Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hali hairuhusu kupata Katiba

Wakati Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wakitarajiwa kuendelea na vikao mjini Dodoma kesho, Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC), Antony Lusekelo, amesema kuwa hali ya kisiasa hairuhusu nchi kupata Katiba Mpya kwa sasa, akishauri Bunge hilo kusitishwa hadi baada ya uchaguzi mkuu mwakani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Maulid Kitenge amjulia hali Mdau Mwamad Maulanga alielazwa Moi baada ya kupata ajali

Mtangazaji wa Radio E FM 93.7,Maulid Kitenge akimjulia hali Mdau Mwamad Maulanga aliyelazwa Moi Muhimbili jijini Dar,baada ya kupata ajali katika eneo la Wami,mkoani Pwani wakati akiwa safarini kuelekea Mjini Moshi hivi karibuni. Hii ndio gari aliyokuwa akiitumia Mdau Mwamad Mwaulanga.

 

9 years ago

Michuzi

MAGUFULI AMJULIA HALI NA KUMPA POLE MEYA WA JIJI LA MBEYA MH ATHANAS KAPINGA BAADA YA KUPATA AJALI

  Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi (CCM),Ndugu John Pombe Magufuli akimjulia hali na kumpa pole aliyekuwa Meya wa jiji la Mbeya Mh.Athanas Kapunga aliyepata ajali wilayani Momba mkoani Mbeya wakati wa mbio za maandalizi ya Kampeni hivi karibuni,Mh Kapunga amelazwa kwenye chumba maalum cha wagonjwa  mahututi (ICU) katika hospitali ya Rufaa mjini humo. Mmoja wa Wauguzi walioko kwenye chumba maalum cha wagonjwa  mahututi (ICU),akimpa maelezo...

 

11 years ago

Mwananchi

Watanzania kupata Katiba wanayoitaka?

Aprili, 2012, Rais Jakaya Kikwete alitangaza wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Tanzania ikiwa ni mwanzo wa mchakato wa kuelekea kupata Katiba Mpya.

 

11 years ago

BBCSwahili

Tunisia kupata katiba mpya

Wabunge nchini Tunisia wameanza kupigia kura rasimu ya katiba mpya ambayo ilipaswa kupitishwa miaka kadhaa iliyopita

 

10 years ago

Mwananchi

ALAT kupata fursa Katiba Mpya

Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Asha-Rose Migiro amewasilisha katika Bunge Maalumu, mapendekezo ya Jumuiya ya Tawala za Mitaa nchini (ALAT) ya kuongezwa kwa sura mpya katika mchakato wa Katiba.

 

11 years ago

Mwananchi

Maridhiano ni muhimu katika kupata Katiba Mpya

Jana katika gazeti hili tulichapisha habari Rais Jakaya Kikwete akiwataka Umoja wa Katiba wa Wananchi (Ukawa, waliosusia vikao vya Bunge Maalumu la Katiba kutokana na kutoridhishwa na mwenendo wake, kurejea ili kutunga Katiba.

 

11 years ago

Mwananchi

DIRA: Matumaini ya kupata Katiba bora yanatoweka

>Licha ya mchakato wa Katiba Mpya kuendelea kama ratiba na sheria inavyoelekeza, kuna dalili za kutopata Katiba bora yenye matakwa ya wananchi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Si rahisi kupata katiba inayoakisi maoni ya Watanzania!

SINA tumaini kwamba tunaweza kupata katiba inayoakisi maoni ya wananchi  walio wengi. Sasa hivi nimepoteza hamu ya kufuatilia mjadala wa uandikaji wa katiba mpya bungeni. Nimepata sononeko la moyo. Tulichotamani...

 

11 years ago

Mwananchi

Tusipotumia fursa hii kupata katiba tutajuta

Vikao vya Bunge la Katiba vinatarajiwa kuanza tena Agosti mwaka huu baada ya kusimama kwa muda kupisha Bunge la Bajeti linaloendelea mjini Dodoma.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani