Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ushoga:Tetesi za sheria mpya Uganda

Suala la wapenzi wa jinsia moja na sheria nchini Uganda baado linazua mijadala nchini Uganda kukiwa na tetesi kuwa sheria kali zaidi inaundwa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Uganda yafuta sheria dhidi ya ushoga

Mahakama ya kikatiba nchini Uganda imefutilia mbali sheria dhidi ya wapenzi wa jinsia moja ambayo ilisababisha mataifa ya magharibi kuinyima msaada.

 

11 years ago

Bongo5

Mahakama ya kikatiba Uganda yafuta sheria dhidi ya ushoga

Baada ya Rais Uganda Yoweri Kaguta Museven kuasaini sheria kali dhidi ya watu wanaojihusisha na ushoga, mahakama ya kikatiba nchini Uganda imefutilia mbali sheria dhidi ya wapenzi wa jinsia moja ambayo ilisababisha mataifa ya magharibi kuinyima msaada. Kadhalika sheria hiyo ilizua gumzo sana sio tu Uganda bali kote duniani ambapo mataifa ya Magharibi yalilazimika kuingilia […]

 

11 years ago

Mtanzania

Mahakama yaruhusu ushoga Uganda

Rais wa Uganda, Yoweri Museveni

Rais wa Uganda, Yoweri Museveni

KAMPALA, Uganda

MAHAKAMA ya Kikatiba nchini Uganda imefutilia mbali sheria dhidi ya wapenzi wa jinsia moja, ambayo ilisababisha mataifa kadhaa ya magharibi kuinyima misaada.

Sheria hiyo ilizua mjadala si tu nchini Uganda bali kote duniani, kiasi cha kuyafanya mataifa ya magharibi yalazimike kuingilia kati.

Mahakama ilisema muswada uliopitishwa kabla ya kuidhinishwa na rais kuwa sheria ulipitishwa na wabunge ambao idadi yao haikutosha kuupitisha na kwa hivyo...

 

11 years ago

Mwananchi

Kenya wataka sheria ya ushoga

>Mbunge Irungu Kang’ata anaongoza juhudi za kundi lililoundwa la kupinga wapenzi wa jinsia moja nchini  Kenya. Sheria zilizopo zinasema ni hatia kwa watu kujiingiza katika tabia za ushoga na adhabu yake ni kifungo cha miaka 14 jela.

 

11 years ago

Mwananchi

UTEKELEZAJI: Uganda bado ‘ngangari’ dhidi ya ushoga

>Serikali imesema kuwa sheria mpya inayopiga marufuku vitendo vya ushoga ambayo inalalamikiwa vikali na baadhi ya makundi ya wanaharakati, haina makosa yoyote na kwamba wale wanaoendelea kuikosoa watakuwa na ajenda yao ya siri.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mashoga wapinga sheria Uganda

Wanaharakati wa mapenzi ya jinsia moja, mawakili na wanasiasa wamewasilisha kesi mahakamani kupinga sheria mpya dhidi ya mapenzi ya jinsia moja

 

10 years ago

Habarileo

Sheria mpya Takukuru yasubiri Katiba mpya

 George MkuchikaUAMUZI wa kutunga sheria kwa ajili ya kuimarisha Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (Takukuru) kwa ajili ya kuipa meno, unasubiri katiba mpya.

 

11 years ago

BBCSwahili

Haki ya matibabu Uganda Licha ya sheria

Waziri wa afya nchini Uganda amesema watu wa jinsia moja hawatabaguliwa wanapohitaji matibabu licha ya mpya.

 

10 years ago

Bongo5

Kim Kardashian akanusha tetesi za kuwa mjamzito, asifia wimbo mpya wa Kanye

Kim Kardashian ameuanza mwaka mpya kwa kusafisha tetesi zilizosambaa mtandaoni mwishoni mwa 2014 kuwa huenda akawa na ujauzito wa mdogo wake North. Kupitia Twitter Kim K aliandika: “Ngoja tusafishe baadhi ya tetesi kabla ya mwaka mpya …. Nimechoka kuona mtandaoni na kiukweli sijui wanayatoa wapi mambo haya!” aliendelea kwenye tweet nyingine, “hapana mimi sio mjamzito”, […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani