Kagasheki akosoa ripoti Kamati ya Tokomeza
ALIYEKUWA Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Khamis Kagasheki, amekosoa ripoti ya Kamati ya Bunge ya Maliasili, Ardhi na Mazingira akidai ilikuwa ya upande mmoja kwani haikuonesha mauaji ya askari waliohusika katika Operesheni Tokomeza Ujangili. Aidha, ameshangaa walioshangilia kujiuzulu kwake na baadaye uwaziri wake kutenguliwa na Rais Jakaya Kikwete, akisema kujiuzulu ni jambo la kawaida na kwamba angejisikia vibaya kama angeondolewa wizarani kwa sababu za ufisadi au wizi wa mali za umma.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo11 Apr
JK apokea Ripoti ya Operesheni Tokomeza
RAIS Jakaya Kikwete jana alipokea Ripoti ya Uchunguzi wa Operesheni Tokomeza katika hafla fupi ilifanyika Ikulu, Dar es Salaam.
10 years ago
Mtanzania11 May
Ikulu: Ripoti ya Tokomeza, Escrow hazitatolewa
Na Fredy Azzah, Dar es Salaam
KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, amesema ripoti za uchunguzi ya Operesheni Tokomeza na suala la Akaunti ya Tegeta Escrow hazitatolewa hadharani.
“Hakuna mpango wa kuweka ripoti hadharani kwa sababu kuna mambo ya kesi zinazoendelea mahakamani, sasa ukianza kutoa hadharani unaharibu hizo kesi mahakamani,” alisema Balozi Sefue.
Ametoa kauli hiyo siku chache baada ya kutolewa ripoti ya uchunguzi dhidi ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliachim...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-T_EPAmVpXCY/VSfo0YDCV0I/AAAAAAAHQIU/yzfqd5qP4HM/s72-c/unnamed%2B(82).jpg)
Rais Kikwete apokea Ripoti ya Operesheni Tokomeza
![](http://1.bp.blogspot.com/-T_EPAmVpXCY/VSfo0YDCV0I/AAAAAAAHQIU/yzfqd5qP4HM/s1600/unnamed%2B(82).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-g3unDLotoso/VSfo0WL22pI/AAAAAAAHQIQ/I9E0wasa0p8/s1600/unnamed%2B(83).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_ElOa2VXNZs/VSfpB-tXcTI/AAAAAAAHQIg/gI5BFmbieFs/s1600/unnamed%2B(84).jpg)
10 years ago
Mwananchi11 Apr
Rais akabidhiwa ripoti ya Operesheni Tokomeza Ujangili
10 years ago
Tanzania Daima02 Nov
Kamati yataka ripoti ya IPTL
KAMATI ya Uchumi, Viwanda na Biashara, imeitaka Serikali kuwasilisha taarifa ya uchunguzi wa sh. milioni 200 za IPTL katika vikao vya Bunge vinavyotarajiwa kuanza wiki hii, mkoani Dodoma. Akizungumza na...
11 years ago
Mwananchi08 Dec
Ripoti za CAG, Kamati kuwang’oa mawaziri?
10 years ago
Mwananchi04 Sep
Cheyo aikana ripoti ya Kamati Namba 11
11 years ago
Mwananchi10 Dec
Bunge laanza kuchambua ripoti za Kamati
11 years ago
Mwananchi02 Feb
Kamati yakataa ripoti ya Jiji la Mwanza