Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uganda wapinga madaktari kupelekwa nje

Wanaharakati nchini Uganda wamepinga mpango wa serikali kupeleka madaktari na wauguzi nje ya nchi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Jamil Mukulu kupelekwa Uganda?

Kiongozi wa waasi wa ADF, Jamil Mukulu anafikishwa mahakamani nchini Tanzania kwa mara ya pili Ijumaa

 

5 years ago

Michuzi

Wasafiri kutoka nje ya nchi kupelekwa karantini Hosteli za Magufuli


 Na WAMJW-Dar es Salaam

Serikali imetangaza rasmi kwamba wasafiri wote kutoka nchi za nje zilizoathirika na ugonjwa wa Corona watalazimika kukaa karantini kwa muda wa siku 14 katika hosteli za Chuo Kikuu Cha Dar es  Salaam maarufu hosteli za Magufuli.

Akizungumza katika hosteli za Magufuli, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema wasafiri hao watafikia katika hosteli za Magufuli ambazo zipo katika eneo la Ubungo Jijini Dar es Salaam.

“Lengo ni...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mashoga wapinga sheria Uganda

Wanaharakati wa mapenzi ya jinsia moja, mawakili na wanasiasa wamewasilisha kesi mahakamani kupinga sheria mpya dhidi ya mapenzi ya jinsia moja

 

9 years ago

Mwananchi

Serikali kuwabana madaktari inaowasomesha nje ya nchi

Serikali imesema madaktari wote watakaopata nafasi ya kusoma nje ya nchi kwa ufadhili wake, watafanya hivyo kwa kusaini mkataba.

 

5 years ago

Michuzi

MADAKTARI MUHIMBILI WATUMIA TEKNOLOJIA MPYA KUOKOA MAISHA YA WATOTO WANAOZALIWA UTUMBO UKIWA NJE

Na Leandra Gabriel, Michuzi TV

KWA mara ya kwanza madaktari bingwa wa upasuaji wa watoto kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili wamefanikiwa kuokoa maisha ya watoto wawili waliozaliwa wakiwa na tatizo la tumbo kuwa wazi na utumbo kuwa nje  (Gastroschisis) na kwa kutumia utaratibu madaktari hao wamefanikiwa kuwavalisha mifuko maalumu (Silo bags) ambayo haihusishi mtoto kufanyiwa upasuaji wala kupewa dawa za usingizi.

Akisoma taarifa hiyo leo jijini Dar es Salaam Daktari bingwa wa upasuaji wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Uganda:Mbabazi kuwania urais nje ya NRM

Mpinzani mkuu wa rais Yoweri Museveni ametangaza kuwa atawania urais mwakani kama mgombea wa kibinafsi wala sio kwa tikiti ya NRM

 

10 years ago

Michuzi

UGANDA:MBABAZI KUWANIA URAIS NJE YA CHAMA CHA NRM

Waziri mkuu wa zamani wa Uganda John Patrick Amama Mbabazi ametangaza kuwa hatawania urais kwa chama tawala NRM katika uchaguzi mkuu mwakani.

Mbabazi ametangaza hilo muda mchache uliopita akiwa nyumbani kwake Kololo katika siku ya mwisho ya kurejesha fomu za uwaniaji wadhfa katika chama hicho tawala.
''kamwe sitatoka NRM''.''Lakini sitaweza kugombea urais katika tikiti ya chama hicho cha NRM ilihali vipengee vingi tu vya vya chama vinakiuka katiba ya nchi''.'' sitawania urais kwa tikiti ya NRM...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Marufuku ya kutoka nje yaongezwa kwa siku 21 Uganda

Marufuku ya kutoka nje yaongezwa kwa wiki tatu Uganda

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Rais wa Uganda Yoweri Museveni atangaza amri ya kutotoka nje kwa siku 14

Rais wa Uganda Yoweri Museveni atangaza amri ya kutotoka nje kwa siku 14 kudhibiti maambukizi ya virusi vya corona.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani