RC TABORA ASIMAMISHA LIKIZO ZA WAGANGA NA WAUUGUZI KUTOA ELIMU YA KUPAMABANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-VoroEIe8h4I/XoXTw1XbRZI/AAAAAAALl1Q/uf4kCp2iFUcoh9x6DQZtwaiIFmreUBLGQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-3-768x512.jpg)
Zoezi la upulizaji wa dawa kwenye mabasi katika Stendi kuu ya Nzega Mkoani Tabora ukiendelea kama sehemu ya mkakati wa kukabiliana na Virusi vya Corona.
………………………………………………………MKUU wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri amesimamisha kwa muda likizo za watumishi wakiwemo wa Idara za Afya ili waendelee kuunganisha nguvu katika kusaidia jamii kwenye kampeni za mapambano ya ugonjwa wa Covid -19.
Hatua hiyo inalenga kuhakikisha kuwakuwepo na wataalamu wa kutosha katika maeneo yote ambao wataendelea kutoa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-30SQDW9_eY8/XqRuRBE1ECI/AAAAAAALoO8/YX-VfaQBd2gRGAMBN9JvMhFbCtPJyNQXwCLcBGAsYHQ/s72-c/f1cc5569-5b7c-4192-838c-30ef457f72e3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2B8AyhfVEsg/VP7-08LuohI/AAAAAAAHJWM/cWiesej-Kts/s72-c/Untitled1.png)
UTT AMIS WAFANYA ZIARA MKOANI TABORA NA KUTOA ELIMU YA UWEKEZAJI KWA WADAU MBALIMBALI
Mifuko ya uwekezaji wa pamoja ni fursa mbadala inayowezasha watu,vikundi,taasisi na kampuni sawa na mahitaji yao kuwekeza pesa zao kwa meneja wa mfuko(UTT AMIS) kisha meneja huwekeza fedha hizo katika masoko ya fedha na masoko ya mitaji kulingana na waraka wa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Sl9BkzjOc3c/XrldHdvcN-I/AAAAAAAAH34/EeGs2DSMNb8KmZz7_Y8PqK0vQsuplWBIwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200428_124231.jpg)
UVCCM IRINGA WAENDELEA KUTOA ELIMU YA KUJIKINGA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Sl9BkzjOc3c/XrldHdvcN-I/AAAAAAAAH34/EeGs2DSMNb8KmZz7_Y8PqK0vQsuplWBIwCLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200428_124231.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-iLuorMEDQJY/XrldHXht2LI/AAAAAAAAH38/9tG-wsWwLEku15dl-54AxhuWsWx-m52GgCLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200428_124111_1.jpg)
NA FREDY MGUNDA,IRINGA.Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi(UVCCM) Wilaya ya Iringa vijijini umeeleza kuwa zoezi la...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PpRDY32gDcM/XmY_Paeqy_I/AAAAAAALiPM/iR8klbgdzuQOQOxTUG6MypB975cCjPbHwCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
RC Wangabo azunguka vijijini kutoa elimu ya Ugonjwa wa Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-PpRDY32gDcM/XmY_Paeqy_I/AAAAAAALiPM/iR8klbgdzuQOQOxTUG6MypB975cCjPbHwCLcBGAsYHQ/s640/0.jpg)
Wakati akielezea miongoni mwa mila...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0gAIo3fsSoI/XoS35KCGiKI/AAAAAAALlz8/YouBNj2Rz54XIoZqM8kLO9Fkr2GTevPTwCLcBGAsYHQ/s72-c/0b82d31a-ae7b-49b4-92db-a4f5f98afdac.jpg)
ENDELEENI KUTOA ELIMU YA UGONJWA WA CORONA KWA WANANCHI – DKT.NDUGULILE
![](https://1.bp.blogspot.com/-0gAIo3fsSoI/XoS35KCGiKI/AAAAAAALlz8/YouBNj2Rz54XIoZqM8kLO9Fkr2GTevPTwCLcBGAsYHQ/s640/0b82d31a-ae7b-49b4-92db-a4f5f98afdac.jpg)
Muonekano wa chumba atakacholazwa mgonjwa wa Corona endapo atatokea, kilichopo katika jengo lililotengwa kwaajili ya wagonjwa hao katika kituo cha Afya Mkonze Jijini Dodoma,
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/6bb0d8a5-9a3e-41e6-91a9-a111db4674cc.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/861a53c7-bb7c-41b6-8201-996c994dbcb4.jpg)
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile akiongea na Wataalamu wa Sekta ya Afya ngazi ya Mkoa katika ofisi za mkuu wa Mkoa wa Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/1924b07d-13db-49c1-b13e-3b6b6e6ae586.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4UwDfNjITo4/XnWwMNIWe3I/AAAAAAALknA/hFluiYsP7boeSFOBtlp_Xg3nTBP60YZWQCLcBGAsYHQ/s72-c/thumb_328_800x420_0_0_auto.jpg)
Njombe:Wataalamu wazunguka Stendi,Sokoni kutoa elimu ya virusi vya Corona
Na Amiri kilagalila,Njombe
Kufuatia uwepo ugonjwa wa virusi vya Corona nchini Tanzania,halmashauri ya mji Njombe imeanza kutoa elimu kwa wananchi wa halmashauri hiyo ili kuweza kuchukua hatua stahiki za kuepukana na maambukizi zaidi ambapo Idara ya afya imeanza kutoa elimu katika maeneo ya stendi,masoko,taasisi za kifedha na hoteli kuhusu dalili na njia za kujikinga na virusi hao.
Mganga mkuu wa halmashauri ya mji wa Njombe Dkt.Yesaya Mwasubila amewataka wananchi kuhakikisha kuwa wananawa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-n-U4nF4S3_I/XoBbKEpHJrI/AAAAAAALlcs/ePe76FE_PzE23LqSgFc4n_sbJZx7CGpyQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-63.jpg)
MAAFISA USTAWI NA MAENDELEO YA JAMII WATAKIWA KUTOA ELIMU KWA YA KUJIKINGA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-n-U4nF4S3_I/XoBbKEpHJrI/AAAAAAALlcs/ePe76FE_PzE23LqSgFc4n_sbJZx7CGpyQCLcBGAsYHQ/s640/1-63.jpg)
Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Bw. Hargeney Chituturo akizungumza wakati akifungua mafunzo ya kuwajengea uwezo wa kuelimisha jamii kuhusu ugonjwa wa Corona Maafisa Ustawi na Maendeleo ya Jamii wa Mkoa wa Arusha, katika ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha jana tarehe 28/03/2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2-61.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2-B-1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2-A-1.jpg)
Maafisa Ustawi na Maendeleo ya Jamii wa Mkoa wa Arusha wakifuatilia mada zilizokuwa zikitolewa wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo wa kuelimisha jamii kuhusu ugonjwa wa Corona katika ukumbi wa Mikutano...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wcVK7Mbxf1s/XnJEG9r10SI/AAAAAAALkRY/WZ_46goMTxUEQX_VoDdVAPQMSDNnKfHUQCLcBGAsYHQ/s72-c/DC%2BKINO.jpg)
DC CHONGOLO AAGIZA WATAALAMU WA AFYA KUTOA ELIMU YA KUJIKINGA NA CORONA KWENYE VITUO VYA DALADALA, NYUMBA ZA IBADA
![](https://1.bp.blogspot.com/-wcVK7Mbxf1s/XnJEG9r10SI/AAAAAAALkRY/WZ_46goMTxUEQX_VoDdVAPQMSDNnKfHUQCLcBGAsYHQ/s400/DC%2BKINO.jpg)
Aidha Mhe. Chongolo ameagiza pia elimu hiyo kutolewa kwenye vituo vya daladala ili kuwasaidia wananchi kutambua namna ya kutumia na kujikinga na Virusi hivyo.
Mhe. Chongolo ametoa agizo hilo leo katika kikao cha zarura kilichofanyika katika ukumbi wa Afya ambapo kimehusisha Mkurugenzi wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VfdbsJj2u7c/XowQ7kUzHrI/AAAAAAALmUk/v4Syv1GoyW4calWNtSqJVlWcNDEV_4GkQCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0044-768x513.jpg)
RC Wangabo Asisitiza Watumishi Kutoa Elimu ya Corona Hadi Vijijini Baada ya Wananchi na Vijana Wengi kutofuatilia Vyombo vya Habari
![](https://1.bp.blogspot.com/-VfdbsJj2u7c/XowQ7kUzHrI/AAAAAAALmUk/v4Syv1GoyW4calWNtSqJVlWcNDEV_4GkQCLcBGAsYHQ/s640/DSC_0044-768x513.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo akipimwa hali yake ya joto la mwili kabla ya kuingia katika ofisi za kituo cha Uhami`aji kilichopo katika mpaka wa Kasesya unaotenganisha nchi ya Tanzania na Zambia,uliopo kata ya Itete, Wilayani Kalambo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC_0113-1024x684.jpg)