BONGO MUVI KUNA MASHOGA!
![](http://api.ning.com:80/files/i*tFWQTF2R8dKhK8VotocUDh45icBSjElp7osgaji9PtiynZ9fMHizcFGbFn73lgMwlKqrRq-fotFieE45FlhUeI8m3aFCEE/RISASI.jpg?width=650)
IMEBAINIKA kuwa ndani ya tasnia ya filamu Bongo kuna baadhi ya wasanii wanaofanya mapenzi ya jinsia moja yaani mashoga, Risasi Mchanganyiko limenyetishwa. Mwenyekiti wa Bongo Movie Unity, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’. Hilo limeibuka ikiwa ni siku chache baada ya Rais wa Uganda, Yoweri Museven, kupitisha sheria nchini mwake ya kupiga marufuku mavazi yasiyo na staha, uvunjifu wa maadili na mapenzi ya jinsia moja. ...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers07 Jan
Gigy: Kuna Mbongo Muvi anataka uchafu
Muuza nyago maarufu Bongo, Gift Stanford ‘Gigy Money’.
Na Mayasa Mariwata
MUUZA nyago maarufu Bongo, Gift Stanford ‘Gigy Money’ amefunguka kuwa kuna staa wa kike kutoka Bongo Muvi amekuwa akimsumbua mara kwa mara kwa kumshawishi afanye naye vitendo vya kichafu.
Gigy alisema kuwa, Mbongo Muvi huyo (jina linahifadhiwa) awali aliingia kwa gia ya kutaka wawe marafiki katika mambo ya kazi lakini kadiri siku zilivyosonga mbele na kuzoeana naye ndipo akamfungukia anataka wafanye naye mchezo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oszb1oYwZCmOwBe3EYzSANXk8R-MYo-t-SG57qf0lZH4DPzx2WTFaFYuWKhrEkgYa-pwAwSamXvyGCa*3bSQkrAj-4Hxsfsk/2.jpg?width=650)
STEVE NYERERE AGOMA KUWATAJA MASHOGA BONGO MOVIE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9pVNH1qXqqxMr-0sxX9bL0jwABAZzFUcPAQ0V8nUIA84wV5TdbJog1BjXbSxib7NNq0rND*D2K9kuAo1dATKx0iGLAcOjLyi/1...jpg?width=650)
BONGO MUVI KIMENUKA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hpMD5afDfdZPPPBByfAT22W5O61F41zCtmYcl23SzY34F8ewWPA8aW96LBPBXlxPhQAWpdBJkf7qMgQaa1cWKwL2Izl*SYYg/kisomo.jpg)
BONGO MUVI WACHAFUKA!
5 years ago
Bongo Movies02 Mar
Duma Kuirudisha Bongo Muvi
Msanii wa filamu bongo, Daudi Michael maarufu kama ‘Duma’ amesema lengo la yeye kumuita nchini msanii kutoka nchi ya Australia John K ni kutaka kuirudisha hadhi ya filamu ambayo imepotea kwa kipindi kirefu katika macho ya watu.
Duma amebainisha hayo wakati alipokuwa anazungumza kwenye kipindi cha eNewz kutoka EATV muda mchache baada ya kumpokea mgeni wake huyo kwenye uwanja wa ndege wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Jijini Dar es Salaam.
“Watanzania wanapaswa watupe ushirikiano sana...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LxgTrYw8IclDhcLMgoatMPY3lU5gTVjZaQGXCDkD896fkZUZgeSqXfejiYcdZjEpnuObbJLiQUw1--GLO15RZzkP9Z-8d9-e/mtandao.jpg?width=650)
MTANDAO WA NGONO BONGO MUVI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sT-mI3qB-hdD5k88wRisJV1K8qu0letWRxlssZIakgnya5ta*9ta49eQzb78PamXAfqkWj1nUzj8K1f53YVd9iEN0GC3*xNC/StevenKanumba.jpg?width=650)
WAMEONDOKA NA BONGO MUVI YAO!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U8LSueg-IYqwsbZOC0lv5wwEkdbgnLL*QVVtcHFQfEIhZRYQJGFEV2bQVY5O1zXBtWP7p-P8NrKnVoewDvkty074dIxR2owp/mastAA.jpg?width=650)
MASTAA WAJIENGUA BONGO MUVI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UbQGb2BFO*VIktgDvv6rVrpnFDeACDyql1nbekbRTlYbL4GANU4K1eJCI*vCV6xtpKZz03Q*6j-hiorJJDlq1mbBprImkh1G/steve8.jpg)
MISS BONGO MUVI KUSAKWA