Mbabazi achukua fomu za kuwania urais Uganda
Waziri mkuu wa zamani wa Uganda Amama Mbabazi amechukua fomu za kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao utakaofanyika mwakani
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili31 Jul
Uganda:Mbabazi kuwania urais nje ya NRM
Mpinzani mkuu wa rais Yoweri Museveni ametangaza kuwa atawania urais mwakani kama mgombea wa kibinafsi wala sio kwa tikiti ya NRM
10 years ago
Michuzi31 Jul
UGANDA:MBABAZI KUWANIA URAIS NJE YA CHAMA CHA NRM
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/NLWhdahq7t1TkVH-KqDDSqueQu4JUWkrzKlX4gubv_hlXLVkaGhP6Togdv8wkNiZ6RgOCjuWyJOrYMJfF1Ma89eBXu9dYqyOpnd7-DxDE2Bwh7r3qTafY4TS-Ns44ahaIn9rGollpkuhuuVirstE4bTS-N9Uy42lI9HUPzTr6C7FjZIGifW1H1pU=s0-d-e1-ft#http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/512/amz/worldservice/live/assets/images/2015/06/15/150615091144_mbabazi_512x288_.jpg)
Mbabazi ametangaza hilo muda mchache uliopita akiwa nyumbani kwake Kololo katika siku ya mwisho ya kurejesha fomu za uwaniaji wadhfa katika chama hicho tawala.
''kamwe sitatoka NRM''.''Lakini sitaweza kugombea urais katika tikiti ya chama hicho cha NRM ilihali vipengee vingi tu vya vya chama vinakiuka katiba ya nchi''.'' sitawania urais kwa tikiti ya NRM...
10 years ago
Michuzi06 Jun
MWIGULU ACHUKUA FOMU YA KUWANIA URAIS
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/cCi5nIYWMijEORdiXR8CmRFiaflq7WX-jPThm1nsc6xF1G_xoG5xwqkNRoQs39JSpiOKmT5_ILTOLb6STse1ax10EaiXVHyYNjJoffXfrFp_NU1EJ8UY0X_wOmSd3tk6sOc8YfMxU_63BDJOBTkH8A4nc1AmxMxjDL6cJ8P-2B34AmlJ2IeNgOcGmBNfC41oib5QYRqTu4l4JMNOIKSMxBRpOooHHvYHPUh07LclQ7R5X59U=s0-d-e1-ft#https://scontent-ams2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfa1/v/t1.0-9/11401205_926219247440147_5650376604804357062_n.jpg?oh=fe73c38f5cf77f9cfa8b3dcd4b1c8d41&oe=55F9F5AE)
Mh.Mwigulu akiwasili makao makuu ya CHAMA CHA MAPINDUZI mjini Dodoma kwaajili ya Kuchukua Fomu ya Kuwania Urais wa Tanzania mwaka 2015.
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/aDZvTliUgOlIYtPR5H1GS4QZnpRQ1oLtaIVfyq-ttyMhCYgZK5eJ6FdrRk34ZsHGt5h9Rf91yzGobri_pGe3XjhhQW40SbOfZW_oMAClAbOOFEhY5edSG1KfWHP1oUF2jyMHppbaiZvKQl0DcZEIBfu2k4ejmQ4hga2W-fZwhPzpDFh2xZqcaWRvUiWQJgey51YIo_Q8pYAg6hWa50IcXx9JFxSUV_ckovwDmn2WmHrf9sG1=s0-d-e1-ft#https://scontent-ams2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtf1/v/t1.0-9/11412392_926219480773457_7369949939952748801_n.jpg?oh=0ab5c1fe2ec3ec69affdea08a214c050&oe=55FB9114)
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/cgbq4PifzuayfVHKUyJS-5nTK3xcaqu4MKpJlGZe6w1SYruMKSUt1zoPKQ0ySaIdzAsibVsaojcS4642BupDhOuO-ClXd8qJEG_JgWrz06g6jWxG9dMxmTVJCbq34iz-GY7F4jdXDl_1tfbBvgJRO0QXI3sIayqVIjfW1LzYleNuNYN8uGr_zbcZUdHDu5N-nG6-huVF-SlTfrIOFt7ir1Hbdd3FrR6M4JoZLE6XIQ2tQMse=s0-d-e1-ft#https://scontent-ams2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtf1/v/t1.0-9/11391338_926219294106809_7877542968087699757_n.jpg?oh=72f0617c1ba260d04a68c01148874763&oe=55F35359)
Mh:Mwigulu akisaini kitabu cha Wagombea Urais kupitia chama cha Mapinduzi. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
10 years ago
BBCSwahili10 Aug
Lowassa achukua fomu za kuwania urais
Pilika pilika za uchaguzi nchini Tanzania zimeendelea huku Edward Lowassa, ambaye ni mgombea wa urais kwa tiketi ya chama cha Chadema na kuungwa mkono na umoja wa vyama vya upinzani nchini humo, UKAWA, akifika ofisi ya Tume ya Uchaguzi kuchukua fomu ya ur
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-UuSnkdbHwMk/Vds0VsoitvI/AAAAAAAHzsI/pc--J5DiA1g/s72-c/unnamed02.jpg)
DK. SHEIN ACHUKUA FOMU ZA KUWANIA URAIS WA ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-UuSnkdbHwMk/Vds0VsoitvI/AAAAAAAHzsI/pc--J5DiA1g/s640/unnamed02.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JkJnI9BklQc/Vds0VwQPlGI/AAAAAAAHzsM/huZA9bFF-2w/s640/unnamed01.jpg)
Mgombea nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dk. Ali Mohamed Shein akiwa Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar akiwapungia mikono wananchi katika Gari maalum akitokea katika Ofisi za Tume ya Uchaguzi...
10 years ago
Mwananchi31 Jul
Lowassa achukua fomu ya kuwania urais kupitia Chadema
>Kada mpya wa Chadema, Edward Lowassa jana alichukua tena fomu ya kuwania urais lakini safari hii si kwa tiketi ya CCM, katika hafla ambayo ilishuhudiwa na umati mkubwa wa watu uliosababisha Mtaa wa Ufipa kufungwa kwa saa tatu.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-UuSnkdbHwMk/Vds0VsoitvI/AAAAAAAHzsI/pc--J5DiA1g/s72-c/unnamed02.jpg)
DK. SHEIN ACHUKUA FOMU ZA KUWANIA URAIS WA ZANZIBAR LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-UuSnkdbHwMk/Vds0VsoitvI/AAAAAAAHzsI/pc--J5DiA1g/s640/unnamed02.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JkJnI9BklQc/Vds0VwQPlGI/AAAAAAAHzsM/huZA9bFF-2w/s640/unnamed01.jpg)
Mgombea nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dk. Ali Mohamed Shein akiwa Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar akiwapungia mikono wananchi katika Gari maalum akitokea katika Ofisi za Tume ya...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Zf-3hnF-rcg/XudsS6yMv1I/AAAAAAABMYI/Wtpb4mjuak0UJ0AwPhclpBzIeLCX_ymKgCLcBGAsYHQ/s72-c/KARUME.jpeg)
BALOZI KARUME ACHUKUA FOMU KUOMBA KUWANIA URAIS ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-Zf-3hnF-rcg/XudsS6yMv1I/AAAAAAABMYI/Wtpb4mjuak0UJ0AwPhclpBzIeLCX_ymKgCLcBGAsYHQ/s400/KARUME.jpeg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/ql4_IZVgXvI/default.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania