Mashoga wapinga sheria Uganda
Wanaharakati wa mapenzi ya jinsia moja, mawakili na wanasiasa wamewasilisha kesi mahakamani kupinga sheria mpya dhidi ya mapenzi ya jinsia moja
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili11 Jun
Mashoga wapinga Urais wa Kutesa UN
11 years ago
Habarileo28 Jun
Moravian wapinga huduma ya wachungaji mashoga
HALMASHAURI Kuu ya Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Misheni Mashariki, limetoa tamko la kutounga mkono maazimio ya Kanisa la Moravian Jimbo la Marekani ya Kaskazini lililoruhusu huduma ya wachungaji mashoga na wasagaji.
11 years ago
BBCSwahili25 Feb
Gazeti lawataja 'mashoga' Uganda
11 years ago
Habarileo25 Feb
Mashoga Uganda kufungwa maisha
HATIMAYE Rais Yoweri Museveni amesaini Muswada wa Sheria inayoharamisha na kutoa adhabu kali kwa wanaojihusisha na vitendo vya ushoga nchini na wanaowaficha. Msemaji wa Serikali, amesema Rais alitaka kutetea “uhuru wa Uganda dhidi ya shinikizo la mataifa ya Magharibi.”
10 years ago
BBCSwahili27 Feb
Unyanyasaji wa mashoga washtumiwa Uganda
11 years ago
Mtanzania04 Aug
Mashoga kutoka Kenya, Uganda wakutana D’Salaam
![Dar es Salaam](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/dar-es-salaam.jpg)
Eneo la katikati ya Jiji la Dar es Salaam
Na Hadia Khamis
MASHOGA kutoka nchi tatu za Afrika Mashariki wamekutana kwa siku mbili jijini Dar es Salaam.
Taarifa zilizopatikana jijini Dar es Salaam, zinasema mashoga hao walikutana juzi katika Ukumbi wa Kivukoni 3 ulioko katika Hoteli ya Serena na kuwashirikisha wasichana wanaofanya mapenzi kinyume na maumbile.
Kwa mujibu wa taarifa hizo, mashoga hao wapatao 50 walitoka katika nchi za Kenya na Uganda na waliungana na wenzao wa Tanzania.
Katika...
11 years ago
Mwananchi11 Aug
Wafugaji wapinga Sheria ya Mifugo
10 years ago
BBCSwahili06 Feb
Uganda wapinga madaktari kupelekwa nje
10 years ago
Mwananchi31 Mar