Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DART kukutana na wamiliki wa daladala Karimjee Jumamosi

Wamiliki wa mabasi ya usafiri wa abiria jijini Dar es Salaam na wadau wengine muhimu wanatarajia kukutana kwenye Ukumbi wa Karimjee jumamosi asubuhi kujifunza fursa na kufahamu jinsi wanavyoweza kuwa washiriki katika mradi wa mabasi yaendayo haraka (BRT) unaotarajiwa kuanza baadaye mwaka huu.
Waratibu wa mkutano huo, wakala wa mabasi yaendayo haraka, DART Agency, watatumia pia mkutano huo kuelezea mkutano mwingine wa kimataifa unaotarajiwa kufanyika tarehe 3-4 mwezi ujao kujadili kuhusu...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wamiliki daladala watakiwa kujiandikisha DART

WAKALA wa mradi wa mabasi yaendayo haraka Dar es Salaam (DART) umewataka wamiliki wote wa daladala ambao mabasi yao yanapita katika Barabara ya Morogoro au kukatiza katika njia hiyo kufika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

DART wasajili wamiliki daladala kufikia malengo

MAMLAKA inayosimamia mradi wa mabasi yaendayo haraka (DART), iko katika hatua ya kusajili wamiliki wa daladala jijini Dar es Salaam ambao njia zao zinapita katika barabara ya Morogoro. Hatua hiyo...

 

10 years ago

Mwananchi

Wamiliki wa daladala kuendesha Dart kwa hisa

Ofisi ya akala wa Usafiri wa Mabasi Yaendayo Kasi (Dart), imesema wamiliki wa daladala watakaoathirika na mradi huo watakuwa na nafasi ya kuuendesha katika mfumo wa hisa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Wamiliki wa daladala imarisheni kampuni’

WAMILIKI wa mabasi ya abiria jijini Dar es Salaam (Daladala) wametakiwa kuimarisha kampuni ya Mzizima Dar es Salaam Express, ili kuwawezesha kuwa na sifa na nguvu ya kushiriki mchakato wa...

 

11 years ago

Habarileo

Daladala waitikia vyema mfumo wa DART

WAMILIKI wa mabasi ya abiria maarufu kama daladala, jijini Dar es Salaam wameendelea kujitokeza kwa wingi kuandikisha mabasi yao kwa Wakala wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART), ikiwa ni sehemu ya mchakato wa kufanikisha awamu ya kwanza ya mradi huo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

DART yaongeza siku usajili daladala

WAKALA wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka Dar es Salaam (DART) umetangaza kusogeza mbele zoezi la kuandikisha mabasi ya abiria ‘daladala’ zinazopita katika Barabara ya Morogoro au kukatiza katika njia...

 

10 years ago

Habarileo

Wenye daladala ‘ruksa’ kuendesha mradi DART

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck SadikiSERIKALI imesema haina kipingamizi kwa wamiliki wa mabasi ya usafiri Dar es Salaam maarufu kama daladala kuendesha mfumo wa mabasi yaendayo haraka kwenye jiji hilo katika kipindi cha mpito.

 

10 years ago

TheCitizen

Daladala, Uda sign pact on Dart project

A row between the government and commuter bus owners over Dar Rapit Transit (Dart) project was finally settled yesterday.

 

10 years ago

Tanzania Daima

UDA, wamiliki daladala Dar es Salaam wapongezwa

UONGOZI wa Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), pamoja na wamiliki wa daladala mkoa wa Dar es Salaam, wamesaini mkataba wa makubaliano ya kushirikiana kwa lengo la kushinda zabuni ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani