Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RC AAGIZA MASHOGA...

Na Francis Godwin, Iringa
SERIKALI ya Mkoa wa Iringa imeagiza  kukamatwa kwa wanawake wanaouza miili (ukahaba) na wanaume mashoga kama inavyofanywa na Oparesheni Fichua Maovu ‘OFM,’ ya Global Publishers. Agizo hilo limetolewa hivi karibuni katika kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Iringa kilichofanyika katika Ukumbi wa Siasa ni Kilimo chini ya mkuu wa mkoa huo, Christine Ishengoma. Hayo yamekuja baada ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

AUNT AKERWA NA MASHOGA

Stori: Emelder Tarimo KERO! Mtendea haki sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel amefunguka kuwa anakerwa sana na wanaume wenye hulka za kike (mashoga). Staa wa sinema za Kibongo Aunt Ezekiel. Akichonga na paparazi wetu, Aunt alisema mashoga wanamstaajabisha kwa jinsi wanavyojiweka na kujishaua katika jamii kitu ambacho anaamini ni tabia mbaya ambayo mtu anaweza kuiacha mara moja.
“Mashoga hunistaajabisha sana kwa kweli, kila...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mashoga wapinga sheria Uganda

Wanaharakati wa mapenzi ya jinsia moja, mawakili na wanasiasa wamewasilisha kesi mahakamani kupinga sheria mpya dhidi ya mapenzi ya jinsia moja

 

11 years ago

BBCSwahili

Mswada wa kuwabagua mashoga wakatiliwa.

Gavana wa jimbo la Arizona nchini Marekani aukataa mswada ambao ungesababisha kubaguliwa kwa watu wa jinsia moja.

 

11 years ago

BBCSwahili

Huduma za afya kwa mashoga UG

Waziri wa fedha nchini Uganda, ameambia BBC kuwa watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja, hawatatengwa katika kupata huduma za afya.

 

11 years ago

BBCSwahili

Gazeti lawataja 'mashoga' Uganda

Gazeti la udaku nchini Uganda la Red Pepper limechapisha orodha ya majina 200 wanayodai ni ya wale wanaojihusisha na mapenzi ya watu wa jinsia moja.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mashoga wapinga Urais wa Kutesa UN

Wakereketwa wa kutetea haki za watu wa jinsia moja nchini Uganda wamepinga kuchaguliwa kwa Waziri Sam Kutesa kama Rais katika UN.

 

11 years ago

Habarileo

Mashoga Uganda kufungwa maisha

HATIMAYE Rais Yoweri Museveni amesaini Muswada wa Sheria inayoharamisha na kutoa adhabu kali kwa wanaojihusisha na vitendo vya ushoga nchini na wanaowaficha. Msemaji wa Serikali, amesema Rais alitaka kutetea “uhuru wa Uganda dhidi ya shinikizo la mataifa ya Magharibi.”

 

11 years ago

GPL

BONGO MUVI KUNA MASHOGA!

IMEBAINIKA kuwa ndani ya tasnia ya filamu Bongo kuna baadhi ya wasanii wanaofanya mapenzi ya jinsia moja yaani mashoga, Risasi Mchanganyiko limenyetishwa. Mwenyekiti wa Bongo Movie Unity, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’. Hilo limeibuka ikiwa ni siku chache baada ya Rais wa Uganda, Yoweri Museven, kupitisha sheria nchini mwake ya kupiga marufuku mavazi yasiyo na staha, uvunjifu wa maadili na mapenzi ya jinsia moja.
...

 

10 years ago

BBCSwahili

Unyanyasaji wa mashoga washtumiwa Uganda

Wakereketwa wa haki za binadamu nchini Uganda wanawashutumu polisi wa nchi hiyo, kwa kuwanyanyasa na kuwapiga mashoga

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani