Uganda wapinga madaktari kupelekwa nje
Wanaharakati nchini Uganda wamepinga mpango wa serikali kupeleka madaktari na wauguzi nje ya nchi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili22 May
Jamil Mukulu kupelekwa Uganda?
Kiongozi wa waasi wa ADF, Jamil Mukulu anafikishwa mahakamani nchini Tanzania kwa mara ya pili Ijumaa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-j3S6rO7SF_w/XonunN3WRWI/AAAAAAALmEs/xhaHgCK_jrIHGRdExrXFGSOuDsXdqTN2wCLcBGAsYHQ/s72-c/C6Y4mVSWAAAmRiR.jpg)
Wasafiri kutoka nje ya nchi kupelekwa karantini Hosteli za Magufuli
![](https://1.bp.blogspot.com/-j3S6rO7SF_w/XonunN3WRWI/AAAAAAALmEs/xhaHgCK_jrIHGRdExrXFGSOuDsXdqTN2wCLcBGAsYHQ/s640/C6Y4mVSWAAAmRiR.jpg)
Na WAMJW-Dar es Salaam
Serikali imetangaza rasmi kwamba wasafiri wote kutoka nchi za nje zilizoathirika na ugonjwa wa Corona watalazimika kukaa karantini kwa muda wa siku 14 katika hosteli za Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam maarufu hosteli za Magufuli.
Akizungumza katika hosteli za Magufuli, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema wasafiri hao watafikia katika hosteli za Magufuli ambazo zipo katika eneo la Ubungo Jijini Dar es Salaam.
“Lengo ni...
11 years ago
BBCSwahili11 Mar
Mashoga wapinga sheria Uganda
Wanaharakati wa mapenzi ya jinsia moja, mawakili na wanasiasa wamewasilisha kesi mahakamani kupinga sheria mpya dhidi ya mapenzi ya jinsia moja
9 years ago
Mwananchi29 Dec
Serikali kuwabana madaktari inaowasomesha nje ya nchi
Serikali imesema madaktari wote watakaopata nafasi ya kusoma nje ya nchi kwa ufadhili wake, watafanya hivyo kwa kusaini mkataba.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-enpdSJQ7138/XphJ_dQgtaI/AAAAAAALnLM/s8q48pDMkZUx2CZaJggjMv9jENkbVr2hQCLcBGAsYHQ/s72-c/7502c379-bed5-4fb4-95cf-9a838a3e0ee4.jpg)
MADAKTARI MUHIMBILI WATUMIA TEKNOLOJIA MPYA KUOKOA MAISHA YA WATOTO WANAOZALIWA UTUMBO UKIWA NJE
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
KWA mara ya kwanza madaktari bingwa wa upasuaji wa watoto kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili wamefanikiwa kuokoa maisha ya watoto wawili waliozaliwa wakiwa na tatizo la tumbo kuwa wazi na utumbo kuwa nje (Gastroschisis) na kwa kutumia utaratibu madaktari hao wamefanikiwa kuwavalisha mifuko maalumu (Silo bags) ambayo haihusishi mtoto kufanyiwa upasuaji wala kupewa dawa za usingizi.
Akisoma taarifa hiyo leo jijini Dar es Salaam Daktari bingwa wa upasuaji wa...
KWA mara ya kwanza madaktari bingwa wa upasuaji wa watoto kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili wamefanikiwa kuokoa maisha ya watoto wawili waliozaliwa wakiwa na tatizo la tumbo kuwa wazi na utumbo kuwa nje (Gastroschisis) na kwa kutumia utaratibu madaktari hao wamefanikiwa kuwavalisha mifuko maalumu (Silo bags) ambayo haihusishi mtoto kufanyiwa upasuaji wala kupewa dawa za usingizi.
Akisoma taarifa hiyo leo jijini Dar es Salaam Daktari bingwa wa upasuaji wa...
10 years ago
BBCSwahili31 Jul
Uganda:Mbabazi kuwania urais nje ya NRM
Mpinzani mkuu wa rais Yoweri Museveni ametangaza kuwa atawania urais mwakani kama mgombea wa kibinafsi wala sio kwa tikiti ya NRM
10 years ago
Michuzi31 Jul
UGANDA:MBABAZI KUWANIA URAIS NJE YA CHAMA CHA NRM
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/NLWhdahq7t1TkVH-KqDDSqueQu4JUWkrzKlX4gubv_hlXLVkaGhP6Togdv8wkNiZ6RgOCjuWyJOrYMJfF1Ma89eBXu9dYqyOpnd7-DxDE2Bwh7r3qTafY4TS-Ns44ahaIn9rGollpkuhuuVirstE4bTS-N9Uy42lI9HUPzTr6C7FjZIGifW1H1pU=s0-d-e1-ft#http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/512/amz/worldservice/live/assets/images/2015/06/15/150615091144_mbabazi_512x288_.jpg)
Mbabazi ametangaza hilo muda mchache uliopita akiwa nyumbani kwake Kololo katika siku ya mwisho ya kurejesha fomu za uwaniaji wadhfa katika chama hicho tawala.
''kamwe sitatoka NRM''.''Lakini sitaweza kugombea urais katika tikiti ya chama hicho cha NRM ilihali vipengee vingi tu vya vya chama vinakiuka katiba ya nchi''.'' sitawania urais kwa tikiti ya NRM...
5 years ago
BBCSwahili14 Apr
Virusi vya Corona: Marufuku ya kutoka nje yaongezwa kwa siku 21 Uganda
Marufuku ya kutoka nje yaongezwa kwa wiki tatu Uganda
5 years ago
BBCSwahili31 Mar
Coronavirus: Rais wa Uganda Yoweri Museveni atangaza amri ya kutotoka nje kwa siku 14
Rais wa Uganda Yoweri Museveni atangaza amri ya kutotoka nje kwa siku 14 kudhibiti maambukizi ya virusi vya corona.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania