Rais Kikwete apokea Ripoti ya Operesheni Tokomeza
![](http://1.bp.blogspot.com/-T_EPAmVpXCY/VSfo0YDCV0I/AAAAAAAHQIU/yzfqd5qP4HM/s72-c/unnamed%2B(82).jpg)
Mwenyekiti wa Tume ya Uchunguzi kuhusu operesheni tokomeza Jaji(Mstaafu) Balozi Hamisi Amiri Msumi akimkabithi Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete Ripoti ya Uchunguzi wa Tume hiyo katika hafla fupi iliyofanyika ikulu jijini Dar es Salaam leo.Rais Kikwete aliiteua tume hiyo mwaka jana kuchunguza tuhuma za uvunjifu wa sheria katika utekelezaji wa operesheni hiyo.
Rais Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Tume ya Uchunguzi wa operesheni Tokomomeza ikulu leo. picha na Freddy Maro.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo11 Apr
JK apokea Ripoti ya Operesheni Tokomeza
RAIS Jakaya Kikwete jana alipokea Ripoti ya Uchunguzi wa Operesheni Tokomeza katika hafla fupi ilifanyika Ikulu, Dar es Salaam.
10 years ago
Mwananchi11 Apr
Rais akabidhiwa ripoti ya Operesheni Tokomeza Ujangili
10 years ago
VijimamboRais Kikwete apokea Ripoti ya CAG Dar
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vsBqaDgtALc/VRVVleogMkI/AAAAAAAHNn8/HFB-bUl5Wrs/s72-c/unnamed%2B(78).jpg)
Rais Kikwete apokea Ripoti ya CAG, ikulu jijini Dar leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-vsBqaDgtALc/VRVVleogMkI/AAAAAAAHNn8/HFB-bUl5Wrs/s1600/unnamed%2B(78).jpg)
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Profesa Musa Assad akizungumza wakati wa kukabidhi Ripoti yake Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-GY_QfLXd-dI/VRVVlXBNmUI/AAAAAAAHNn0/8AyQRTXlba8/s1600/unnamed%2B(79).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-tFBq45YIjfw/VRVVlkaxH4I/AAAAAAAHNn4/QUmrngD10xk/s1600/unnamed%2B(80).jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hiOw4xekqhnyYWLLgT194djmtV*SwzKa7iO-uFbZ471MuOZzndKx5OM0YY7t3-tbtgHIub4ByN10jmM-JPL9ziq2VB0--ZkB/RAISJK2.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE APOKEA RIPOTI YA MGAWANYIKO WA WATU KWA UMRI NA JINSI LEO IKULU, DAR
10 years ago
Michuzi10 Sep
10 years ago
Dewji Blog27 Mar
Rais apokea Ripoti ya CAG na kuagiza hatua kali zichukuliwe kwa wabadhirifu wa fedha za Serikali
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameviagiza vyombo vya Serikali kubaini maofisa wote wa Serikali wanaohusishwa na matumizi mabaya ya fedha za Serikali, ikiwa ni pamoja na kutoa malipo bila nyaraka zozote, kutumia fedha nje ya Bajeti na kutoa malipo bila idhini ya ofisa masuhuli, ili wachukuliwe hatua kali za kisheria na hatua nyingine.
Aidha, Rais Kikwete ameagiza kuchukuliwa kwa hatua kali za kisheria kwa maofisa wote wa Serikali ambao wanahusika...