Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Wamiliki wa daladala imarisheni kampuni’

WAMILIKI wa mabasi ya abiria jijini Dar es Salaam (Daladala) wametakiwa kuimarisha kampuni ya Mzizima Dar es Salaam Express, ili kuwawezesha kuwa na sifa na nguvu ya kushiriki mchakato wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wamiliki daladala watakiwa kujiandikisha DART

WAKALA wa mradi wa mabasi yaendayo haraka Dar es Salaam (DART) umewataka wamiliki wote wa daladala ambao mabasi yao yanapita katika Barabara ya Morogoro au kukatiza katika njia hiyo kufika...

 

11 years ago

Michuzi

DART kukutana na wamiliki wa daladala Karimjee Jumamosi

Wamiliki wa mabasi ya usafiri wa abiria jijini Dar es Salaam na wadau wengine muhimu wanatarajia kukutana kwenye Ukumbi wa Karimjee jumamosi asubuhi kujifunza fursa na kufahamu jinsi wanavyoweza kuwa washiriki katika mradi wa mabasi yaendayo haraka (BRT) unaotarajiwa kuanza baadaye mwaka huu.
Waratibu wa mkutano huo, wakala wa mabasi yaendayo haraka, DART Agency, watatumia pia mkutano huo kuelezea mkutano mwingine wa kimataifa unaotarajiwa kufanyika tarehe 3-4 mwezi ujao kujadili kuhusu...

 

10 years ago

Mwananchi

Wamiliki wa daladala kuendesha Dart kwa hisa

Ofisi ya akala wa Usafiri wa Mabasi Yaendayo Kasi (Dart), imesema wamiliki wa daladala watakaoathirika na mradi huo watakuwa na nafasi ya kuuendesha katika mfumo wa hisa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

UDA, wamiliki daladala Dar es Salaam wapongezwa

UONGOZI wa Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), pamoja na wamiliki wa daladala mkoa wa Dar es Salaam, wamesaini mkataba wa makubaliano ya kushirikiana kwa lengo la kushinda zabuni ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

DART wasajili wamiliki daladala kufikia malengo

MAMLAKA inayosimamia mradi wa mabasi yaendayo haraka (DART), iko katika hatua ya kusajili wamiliki wa daladala jijini Dar es Salaam ambao njia zao zinapita katika barabara ya Morogoro. Hatua hiyo...

 

11 years ago

Habarileo

Kampuni kuondoa daladala korofi

MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (SUMATRA) imesema kuwa tatizo la madereva wa usafiri wa daladala kujiamulia kutosafirisha abiria kwa muda wanaotaka wao litakwisha pindi usafirishaji huo utakapoanza kutekelezwa na mabasi ya kampuni.

 

5 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA F.M ABRI YATOA NDOO KWA UMOJA WA DALADALA MANISPAA YA IRINGA


NA DENIS MLOWE,IRINGA
KAMPUNI ya F.M Abri ya mkoani Iringa inayojishughulisha na sekta ya usafiri wa mizigo na vituo vya mafuta imekabidhi ndoo maalum za kunawia mikono 30 na sabuni za kutakasia mikono zaidi ya 100 kwa chama cha madereva daladala manispaa ya Iringa ajili ya kupambana na ugonjwa wa corona.
Akikabidhi vifaa hivyo kwa niaba ya mkurugenzi wa FM Abri, Arifu Abri mwakilishi wa kampuni hiyo, Yusuph Majaliwa alisema lengo la kampuni hiyo ni kuiunga mkono serikali katika mapambano...

 

10 years ago

Mwananchi

Sumaye: Nec imarisheni usawa wakati wa uchaguzi

Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye, ameitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi(Nec) kuhakikisha vyama vyote vinapata haki pamoja na kulindwa na sheria katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.

 

10 years ago

Vijimambo

IMARISHENI MAPATO YA NDANI KWA MAENDELEO YENU-MTAALAM

Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha, Bibi Dorothy Mwanyika akichangia majadiliano kuhusu ukusanyaji wa mapato ya ndani kwajili ya maendeleo wakati wa mkutano unaoendelea hapa Umoja wa Mataifa wa maandalizi ya Mkutano wa Tatu wa Kimataifa kuhusu uwezeshaji wa raslimalifedha kwa maendeleo endelevu baada ya 2015. Mkutano huo utafanyika mapema mwakani huko Adds Ababa, Ethiopia.Sehemu ya washiriki wa mada kuhusu mapato ya ndani wakifuatilia mchango na Tanzania pamoja na wachangiaji wengine.
Na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani