‘Wamiliki wa daladala imarisheni kampuni’
WAMILIKI wa mabasi ya abiria jijini Dar es Salaam (Daladala) wametakiwa kuimarisha kampuni ya Mzizima Dar es Salaam Express, ili kuwawezesha kuwa na sifa na nguvu ya kushiriki mchakato wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima31 Mar
Wamiliki daladala watakiwa kujiandikisha DART
WAKALA wa mradi wa mabasi yaendayo haraka Dar es Salaam (DART) umewataka wamiliki wote wa daladala ambao mabasi yao yanapita katika Barabara ya Morogoro au kukatiza katika njia hiyo kufika...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-1_EmfXpIwKA/U32lg_SFtTI/AAAAAAAFkXE/JlHxDHkl2zk/s72-c/unnamed+(16)+(1).jpg)
DART kukutana na wamiliki wa daladala Karimjee Jumamosi
![](http://1.bp.blogspot.com/-1_EmfXpIwKA/U32lg_SFtTI/AAAAAAAFkXE/JlHxDHkl2zk/s1600/unnamed+(16)+(1).jpg)
Waratibu wa mkutano huo, wakala wa mabasi yaendayo haraka, DART Agency, watatumia pia mkutano huo kuelezea mkutano mwingine wa kimataifa unaotarajiwa kufanyika tarehe 3-4 mwezi ujao kujadili kuhusu...
10 years ago
Mwananchi01 Sep
Wamiliki wa daladala kuendesha Dart kwa hisa
10 years ago
Tanzania Daima25 Aug
UDA, wamiliki daladala Dar es Salaam wapongezwa
UONGOZI wa Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), pamoja na wamiliki wa daladala mkoa wa Dar es Salaam, wamesaini mkataba wa makubaliano ya kushirikiana kwa lengo la kushinda zabuni ya...
11 years ago
Tanzania Daima12 Apr
DART wasajili wamiliki daladala kufikia malengo
MAMLAKA inayosimamia mradi wa mabasi yaendayo haraka (DART), iko katika hatua ya kusajili wamiliki wa daladala jijini Dar es Salaam ambao njia zao zinapita katika barabara ya Morogoro. Hatua hiyo...
11 years ago
Habarileo09 Mar
Kampuni kuondoa daladala korofi
MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (SUMATRA) imesema kuwa tatizo la madereva wa usafiri wa daladala kujiamulia kutosafirisha abiria kwa muda wanaotaka wao litakwisha pindi usafirishaji huo utakapoanza kutekelezwa na mabasi ya kampuni.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-oGTibmeGhdI/XsgUAbx0gTI/AAAAAAALrVI/-P4Bx5VNKU4ET4jkoee1Cwtr9zCVaNGgwCLcBGAsYHQ/s72-c/YUSUPH%2B2.jpg)
KAMPUNI YA F.M ABRI YATOA NDOO KWA UMOJA WA DALADALA MANISPAA YA IRINGA
NA DENIS MLOWE,IRINGA
KAMPUNI ya F.M Abri ya mkoani Iringa inayojishughulisha na sekta ya usafiri wa mizigo na vituo vya mafuta imekabidhi ndoo maalum za kunawia mikono 30 na sabuni za kutakasia mikono zaidi ya 100 kwa chama cha madereva daladala manispaa ya Iringa ajili ya kupambana na ugonjwa wa corona.
Akikabidhi vifaa hivyo kwa niaba ya mkurugenzi wa FM Abri, Arifu Abri mwakilishi wa kampuni hiyo, Yusuph Majaliwa alisema lengo la kampuni hiyo ni kuiunga mkono serikali katika mapambano...
10 years ago
Mwananchi09 Mar
Sumaye: Nec imarisheni usawa wakati wa uchaguzi
10 years ago
VijimamboIMARISHENI MAPATO YA NDANI KWA MAENDELEO YENU-MTAALAM
Na...