Mashoga Uganda kufungwa maisha
HATIMAYE Rais Yoweri Museveni amesaini Muswada wa Sheria inayoharamisha na kutoa adhabu kali kwa wanaojihusisha na vitendo vya ushoga nchini na wanaowaficha. Msemaji wa Serikali, amesema Rais alitaka kutetea “uhuru wa Uganda dhidi ya shinikizo la mataifa ya Magharibi.”
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili20 Dec
Uganda:masenge,misago kufungwa maisha
10 years ago
BBCSwahili27 Feb
Unyanyasaji wa mashoga washtumiwa Uganda
11 years ago
BBCSwahili11 Mar
Mashoga wapinga sheria Uganda
11 years ago
BBCSwahili25 Feb
Gazeti lawataja 'mashoga' Uganda
11 years ago
Mtanzania04 Aug
Mashoga kutoka Kenya, Uganda wakutana D’Salaam
![Dar es Salaam](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/dar-es-salaam.jpg)
Eneo la katikati ya Jiji la Dar es Salaam
Na Hadia Khamis
MASHOGA kutoka nchi tatu za Afrika Mashariki wamekutana kwa siku mbili jijini Dar es Salaam.
Taarifa zilizopatikana jijini Dar es Salaam, zinasema mashoga hao walikutana juzi katika Ukumbi wa Kivukoni 3 ulioko katika Hoteli ya Serena na kuwashirikisha wasichana wanaofanya mapenzi kinyume na maumbile.
Kwa mujibu wa taarifa hizo, mashoga hao wapatao 50 walitoka katika nchi za Kenya na Uganda na waliungana na wenzao wa Tanzania.
Katika...
5 years ago
BBCSwahili02 Jun
Virusi vya corona: Shule nchini Uganda kuendelea kufungwa kwa mwezi mmoja zaidi
11 years ago
BBCSwahili11 Mar
'Fistula' inavyotishia maisha Uganda
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-PzFqtTlxjlk/UyiHFfWu9II/AAAAAAAAMZk/LwwVmRpplGI/s72-c/Masoud+Kipanya.jpg)
Maisha Plus Update: Washiriki kutoka Rwanda, Burundi, Kenya na Uganda wako Moro
![](http://2.bp.blogspot.com/-PzFqtTlxjlk/UyiHFfWu9II/AAAAAAAAMZk/LwwVmRpplGI/s1600/Masoud+Kipanya.jpg)
WASHIRIKI wa shindano la Maisha Plus ambayo kwa mwaka 2014 inatambulika kwa jina la Maisha Plus Rekebisha, kutoka nchini Kenya, Rwanda,Uganda na Burundi tayari wameshawasili nchini na jana wameelekea wako mkoani Morogoro kushiriki shughuli za kijamii.
Mratibu wa onyesho hilo, Ally Masoud Kipanya amesema hili ni kundi la tatu kushiriki shughuli za kijamii, ambapo kundi la kwanza lilikuwa Iringa, kisha la pili likaenda Zanzibar na hili la tatu linaenda Morogoro kushiriki shughuli za...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Wri1xbSz2-7FunnTl7KgrucGDhJT2HTHj1nqXZIxLSaB3xGV3NEewBm6vZGRgyQq2lJJM2g3VU05giMsEJKM6xkFSFerZxYG/RC.jpg?width=650)
RC AAGIZA MASHOGA...