Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uganda:masenge,misago kufungwa maisha

Mswaada huo pia unasema yeyote aliye na taarifa za wanoshiriki mapenzi ya jinsia moja na kutoripoti atafungwa gerezeni maisha

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mashoga Uganda kufungwa maisha

HATIMAYE Rais Yoweri Museveni amesaini Muswada wa Sheria inayoharamisha na kutoa adhabu kali kwa wanaojihusisha na vitendo vya ushoga nchini na wanaowaficha. Msemaji wa Serikali, amesema Rais alitaka kutetea “uhuru wa Uganda dhidi ya shinikizo la mataifa ya Magharibi.”

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Shule nchini Uganda kuendelea kufungwa kwa mwezi mmoja zaidi

Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesema kuwa Shule, makanisa, misikiti, vilabu, vilabu vya usiku, maeneo ya kufanyia mazoezi na saluni za urembo zitaendelea kufungwa ili kuepuka maambukizi ya virusi vya corona.

 

11 years ago

BBCSwahili

'Fistula' inavyotishia maisha Uganda

Nasuri au Fistula ni ugonjwa unaoathiri karibu Wanawake Milioni Mbili wengi katika nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara na Asia Mashariki.

 

9 years ago

Bongo5

Video: Sam Misago Ft. Ben Pol — Nimepania

11875589_1003539399703044_1024575082_n

Video mpya ya Sam Misago wimbo unaitwa “Nimepania” amemshirikisha Ben Pol, Video imeongozwa na Tonee Blaze

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

11 years ago

Michuzi

Maisha Plus Update: Washiriki kutoka Rwanda, Burundi, Kenya na Uganda wako Moro

 

WASHIRIKI wa shindano la Maisha Plus ambayo kwa mwaka 2014 inatambulika kwa jina la Maisha Plus Rekebisha, kutoka nchini Kenya, Rwanda,Uganda na Burundi tayari wameshawasili nchini na jana wameelekea wako mkoani Morogoro kushiriki shughuli za kijamii.
Mratibu wa onyesho hilo, Ally Masoud Kipanya amesema hili ni kundi la tatu kushiriki shughuli za kijamii, ambapo kundi la kwanza lilikuwa Iringa, kisha la pili likaenda Zanzibar na hili la tatu linaenda Morogoro kushiriki shughuli za...

 

10 years ago

Bongo5

Mwasiti amkana Misago, ni baada ya Diamond kumuita ‘muke halali ya Sam’

Mwasiti Almas amezungumzia salamu ya pongezi aliyopewa na Diamond Platnumz jana kwenye siku yake ya kuzaliwa iliyovumbua uhusiano usiojulikana kati yake na mtangazaji wa Power Jams ya EA Radio, Sam Misago. Katika salamu hizo, Diamond aliandika: Happy Birthday Chitty… muke halali ya @Sammisago.” Hata hivyo Mwasiti amekanusha kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Misago. “Diamond […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi Uganda 2021: Je ni kweli kampeni za kutumia redio zitaufungia upinzani Uganda?

Kupigwa marufuku kwa mikutano ya kampeni nchini Uganda wakati taifa hilo likielekea kufanya uchaguzi mkuu mwezi Januari 2021 kunaweza kunufaisha chama tawala zaidi kuliko upande wa upinzani.

 

10 years ago

Vijimambo

IBADA YA KUMBUKUMBU NA SHUKURANI YA MAISHA YA MAISHA YA MAREHEMU WILBARD KENTE DMV

Mchungaji Essie Cannon akiongoza ibada ya kumbukumbu na shukurani ya maisha ya marehemu Mr. Wilbard W. Kente aliyefariki February 1, 2015 Tanzania. Ibada ya kumbukumbu ilifanyika katika kanisa la Universal Holiness lililopo Washington, DC nchini Marekani.Deo Mosha akisoma wasifu wa marehemu Mr. Wilbard Kente katika ibada ya kumbukumbu na shukurani iliyofanyika siku ya Jumamosi March 21, 2015 Washington, DC nchini Marekani.Abba Genes akisoma somo.Jerminr Shelukindo akisoma somo.Henry Kente...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani