Bunge laanza leo kwa posho mpya
Bunge la Bajeti linaanza leo mjini Dodoma huku wabunge wakitarajiwa kuanza kulipwa viwango vipya vya posho, ambazo ni Sh300,000 kwa siku sawa na kiwango wanacholipwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ir_AOfJUi_U/U-Ddn0-zBGI/AAAAAAAF9Uk/ti2_eOoVKsQ/s72-c/unnamed+(4).jpg)
Bunge maalumu la katika laanza leo mjini dodoma
![](http://2.bp.blogspot.com/-ir_AOfJUi_U/U-Ddn0-zBGI/AAAAAAAF9Uk/ti2_eOoVKsQ/s1600/unnamed+(4).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-n2qO_ieDTIY/U-DdoC5hUII/AAAAAAAF9Uo/ylkLUIh67Jk/s1600/unnamed+(5).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--dVivowijw8/U-DRCvu8NHI/AAAAAAAF9S0/tBuiOeaHQLk/s72-c/360.jpg)
BUNGE MAALUM LA KATIBA LAANZA TENA LEO MJINI DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/--dVivowijw8/U-DRCvu8NHI/AAAAAAAF9S0/tBuiOeaHQLk/s1600/360.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Q_2V2FO8hcE/U-DRDsagbeI/AAAAAAAF9S4/qeL5Q3y6VdU/s1600/363.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-d_KEK5muhwY/U-DRIVe5K4I/AAAAAAAF9TE/57vXhwLzzoU/s1600/348.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-HiPEHPqxALI/U-DRIYm6F5I/AAAAAAAF9TI/_gFnstXAjgw/s1600/354.jpg)
10 years ago
Mwananchi24 Oct
Posho zakwamisha Kamati za Bunge zakwama posho
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ltz8IQUQkiLID2lsULcFCV8cvGBGEwq2slszpAeXv5-jeqGFFZcvI16R3R*prhdDEB4nyzPxDz7zc1VreGzRYIILEl2-Npzf/bunge.jpg?width=650)
BUNGE LA BAJETI YA SERIKALI KWA MWAKA 2015/16 LAANZA MJINI DODOMA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fP425F9bo_c/VA7UyKZf6mI/AAAAAAAGiNg/oAv0wVoku_c/s72-c/Ukumbi-wa-Bunge-la-Katiba.jpg)
Bunge Maalum la Katiba laanza mijadala ya Rasimu ya Katiba rasmi leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-fP425F9bo_c/VA7UyKZf6mI/AAAAAAAGiNg/oAv0wVoku_c/s1600/Ukumbi-wa-Bunge-la-Katiba.jpg)
BUNGE Maalum la Katiba leo tarehe 9 Septemba, 2014 limeanza kazi yake ya kusoma na kujadili taarifa za Kamati mbalimbali zikiwemo Kamati namba Kumi na Mbili, Kamati namba Mbili, Kamati namba Moja, Kamati namba Nne, Kamati namba Nane, Kamati namba Tano, Kamati namba Tisa, Kamati namba Tatu, Kamati namba Sita pamoja na Kamati namba Kumi na Moja.
Baadhi ya mambo yaliyojadiliwa katika Bunge hilo ni pamoja suala la baadhi ya viongozi kumiliki akaunti zao za fedha...
11 years ago
Habarileo25 Feb
Mapendekezo posho Bunge yatua kwa JK
KAMATI iliyoteuliwa kushughulikia nyongeza ya posho kwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, imewasilisha mapendekezo kwa Rais Jakaya Kikwete, ikisubiri maelekezo ya kuongezwa au la.
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://1.bp.blogspot.com/-SLqDMKyy2vo/U-hbRiif3HI/AAAAAAAABdA/A4lZul8U2FI/s72-c/RaisahutubiaBungelaKatiba1.jpg)
Bunge ladhibiti posho kwa wajumbe watoro
NA WAANDISHI WETU BUNGE Maalum la Katiba limeweka udhibiti mkali kwa wajumbe wenye tabia ya kusaini posho bila kuhudhuria vikao.
![](http://1.bp.blogspot.com/-SLqDMKyy2vo/U-hbRiif3HI/AAAAAAAABdA/A4lZul8U2FI/s1600/RaisahutubiaBungelaKatiba1.jpg)
11 years ago
Habarileo17 Feb
Posho Bunge la Katiba Sh 300,000 kwa siku
BUNGE Maalumu la Katiba litafunguliwa rasmi Jumatano ijayo ya Februari 26, mwaka huu likiwa na wajumbe 629 na imethibitishwa kuwa kila mjumbe atalipwa Sh 300,000 kwa siku. Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Thomas Kashillilah, aliwaambia waandishi wa habari hayo jana ndani ya ukumbi mpya wa Bunge, walipoingia kwa mara ya kwanza ndani ya ukumbi huo kuangalia mfumo wa kisasa wa sauti na mambo mengine.
11 years ago
Michuzi16 Feb
mhe livingtsone lusinde aongelea bunge maalumu la katiba, na posho ya laki saba kwa siku