Gigy: Kuna Mbongo Muvi anataka uchafu
Muuza nyago maarufu Bongo, Gift Stanford ‘Gigy Money’.
Na Mayasa Mariwata
MUUZA nyago maarufu Bongo, Gift Stanford ‘Gigy Money’ amefunguka kuwa kuna staa wa kike kutoka Bongo Muvi amekuwa akimsumbua mara kwa mara kwa kumshawishi afanye naye vitendo vya kichafu.
Gigy alisema kuwa, Mbongo Muvi huyo (jina linahifadhiwa) awali aliingia kwa gia ya kutaka wawe marafiki katika mambo ya kazi lakini kadiri siku zilivyosonga mbele na kuzoeana naye ndipo akamfungukia anataka wafanye naye mchezo...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/i*tFWQTF2R8dKhK8VotocUDh45icBSjElp7osgaji9PtiynZ9fMHizcFGbFn73lgMwlKqrRq-fotFieE45FlhUeI8m3aFCEE/RISASI.jpg?width=650)
BONGO MUVI KUNA MASHOGA!
9 years ago
Michuzi07 Dec
9 years ago
Bongo501 Oct
Music: Gigy Money — Majojorijo
9 years ago
Global Publishers04 Jan
Gigy, msanii Tekno ukweli waanikwa
Muuza nyago kwenye video za wasanii wa Bongo Fleva, Gift Stanford ‘Gigy Money’.
Mayasa Mariwata na Imelda Mtema
Siri imefichuka! Muuza nyago kwenye video za wasanii wa Bongo Fleva, Gift Stanford ‘Gigy Money’ ameibua gumzo baada ya ukweli kuanikwa kwamba alilala kwenye Hoteli ya Serena iliyopo Posta jijini Dar akijiachia na msanii kutoka Nigeria, Tekno Miles.
Kwa mujibu wa vyanzo vya kuaminika, usiku wa kuamkia Ijumaa, mrembo huyo alionekana akijiachia na jamaa huyo ambaye alitua Bongo kwa...
9 years ago
Global Publishers24 Dec
Gigy amtambia Wema kwa kalio lake
Gift Stanford ‘Gigy Money’.
Na Mayasa Mariwata
MSANII anayechipukia kwenye ulimwengu wa filamu Bongo, Gift Stanford ‘Gigy Money’ ‘amejivua’ akili kwa kumtambia staa wa filamu Bongo, Wema Sepetu kuwa si chochote kwake kwani hawezi kumfikia kwa umbo lake hususan kalio.
Wema Sepetu.
Akipiga stori na kona ya Bongo Movies, Gigy ambaye pia ni ‘muuza nyago’ kwenye video za Kibongo alisema kuwa ana kila sababu inayomfanya kujitambia kwa umbo lake ambalo linawateka hasa wanaume wakware.
“Kuna siku...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U8LSueg-IYp-5RWP*gQYjyQDGpZVN6WHqh4WwJAPu3ygsiGFVa4o-In4*3EBnJCRXd908lmWbrTnN-6aExxIxumy6KCtVSkg/mbongo.jpg)
MBONGO AUAWA MAREKANI
11 years ago
Tanzania Daima19 Feb
ALAT yawa mbongo
JUMUIYA ya Serikali za Mitaa (ALAT) Taifa, imeitaka serikali kuu kutangaza kuzivunja serikali za mitaa iwapo wanaona hazihitajiki kutokana na kushindwa kuzitambua katika rasimu ya katiba mpya. Kwamba rasimu hiyo...