Wajawazito waishio vijijini mkoani Tabora hukimbilia kwa waganga
![](http://img.youtube.com/vi/UGqmRYHEvyg/default.jpg)
Zaidi ya nusu ya mama wajawazito waishio vijijini mkoani Tabora hukimbilia kwa waganga wa jadi na kuacha kuhudhuria kliniki.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo15 Jun
DC aagiza kukamatwa waganga wa jadi wanaosaidia wajawazito
MKUU wa Wilaya Kibondo, Venance Mwamotto ametoa agizo kukamatwa kwa waganga wa kienyeji wanaowapa wajawazito dawa za kuwasaidia kujifungua.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VoroEIe8h4I/XoXTw1XbRZI/AAAAAAALl1Q/uf4kCp2iFUcoh9x6DQZtwaiIFmreUBLGQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-3-768x512.jpg)
RC TABORA ASIMAMISHA LIKIZO ZA WAGANGA NA WAUUGUZI KUTOA ELIMU YA KUPAMABANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-VoroEIe8h4I/XoXTw1XbRZI/AAAAAAALl1Q/uf4kCp2iFUcoh9x6DQZtwaiIFmreUBLGQCLcBGAsYHQ/s640/1-3-768x512.jpg)
Zoezi la upulizaji wa dawa kwenye mabasi katika Stendi kuu ya Nzega Mkoani Tabora ukiendelea kama sehemu ya mkakati wa kukabiliana na Virusi vya Corona.
………………………………………………………MKUU wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri amesimamisha kwa muda likizo za watumishi wakiwemo wa Idara za Afya ili waendelee kuunganisha nguvu katika kusaidia jamii kwenye kampeni za mapambano ya ugonjwa wa Covid -19.
Hatua hiyo inalenga kuhakikisha kuwakuwepo na wataalamu wa kutosha katika maeneo yote ambao wataendelea kutoa...
10 years ago
VijimamboKAMPUNI YA SIMU YA TTCL YAZINDUA MNARA WA MAWASILIANO, WAISHIO VIJIJINI KUNUFAIKA ZAIDI
9 years ago
StarTV29 Dec
Serikali mkoani Tabora yanyooshewa kidole kwa Kutoendelezwa Mbuga Ya Wembere
Wakazi wa Igunga Mkoani Tabora wameitupia lawama serikali kwa kutothibiti Mbunga ya Wembere kwa kuendeleza mipaka na kuweka ulinzi wa kutosha hali ambayo imechangia wanyama kutoweka katika mbuga hiyo.
Wamesema mbuga ya Wembere ingeweza kuchangia kipato kwenye Halmashauri hiyo kwa watalii kutembelea eneo hilo.
Aidha wameeleza kuwa sababu kubwa za kutoweka kwa wanyama katika mbuga hiyo ni uwindaji haramu licha ya kutokea kwa mvua kubwa mwaka 1998 ambayo pia inadaiwa ilikua chanzo cha...
10 years ago
Dewji Blog17 Oct
SNV yazindua ushirikiano na FINCA kuanziasha mradi wa kuboresha maisha ya vijana 20500 waishio vijijini
Mkuu wa Huduma za Kibenki wa FINCA Tanzania, Bwana Gershom Mpangalah akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa mradi wa kusaidia vijana wa OYE unaofanywa kati ya FINCA na shirika la maendeleo la SNV. Wanaotazama kutoka kushoto ni Mkuu wa Mradi OYE Upande wa Vijana Bwana Awadh Milas, Mkuu wa Miradi ya OYE Tanzania, Mozambique na Rwanda, Bwana Roy Van Der Drift na Mkurugenzi Mtendaji wa FINCA Bwana Ed Greenwood.
Na Mwandishi wetu
Shirika la Maendeleo la Kiholanzi SNV na...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-OKOj6zd3y2g/U3A5ZB5v_OI/AAAAAAAFg_s/Bttm1wXC2vY/s72-c/IMG_8943.jpg)
BAISKELI MKOMBOZI WA USAFIRI KWA AKINA MAMA WENGI WA NZEGA MKOANI TABORA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-OKOj6zd3y2g/U3A5ZB5v_OI/AAAAAAAFg_s/Bttm1wXC2vY/s1600/IMG_8943.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2B8AyhfVEsg/VP7-08LuohI/AAAAAAAHJWM/cWiesej-Kts/s72-c/Untitled1.png)
UTT AMIS WAFANYA ZIARA MKOANI TABORA NA KUTOA ELIMU YA UWEKEZAJI KWA WADAU MBALIMBALI
Mifuko ya uwekezaji wa pamoja ni fursa mbadala inayowezasha watu,vikundi,taasisi na kampuni sawa na mahitaji yao kuwekeza pesa zao kwa meneja wa mfuko(UTT AMIS) kisha meneja huwekeza fedha hizo katika masoko ya fedha na masoko ya mitaji kulingana na waraka wa...
10 years ago
GPLWATANZANIA WAISHIO BOTSWANA WAVUTIWA NA KUJIUNGA KWA WINGI KATIKA GEPF DIASPORA SCHEME (GDS) ULIOANZISHWA MAALUM KWA WATANZANIA WAISHIO NJE NA MFUKO WA GEPF.
11 years ago
Dewji Blog27 May
Kinana amaliza ziara yake Mkoani Singida kwa kuzuru Singida Vijijini
Mbunge wa Singida Mashariki Lazaro Nyalandu akimlaki Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana wakati wa mapokezi ya kiongozi huyo wa Chama, katika kata ya Msisi, Singida Vijijini, jana Mei 26, 2014.
Wanachama wa Jumuia ya Wazazi Kata ya Msisi wakimvalisha mgolole Kianana kabla ya kufungua tawi la Wazazi la Kata hiyo.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizindua tawi la Jumuia ya Wazazi Kata ya Msisi, wilaya ya Singiga Vijijini.
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akishiriki kuvuna...