Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mashoga wapinga sheria Uganda

Wanaharakati wa mapenzi ya jinsia moja, mawakili na wanasiasa wamewasilisha kesi mahakamani kupinga sheria mpya dhidi ya mapenzi ya jinsia moja

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mashoga wapinga Urais wa Kutesa UN

Wakereketwa wa kutetea haki za watu wa jinsia moja nchini Uganda wamepinga kuchaguliwa kwa Waziri Sam Kutesa kama Rais katika UN.

 

11 years ago

Habarileo

Moravian wapinga huduma ya wachungaji mashoga

HALMASHAURI Kuu ya Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Misheni Mashariki, limetoa tamko la kutounga mkono maazimio ya Kanisa la Moravian Jimbo la Marekani ya Kaskazini lililoruhusu huduma ya wachungaji mashoga na wasagaji.

 

11 years ago

BBCSwahili

Gazeti lawataja 'mashoga' Uganda

Gazeti la udaku nchini Uganda la Red Pepper limechapisha orodha ya majina 200 wanayodai ni ya wale wanaojihusisha na mapenzi ya watu wa jinsia moja.

 

11 years ago

Habarileo

Mashoga Uganda kufungwa maisha

HATIMAYE Rais Yoweri Museveni amesaini Muswada wa Sheria inayoharamisha na kutoa adhabu kali kwa wanaojihusisha na vitendo vya ushoga nchini na wanaowaficha. Msemaji wa Serikali, amesema Rais alitaka kutetea “uhuru wa Uganda dhidi ya shinikizo la mataifa ya Magharibi.”

 

10 years ago

BBCSwahili

Unyanyasaji wa mashoga washtumiwa Uganda

Wakereketwa wa haki za binadamu nchini Uganda wanawashutumu polisi wa nchi hiyo, kwa kuwanyanyasa na kuwapiga mashoga

 

11 years ago

Mtanzania

Mashoga kutoka Kenya, Uganda wakutana D’Salaam

Dar es Salaam

Eneo la katikati ya Jiji la Dar es Salaam

Na Hadia Khamis

MASHOGA kutoka nchi tatu za Afrika Mashariki wamekutana kwa siku mbili jijini Dar es Salaam.

Taarifa zilizopatikana jijini Dar es Salaam, zinasema mashoga hao walikutana juzi katika Ukumbi wa Kivukoni 3 ulioko katika Hoteli ya Serena na kuwashirikisha wasichana wanaofanya mapenzi kinyume na maumbile.

Kwa mujibu wa taarifa hizo, mashoga hao wapatao 50 walitoka katika nchi za Kenya na Uganda na waliungana na wenzao wa Tanzania.

Katika...

 

11 years ago

Mwananchi

Wafugaji wapinga Sheria ya Mifugo

Chama cha Wafugaji Tanzania (CCWT) kimeipinga sheria mpya ya utambuzi, usajili na ufuatiliaji wa mifugo iliyozinduliwa na Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk Titus Kamani, kikidai ni kandamizi na itasababishwa wanyanyaswe na kufilisiwa mifugo yao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uganda wapinga madaktari kupelekwa nje

Wanaharakati nchini Uganda wamepinga mpango wa serikali kupeleka madaktari na wauguzi nje ya nchi.

 

10 years ago

Mwananchi

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani