazo shuleni hapo.(Picha na Zainul Mzige). Mkuu wa kitengo cha watoto walemavu shule ya msingi Buhangija Jumuishi ya...

 

10 years ago

GPL

BASI LA WANAFUNZI WALEMAVU SINZA LAKAMATWA, WASHINDWA KWENDA SHULE

Mwalimu Mkuu Msaidizi, Gabriel Mselemu, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani). Walimu wakiwa darasani na wanafunzi wawili.…

 

10 years ago

GPL

WATOTO WALEMAVU MAHENGE WANUFAIKA NA MSAADA WA BAISKELI ZA WALEMAVU

MOROGORO,
Kampuni ya Kibaran Resources inayojihusisha na utafiti wa uchimbaji wa madini ya Uno kwenye Kijiji cha Epanko, imetoa msaada wa baiskeli 30 za walemavu kwa watoto wenye ulemavu katika kata ya Mahenge Wilaya ya Ulanga mkoani Morogoro. Baiskeli hizo zimeundwa maalumu kwa watoto wanaoishi vijijini. Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kukabidhi baiskeli hizo, Grant Pierce, ambaye ni mkurugenzi wa Kampuni ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani