Moravian wapinga huduma ya wachungaji mashoga
HALMASHAURI Kuu ya Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Misheni Mashariki, limetoa tamko la kutounga mkono maazimio ya Kanisa la Moravian Jimbo la Marekani ya Kaskazini lililoruhusu huduma ya wachungaji mashoga na wasagaji.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili11 Jun
Mashoga wapinga Urais wa Kutesa UN
11 years ago
BBCSwahili11 Mar
Mashoga wapinga sheria Uganda
11 years ago
BBCSwahili27 Feb
Huduma za afya kwa mashoga UG
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Askofu awashangaa wachungaji wa magari
MAKAMU Askofu Mkuu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG), Magnus Muhiche, amesema kuwa anashindwa kuwaelewa baadhi ya wachungaji wanaotanguliza harambee za ununuzi wa magari badala ya kujenga makanisa....
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Wachungaji wakaidi sasa kushughulikiwa
9 years ago
MichuziMAASKOFU, WACHUNGAJI KUBARIKI TAMASHA LA AMANI
Na Mwandishi WetuMAASKOFU wa madhehebu mbalimbali na Wachungaji wanatarajiwa kushiriki kwenye Tamasha la Amani linalotarajiwa kufanyika Oktoba 4, mwaka huu Dar es Salaam.
Tamasha la Amani ambalo litahusisha waimbaji mbalimbali wa nyimbo za Injili ni maalum kwa ajili ya kuombea amani katika Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani utakaofanyika Oktoba 25 mwaka huu.
Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa Dar es...
9 years ago
Habarileo13 Dec
Maaskofu, wachungaji wamuombea mgombea ubunge
MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia CCM, Philemon Mollel amefanyiwa maombi na maaskofu, wachungaji na waumini zaidi ya 150 wa makanisa ya kiroho zaidi ya kumi jijini Arusha.
11 years ago
Mwananchi13 Jul
Kanisa lawataka wachungaji wajiuzulu Chadema
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2Tkrz8bmcYjF7yIrhjgeiw*u5QoIHjDaAf3yRLcrtI6TRDRpDtsttfw0ZeVYam-XswoKwXezRGy6ycd3PJDUmzrZQ-x08uU-/wachungaji.jpg?width=650)
WACHUNGAJI MBARONI KWA ULAWITI WA WATOTO KANISANI