Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Muhusika wa tatu wa mashambulizi ya Paris atambuliwa

Ufaransa imesema kuwa muhusika wa tatu wa mashambulizi ya Bataclan ametambuliwa kuwa ni raia wa Ufaransa aliepata mafunzo ya itikadi kali nchini Syria

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

WATU ZAIDI YA 150 WAUAWA KATIKA MASHAMBULIZI PARIS, UFARANSA

Mauaji katika mghahawa wa Rue Bichat, Paris Gari la huduma ya kwanza. Walionusulika katika shambulizi lililofamyika kwenye ukumbi wa Batclan. ...Wakiokolewa. Miili ya marehemu wa mashambulizi hayo. Hali ya sintofahamu mjini paris.…

 

11 years ago

BBCSwahili

Mchinjaji wa IS atambuliwa

Mkurugenzi mkuu wa FBI James Comey amesema kitengo chake kimemtambua mchinjaji wa wanamgambo wa dola ya kiislam IS.

 

10 years ago

Vijimambo

JK AMTAJA MUHUSIKA WA RICHMOND


Rais Jakaya Kikwete amesema anashangazwa na Mwanasheria wa Chadema, Tundu Lissu kumtaka amtaje mhusika wa Richmond wakati mwenye Richmond yupo na anatembea naye mikoani.
Kikwete aliyasema hayo jana wakati akiwaaga wananchi wa Kigoma katika Uwanja wa Lake Tanganyika na kumtaka Lissu amtaje mwenye Richmond.“Endapo Tundu Lissu atashindwa kumtaja mwenye Richmond, nitatoka hadharani na kumtaja mwenyewe,” alisema Kikwete.Kabla ya mkutano huo, Rais Kikwete alifungua jengo la Mfuko wa Taifa wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mchinjaji wa IS 'Jihadi John' atambuliwa

Mwanaume ambaye amekuwa akitekeleza mauaji ya mateka wa kundi la wapiganaji wa Islamic State ajulikanaye kwa jina la utani "Jihadi John",ametambuliwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

M'barikiwa Irene Stefani atambuliwa Kenya

Maelfu ya Wakatoliki wanahudhuria sherehe mjini Nyeri, Kenya, ya kum'bariki mtawa wa kale kutoka Italia.

 

5 years ago

Contactmusic.Com

Paris Hilton | Paris Hilton's family donate $10M towards Covid-19 relief efforts

Paris Hilton | Paris Hilton's family donate $10M towards Covid-19 relief efforts  Contactmusic.comView Full coverage on Google News

 

11 years ago

Michuzi

SAKATA LA NYOKA AINA YA CHATU ARUSHA MUHUSIKA ABAINISHA UKWELI WA MAMBO

 Pichani ni Bw.Joseph Magessa aliyetuhumiwa hivi karibuni na tukio la Nyoka aina ya Chatu.  SAKATA la kukutwa na chatu  eneo la sakina katika nyumba ya Joseph Magessa limechukua sura mpya baada ya  mhusika kuhojiwa na mtandao wa jamiiblog huu kuhusiana na tukio hilo.   Aidha chatu huyo ambaye alikutwa  nyumbani kwa mmiliki huyo hivi karibuni imeelezwa tuhuma hizo sio za kweli bali ni njama za kumuharibia tu na tukio hilo ni la kutengenezwa na watu kwa lengo la kumchafulia jina...

 

5 years ago

BBCSwahili

Ubaguzi kwenye soka: 'Huwezi kujua kile anachohisi muhusika wakati huo'

Wachezaji na makocha wazungumzia vile ubaguzi wa rangi unavyowaathiri katika filamu iliyoandaliwa na kituo cha BBC Three ya 'Shame in The Game'.

 

10 years ago

Michuzi

DAKTARI BINGWA WA UPASUAJI WA KITANZANIA ATAMBULIWA NA JARIDA KUBWA LA FANI HIYO DUNIANI

Dkt. Amosy Ephreim M'Koma, Mtanzania, Bingwa katika fani ya Upasuaji (Colon and Rectal Surgery). ametambuliwa na Jarida kubwa la watalaam mabingwa wa upasuaji duniani la "World Journal of Surgical Procedures" kutokana na  shughuli zake za utafiti (Surgical Sciences) katika Chuo Kikuu cha Vanderbilt University huko North Nashville, Tenesee. Dkt. M'Koma amekuwa taarifa kuu katik toleo la sasa la Jarida hilo (BOFYA HAPA) lenye bodi ya wahariri 275 ambao wote ni mabingwa wa upasuaji toka sehemu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani