Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mnada mkubwa wa Isuzu Pick-Up Double Cabin na Malori kufanyika Jumamosi hii Kijitonyama, Dar es salaam

We shall sell 19 Isuzu PickUP Double Cabin and 9 Volvo & Leyland DAF trucks by public auction this Saturday 10th May 2014. Viewing is as from Today and Tomorrow at Mancity Car wash grounds, Kijitonyama , Mabatini road. For further info's Contact : Universal Auction Center, +255754 284926

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Mnada mkubwa wa Isuzu Pick-Up Double Cabin na Malori Jumamosi hii

IMG_3480

Mnada Wa Malori Na Double Cabin by moblog

 

9 years ago

Michuzi

POP UP BONGO KUFANYIKA JUMAMOSI HII TRINITI OYSTERBAY DAR ES SALAAM

Na Mwandishi WetuWASANII mbalimbali wa muziki na maigizo pamoja na wadau wengine wa biashara watajumuika pamoja Triniti, Oyster bay katika tamasha la biashara za bidhaa mbalimbali, Pop Up Bongo. 
Tamasha hilo linalofanyika kila baada ya miezi mitatu ni la siku moja na mwaka huu litafanyika tarehe 28 likiwa chini ya udhamini wa kinywaji cha Smirnoff. BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI
Akizungumzia kuhusiana na tamasha hilo mmoja kati ya waanzilishi wake, Natasha Stambuli alisema kuwa milango...

 

10 years ago

Michuzi

MKAZI WA BUKOBA ASHINDA NISSAN DOUBLE CABIN PICK UP KATIKA PROMOSHENI YA WEKA UPEWE YA BENKI YA NBC

Ofisa Kumbukumbu wa Benki ya NBC, Telesfori Gabriel (wa tatu kushoto) akibonyeza kitufe cha kompyuta ili kupata mshindi wa droo kubwa ya promosheni ya Weka Upewe ya benki hiyo jijini Dar es Salaam leo. Mkazi wa Bukoba, Josephat Gerald Ruyongo ameibuka kidedea wa zawadi ya gari jipya aina ya Nissan Double Cabin Pick Up 2014 yenye thamani ya zaidi ya shs milioni 54.Wengine kutoka kushoto Mkaguzi wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha, Mrisho Millao, Meneja katika Kitengo cha Bidhaa za Kuwekeza na...

 

11 years ago

Michuzi

Mnada mkubwa wa Malori ya Mizigo aina ya Volvo na Leyland DAF

Jumamosi ya tarehe 26/4/2014 saa nne Asubuhi katika viwanja vya Evangelical Assemblies of God Kijitonyama kutakuwa na mnada wa hadhara wa Malori makubwa ya mizigo aina ya Volvo na Leyland Daf


 

10 years ago

Michuzi

UBALOZI WA MAREKANI DAR ES SALAAM: MNADA WA HADHARA JUMAMOSI JULAI 11, 2015

  UNIVERSAL AUCTION CENTRE Kwa idhini waliyopewa na Ubalozi wa Marekani watauza kwa mnada wa hadhara gari, generator, fanicha za ofisi na nyumbani,  makontena na mashine za gym   tarehe 11 Julai, 2015 Jumamosi saa 3:00 asubuhi. Mnada utafanyika Golden Resort Sinza,  Lion Street.MALI ZITAKAZOUZWA:sofa sets, chest drawer, recliner, dressers, coffee table, book shelve, meza za ofisi/viti, dining table/chairs, carpet, hoover,  vitanda, magodoro, fridges, freezer, cookers, TV set, washer, dryer,...

 

9 years ago

Michuzi

St. Joseph & Forodhani ALUMNI kufanyika Jumamosi hii Septemba 26, 2015 viwanja vya St Joseph Cathedral High School jijini Dar es salaam

Umoja wa wanafunzi waliosoma shule ya St Joseph convent school  ya jijini Dar es salaam iliyodumu kuanzia mwaka 1932 hadi 1969 . Na Forodhani Sekondari  ilyokuwapo kati ya 1970 hadi 2008 ( ilipotaifishwa na serikali) na baada ya hapo St Joseph Cathedral High school 2009 (baada ya kurudishwa kwa kanisa Katoliki)  hadi leo, tumeungana  na kuitwa  St. Joseph & Forodhani  ALUMNI .

St Joseph &Forodhani ALUMNI imeandaa “reunion” mkutano wa pamoja siku ya Jumamosi tarehe 26 September kwa wanafunzi...

 

9 years ago

Dewji Blog

Pop Up Bongo kufanyika Jumamosi hii Triniti Oysterbay Dar

Nuya Essence.

Founder of Branoz Collection Bahati Abraham with customers.

Secret Habits Seller servings customers.

Pediah John, Founder of PSJ Brand with customers.

Na Mwandishi Wetu

WASANII mbalimbali wa muziki na maigizo pamoja na wadau wengine wa biashara watajumuika pamoja Triniti, Oysterbay katika  tamasha la biashara za bidhaa mbalimbali, Pop Up Bongo.

Tamasha hilo linalofanyika kila baada ya miezi mitatu ni la siku moja na mwaka huu litafanyika tarehe 28 likiwa chini ya...

 

9 years ago

Bongo5

Instagram Party kufanyika Jumamosi hii, Escape One Mikocheni, Dar

Ag_upG8RHDvxtgw049D3N_4KnhUuVGyYi-ODr2rgwrDk

KAMPUNI ya Freconic Ideaz, imeandaa tamasha la burudani la ‘Instagram party’ litakalofanyika Jumamosi hii maeneo ya Escape One, Mikocheni jijini Dar es Salaam likiwa na lengo la kuwakumbusha wapenzi wa muziki, mavazi na misemo ya kizamani.

Ag_upG8RHDvxtgw049D3N_4KnhUuVGyYi-ODr2rgwrDk
Mkurugenzi Mtendaji wa Freconic ideaz, Fred Ngimba akifafanua jambo alipokuwa anaongea na waandishi wa habari Ijumaa hii katika fukwe za Escape One kuhusu kukamilika kwa maandalizi ya tamasha kubwa la burudani litakalofanyika jumamosi hii tarehe 28...

 

9 years ago

Michuzi

TAMASHA LA MANUNUZI KUFANYIKA DAR ES SALAAM JUMAMOSI, NI POP UP BONGO

Na Mwandishi Wetu

TAMASHA la manunuzi maarufu kama Pop Up Bongo, ambalo limeandaliwa na kampuni ya Studiored PR linatarajiwa kufanyika Jumamosi (Agosti 29) katika baa ya Triniti iliyopo Oysterbay jijini Dar es Salaam kuanzia saa 8 mchana hadi 2 usiku.
Tamasha hilo linalodhaminiwa na kampuni ya Smirnoff, ni la kwanza na la aina yake kufanyika jijini ambapo linafungua duka la muda mfupi la manunuzi ya rejareja ambapo wanunuaji watapata fursa kwa siku moja tu katika eneo maalum.
Maduka ya Pop Up...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani