Wamiliki wa daladala kuendesha Dart kwa hisa
Ofisi ya akala wa Usafiri wa Mabasi Yaendayo Kasi (Dart), imesema wamiliki wa daladala watakaoathirika na mradi huo watakuwa na nafasi ya kuuendesha katika mfumo wa hisa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo18 Dec
Wenye daladala ‘ruksa’ kuendesha mradi DART
SERIKALI imesema haina kipingamizi kwa wamiliki wa mabasi ya usafiri Dar es Salaam maarufu kama daladala kuendesha mfumo wa mabasi yaendayo haraka kwenye jiji hilo katika kipindi cha mpito.
11 years ago
Tanzania Daima31 Mar
Wamiliki daladala watakiwa kujiandikisha DART
WAKALA wa mradi wa mabasi yaendayo haraka Dar es Salaam (DART) umewataka wamiliki wote wa daladala ambao mabasi yao yanapita katika Barabara ya Morogoro au kukatiza katika njia hiyo kufika...
11 years ago
Michuzi+(1).jpg)
DART kukutana na wamiliki wa daladala Karimjee Jumamosi
+(1).jpg)
Waratibu wa mkutano huo, wakala wa mabasi yaendayo haraka, DART Agency, watatumia pia mkutano huo kuelezea mkutano mwingine wa kimataifa unaotarajiwa kufanyika tarehe 3-4 mwezi ujao kujadili kuhusu...
11 years ago
Tanzania Daima12 Apr
DART wasajili wamiliki daladala kufikia malengo
MAMLAKA inayosimamia mradi wa mabasi yaendayo haraka (DART), iko katika hatua ya kusajili wamiliki wa daladala jijini Dar es Salaam ambao njia zao zinapita katika barabara ya Morogoro. Hatua hiyo...
11 years ago
Tanzania Daima26 May
‘Wamiliki wa daladala imarisheni kampuni’
WAMILIKI wa mabasi ya abiria jijini Dar es Salaam (Daladala) wametakiwa kuimarisha kampuni ya Mzizima Dar es Salaam Express, ili kuwawezesha kuwa na sifa na nguvu ya kushiriki mchakato wa...
11 years ago
Tanzania Daima24 Apr
DART yaongeza siku usajili daladala
WAKALA wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka Dar es Salaam (DART) umetangaza kusogeza mbele zoezi la kuandikisha mabasi ya abiria ‘daladala’ zinazopita katika Barabara ya Morogoro au kukatiza katika njia...
11 years ago
Habarileo07 Apr
Daladala waitikia vyema mfumo wa DART
WAMILIKI wa mabasi ya abiria maarufu kama daladala, jijini Dar es Salaam wameendelea kujitokeza kwa wingi kuandikisha mabasi yao kwa Wakala wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART), ikiwa ni sehemu ya mchakato wa kufanikisha awamu ya kwanza ya mradi huo.
11 years ago
Michuzi18 Jun
uuzaji wa hisa za kampuni ya 'Swala Energy' zinazotolewa kwa mara ya kwanza kwa shilingi 500 kwa hisa.
11 years ago
TheCitizen24 Aug
Daladala, Uda sign pact on Dart project