SERIKALI KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA ASASI ZA KIRAIA KUPAMABANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-30SQDW9_eY8/XqRuRBE1ECI/AAAAAAALoO8/YX-VfaQBd2gRGAMBN9JvMhFbCtPJyNQXwCLcBGAsYHQ/s72-c/f1cc5569-5b7c-4192-838c-30ef457f72e3.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-b2PxK2hdcZI/XqRi3eEsqeI/AAAAAAALoOA/MMggTXebq6gUjkMEDtH0sU7Rw3VsVdyhQCLcBGAsYHQ/s72-c/7c15c649-2ad1-4c8d-9511-abe2158f9941.jpg)
SERIKALI KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA ASASI ZA KIRAIA
Na.WAMJW,Dar es Salaam.
Serikali imesema itaendelea kushirikiana na Asasi za Kiraia (AZAKI) katika kupambana na janga la ugonjwa unaosababishwa na Virusi vya Corona (COVID-19).
Hayo yamesemwa leo jijini Dar es Salaam na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile wakati akipokea andiko na mpango mkakati wa Asasi za Kiraia(AZAKI) kuhusu janga la COVID -19 nchini.
Naibu Waziri Ndugulile alisema AZAKI pamoja na wananchi wanao wajibu wa...
9 years ago
VijimamboESHI LA MAGEREZA NCHINI KUSHIRIKIANA NA ASASI ZA KIRAIA KATIKA KUPUNGUZA MSONGAMANO MAGEREZANI
Na, Lucas Mboje, Morogoro
Jeshi la Magereza nchini limeahidi kuendelea kushirikiana na Asasi ya Envirocare katika kuimarisha Madawati ya Msaada wa Kisheria Magerezani ili kuleta tija katika utatuzi wa changamoto ya Msongamano wa Mahabusu inayolikabili Jeshi hilo.
Kauli hiyo imetolewa jana Mkoani Morogoro na Kamishna...
9 years ago
MichuziJESHI LA MAGEREZA NCHINI KUSHIRIKIANA NA ASASI ZA KIRAIA KATIKA KUPUNGUZA MSONGAMANO MAGEREZANI
Na, Lucas Mboje, MorogoroJeshi la Magereza nchini limeahidi kuendelea kushirikiana na Asasi ya Envirocare katika kuimarisha Madawati ya Msaada wa Kisheria Magerezani ili kuleta tija katika utatuzi wa changamoto ya Msongamano wa Mahabusu inayolikabili Jeshi hilo.
Kauli hiyo imetolewa jana Mkoani Morogoro na Kamishna...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1lXnAUzo5O8/Xo3kCsl4rxI/AAAAAAALmjg/vqegO0e1Iz4EEU8CMXPyeYfVXQpATkg7gCLcBGAsYHQ/s72-c/9c4c9c61-31e4-484b-8337-fc25c390cc0b.jpg)
ASASI ZA KIRAIA ZACHANGIA SH MILIONI 79 KWA AJILI YA KUSAIDIA MAPAMBANO DHIDI YA CORONA
Charles James, Michuzi TV
KATIKA kuunga mkono jitihada zinazofanywa na serikali kwenye mapambano ya kuzuia maambukizi ya ugonjwa wa Corona, Mashirika yasiyo ya kiserikali (AZAKI) yamechangia Sh Milioni 79 kwa kamati ya kupambana na ugonjwa huo inayoongozwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.
AZAKI pia imeahidi kutoa elimu kwa jamii kuhusu jinsi ya kujikinga na ugonjwa huo ikiwemo kuhamasisha wananchi kutumia vitakasa mikono, maji ya kunawa, kuepuka misongamano isiyo ya lazima na kuwahi kituo cha...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-IF9dGWkgnsg/XqE2Z62YioI/AAAAAAALn7I/8y6FAc3-C90owxmWd2G7hit2Ftmi-16KwCLcBGAsYHQ/s72-c/25173a2e-5a3d-4947-a931-da1625adadd4.jpg)
ASASI ZA KIRAIA ZAANZISHA KUCHANGISHA FEDHA KWA AJILI YA KUNUNUA VIFAA VYA WAHUDUMU WA AFYA KUJIKINGA NA CORONA
Charles James, Michuzi TV
Katika kuunga mkono juhudi za serikali kwenye mapambano dhidi ya ugonjwa wa Corona, Asasi za Kiraia zimeanzisha kampeni ya kuchangisha fedha kwa ajili ya kusaidia mapambano hayo.
Kampeni hiyo imelenga kuchangisha fedha kwa ajili ya kuwanunulia vifaa vya kujikinga na ugonjwa wa Corona wahudumu wa afya nchini.
Akizungumzia kampeni hiyo, Mkurugenzi Mtendaji wa AZAKI, Francis Kiwanga amesema wao kama Asasi za Kiraia wameguswa na mapambano ya ugonjwa huo hivyo wakaona ni...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5iV75pymkoI/VlcA718-96I/AAAAAAADC3A/C749ITqrAuI/s72-c/PIX1.jpg)
Serikali kuendelea kushirikiana na Vijana katika kutatua changamoto zao
![](http://1.bp.blogspot.com/-5iV75pymkoI/VlcA718-96I/AAAAAAADC3A/C749ITqrAuI/s640/PIX1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uNgGcB2lGiw/VlcA8SG4SkI/AAAAAAADC3E/hJqydszKEmE/s640/PIX2.jpg)
10 years ago
Habarileo09 Jan
‘Asasi za kiraia wekezeni katika elimu ya uraia’
ASASI za kiraia zimetakiwa kuwekeza katika elimu ya uraia na kuelimisha jamii kuhusu haki zao hasa kipindi cha kuelekea Uchaguzi Mkuu.
10 years ago
MichuziWAZIRI CHIKAWE-ASASI KIRAIA ZINAZOJIHUSIHA NA SIASA KUFUTWA
Baadhi ya Waandishi habari waliohudhuria katika mkutano wa wizara ya Mambo ya Ndani jijini Dar es salaam leo.Picha Emmanuel Massaka wa Globu ya jamii.
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.
ASASI za Kiraia zilizosajiliwa chini ya Wizara...
11 years ago
MichuziSerikali kuendelea kushirikiana na Chama cha Madaktari Bingwa wa Uzazi na Magonjwa ya Wanawake Tanzania (AGOTA)
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amewataka madaktari Bingwa wa Uzazi na Magonjwa ya Wanawake kutokata tamaa katika kuwahudumia wajawazito nchini.
Katika hotuba yake iliyosomwa na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,Dkt.Seif Rashid katika uzinduzi wa Kongamano la 23 la Kisayansi na Mkutano Mkuu wa mwaka wa wanachama Chama Cha Madaktari Bingwa wa Uzazi na Magonjwa ya Wanawake Tanzania (AGOTA).
Kongamano hilo la siku tatu lilianza juzi na linamalizika leo, Dar es salaam ambapo Pinda alisema kuwa...
Katika hotuba yake iliyosomwa na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,Dkt.Seif Rashid katika uzinduzi wa Kongamano la 23 la Kisayansi na Mkutano Mkuu wa mwaka wa wanachama Chama Cha Madaktari Bingwa wa Uzazi na Magonjwa ya Wanawake Tanzania (AGOTA).
Kongamano hilo la siku tatu lilianza juzi na linamalizika leo, Dar es salaam ambapo Pinda alisema kuwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania