Uganda yafuta sheria dhidi ya ushoga
Mahakama ya kikatiba nchini Uganda imefutilia mbali sheria dhidi ya wapenzi wa jinsia moja ambayo ilisababisha mataifa ya magharibi kuinyima msaada.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo501 Aug
Mahakama ya kikatiba Uganda yafuta sheria dhidi ya ushoga
10 years ago
BBCSwahili10 Nov
Ushoga:Tetesi za sheria mpya Uganda
11 years ago
Mwananchi11 Jul
UTEKELEZAJI: Uganda bado ‘ngangari’ dhidi ya ushoga
11 years ago
Mtanzania02 Aug
Mahakama yaruhusu ushoga Uganda

Rais wa Uganda, Yoweri Museveni
KAMPALA, Uganda
MAHAKAMA ya Kikatiba nchini Uganda imefutilia mbali sheria dhidi ya wapenzi wa jinsia moja, ambayo ilisababisha mataifa kadhaa ya magharibi kuinyima misaada.
Sheria hiyo ilizua mjadala si tu nchini Uganda bali kote duniani, kiasi cha kuyafanya mataifa ya magharibi yalazimike kuingilia kati.
Mahakama ilisema muswada uliopitishwa kabla ya kuidhinishwa na rais kuwa sheria ulipitishwa na wabunge ambao idadi yao haikutosha kuupitisha na kwa hivyo...
11 years ago
Mwananchi08 Mar
Kenya wataka sheria ya ushoga
11 years ago
BBCSwahili28 Oct
Akata rufaa dhidi ya hukumu ya ushoga
10 years ago
Habarileo05 Dec
ICC yafuta kesi dhidi ya Rais Uhuru Kenyata
MAHAKAMA ya kimataifa ya ICC imetupilia mbali kesi ya jinai inayomkabili Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta.
11 years ago
BBCSwahili11 Mar
Mashoga wapinga sheria Uganda
10 years ago
BBCSwahili21 Jun
Camara:mechi dhidi ya Uganda ni muhimu