SNV yazindua ushirikiano na FINCA kuanziasha mradi wa kuboresha maisha ya vijana 20500 waishio vijijini
Mkuu wa Huduma za Kibenki wa FINCA Tanzania, Bwana Gershom Mpangalah akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa mradi wa kusaidia vijana wa OYE unaofanywa kati ya FINCA na shirika la maendeleo la SNV. Wanaotazama kutoka kushoto ni Mkuu wa Mradi OYE Upande wa Vijana Bwana Awadh Milas, Mkuu wa Miradi ya OYE Tanzania, Mozambique na Rwanda, Bwana Roy Van Der Drift na Mkurugenzi Mtendaji wa FINCA Bwana Ed Greenwood.
Na Mwandishi wetu
Shirika la Maendeleo la Kiholanzi SNV na...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziSNV AND FINCA TANZANIA LAUNCHES A PROJECT TO IMPROVE 20,500 YOUTH LIVES.
10 years ago
VijimamboKAMPUNI YA SIMU YA TTCL YAZINDUA MNARA WA MAWASILIANO, WAISHIO VIJIJINI KUNUFAIKA ZAIDI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ha*i6Zw5Rmq64mT6vYaygAojOLQ1jNnyMbYt9DXmis1XJL70lqq1OI6LT590f3ynmR1XhQ4z5gcgirrb7iVobixIq1xmudxT/1.jpg?width=650)
AIRTEL YAZINDUA RASMI MRADI WAKE WA KUBORESHA ELIMU
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HsO54I7bv6g/Xm58nJIipaI/AAAAAAALjyQ/vrvoSxBa9-Qz_QPdQrp02LlL4BwipwFIQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_101.jpg)
RUZUKU YA TASAF YAMUWEZESHA ALBINA KUENDESHA MRADI WA KOKOTO NA KUBORESHA MAISHA YAKE MJINI BABATI
![](https://1.bp.blogspot.com/-HsO54I7bv6g/Xm58nJIipaI/AAAAAAALjyQ/vrvoSxBa9-Qz_QPdQrp02LlL4BwipwFIQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_101.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/IMG_100.jpg)
Mnufaika wa Ruzuku inayotolewa na Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini (TASAF), Bibi Albina Matayo, mkazi wa Halmashauri ya Mji wa Babati, Mtaa wa Mrara, akitoa ushuhuda jana kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa wa namna TASAF ilivyomuwezesha...
10 years ago
Dewji Blog08 May
World Lung Foundation yazindua mradi wa elimu kwa mtandao inayosaidia kuokoa maisha ya akina mama na watoto
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk.Seif Rashid, akizindua mradi wa elimu kwa mtandao unaosaidia kuokoa maisha ya mama na mtoto ambao unaendeshwa na kusimamiwa na Shirika la World Lung Foundation (WLF) la hapa nchini, ambapo vituo vya Afya 13 vinanufaika na mradi huo.
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk.Seif Rashid (wapili kulia), akipiga makofi mara baada ya kuzindua mradi wa elimu kwa mtandao unaosaidia kuokoa maisha ya mama na mtoto ambao unaendeshwa na kusimamiwa na Shirika la World...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tUnUkKlrw5M/VDUElWKboKI/AAAAAAAGong/FGuUFVPuotE/s72-c/2.jpg)
FINCA WAZINDUA KAMPENI YAO MPYA YA FIKA NA FINCA JIJINI DAR LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-tUnUkKlrw5M/VDUElWKboKI/AAAAAAAGong/FGuUFVPuotE/s1600/2.jpg)
10 years ago
MichuziElimu kuhusu Mfuko wa Maendeleo ya Vijana yawafikia Vijana wa Mbeya Vijijini
Vijana wa Mkoa wa Mbeya Wilaya ya Mbeya Vijijini wametakiwa kutokuwa na tafsiri hasi kuhusu Mfuko wa Maendeleo ya Vijana kuwa ni takrima inayotolewa na serikali kwa vijana hivyo kuchezea fedha hizo na kushindwa kurejesha mkopo watakaouomba kupitia mfuko huo.
Hayo yamesemwa na Mwezeshaji kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi Ester Riwa wakati wa semina iliyotolewa kwa Vijana wa Mbeya Vijijini kuhusu Mfuko wa Maendeleo ya Vijana, Stadi za...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/UGqmRYHEvyg/default.jpg)
Wajawazito waishio vijijini mkoani Tabora hukimbilia kwa waganga
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GKIcKhusLMs/VUCUtnWsH3I/AAAAAAAHT9k/9vYNpEgPnKE/s72-c/unnamed.jpg)
Vodacom kujikita zaidi kuboresha huduma za mawasiliano vijijini