UGANDA:MBABAZI KUWANIA URAIS NJE YA CHAMA CHA NRM
Waziri mkuu wa zamani wa Uganda John Patrick Amama Mbabazi ametangaza kuwa hatawania urais kwa chama tawala NRM katika uchaguzi mkuu mwakani.
Mbabazi ametangaza hilo muda mchache uliopita akiwa nyumbani kwake Kololo katika siku ya mwisho ya kurejesha fomu za uwaniaji wadhfa katika chama hicho tawala.
''kamwe sitatoka NRM''.''Lakini sitaweza kugombea urais katika tikiti ya chama hicho cha NRM ilihali vipengee vingi tu vya vya chama vinakiuka katiba ya nchi''.'' sitawania urais kwa tikiti ya NRM...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili31 Jul
Uganda:Mbabazi kuwania urais nje ya NRM
10 years ago
BBCSwahili18 Aug
Mbabazi achukua fomu za kuwania urais Uganda
10 years ago
Michuzi
10 years ago
Michuzi
11 years ago
TheCitizen08 Mar
NRM Caucus did not sack Mbabazi, says Museveni
10 years ago
TheCitizen10 Nov
NRM delegates reject move to sack Mbabazi
10 years ago
Michuzi27 Feb
5 years ago
Michuzi
WAZIRI WA MAJI PROFESA MBARAWA AREJESHA FOMU YA KUWANIA URAIS ZANZIBAR, ASHUKURU CHAMA CHAKE
Profesa Mbarawa alichukua fomu Juni 19, mwaka huu katika Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui mjini Unguja, akiwa mwanachama wa 10 kufanya hivyo.
Hivyi leo Juni 27,2020 amerejesha fomu hizo katika ofisi hiyo na kupokewa na Katibu wa Kamati Maalumu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Zanzibar, Galous Nyimbo.
Wakati alipochukua fomu...
5 years ago
Michuzi
Chama kikuu cha upinzani cha CNL kimemuidhinisha Agathon Rwasa kuwa mgombea wake wa kiti cha urais

Wajumbe wa chama cha National Congres for Liberty jana walimuidhinisha Rwasa aliye na umri wa miaka 56 kama mgombea wao katika uchaguzi wa Rais wa mwezi Mei.
Agathon Rwasa atachuana katika uchaguzi huo na Jenerali wa jeshi Evariste Ndayishimiye ambaye ni muitifaki wa Nkurunzia. Mwezi uliopita chama tawala Burundi CNDD-FDD kilimchagua jenerali huyo wa jeshi...