Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Katiba imewagawa Watanzania hivi

Mbali na kubaki ‘njia panda’ , kuna baadhi ya Watanzania ambao wanaamini mshale wa saa bado unaendelea kuonyesha dalili na matumaini ya kupatikana kwa Katiba Mpya.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

HILI LA KATIBA, HIVI UBAYA WA MAASKOFU UKO WAPI?

Rais Jakaya Kikwete. WIKI moja iliyopita kumekuwa na mfululizo wa matukio yanayoendana na hali ya kisiasa ya taifa letu kwa sasa. Yote yamezaliwa kutokana na kauli iliyotolewa na Jumuia ya Kikristo Tanzania (CCT) na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) kuhusu Katiba Inayopendekezwa. Vyombo hivyo viwili vya dini ya Kikristo, baada ya kuelezea mapungufu yaliyokuwemo katika mchakato mzima wa kuipata Katiba Inayopendekezwa,...

 

10 years ago

GPL

HIVI KUNA HILA GANI KWENYE HILI LA KATIBA MPYA?

Aliyewahi kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samweli Sita akisalimiana na rais Jakaya Mrisho Kikwete.
MWAKA huu unaingia katika historia ya nchi yetu moja kwa moja pasipo maswali. Tofauti na wakati mwingine, mwaka huu una uwezekano wa kupitisha matukio makubwa mawili, ambayo kwa namna yoyote, yanaweza kuharibu au kuimarisha taifa letu lenye umri wa miaka 50 tangu lipate uhuru wake. Tukio moja tumelizoea...

 

11 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AKILIHUTUBIA LIVE BUNGE MAALUM LA KATIBA HIVI SASA MJINI DODOMA

 TAZAMA HAPA MATANGAZO YA MOJA KWA MOJA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA AKILIHUTUBIA BUNGE MAALUM LA KATIBA MKOANI DODOMA JIONI HII.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ni Katiba ya Watanzania au ya utanzania?

NIMEFUATILIA mchakato wa Mabadiliko ya Katiba kwa umakini mkubwa. Wasomaji wangu wamekuwa wakinitaka kutoa maoni yangu juu ya katiba na kutoa mapendekezo yangu. Kwa ufupi ni kwamba mchakato unakwenda vizuri,...

 

11 years ago

Habarileo

KKKT wataka Katiba ya Watanzania

MSAIDIZI wa Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kikristo Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Dodoma Mchungaji Samweli Mshana, amewataka wajumbe walio katika mchakato wa Katiba kuhakikisha wanawapatia watanzania Katiba itakayotoa haki zote bila upendeleo.

 

11 years ago

Mwananchi

Watanzania kupata Katiba wanayoitaka?

Aprili, 2012, Rais Jakaya Kikwete alitangaza wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Tanzania ikiwa ni mwanzo wa mchakato wa kuelekea kupata Katiba Mpya.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Halahala katiba isiwatenge Watanzania

WAKATI Watanzania wakisubiri kwa hamu uamuzi wa kuipitisha ama kutoipitisha Rasimu ya Pili ya Katiba Mpya, tayari dalili za mvutano baina ya vyama vya siasa zimeanza kujitokeza waziwazi. Katiba ni...

 

5 years ago

Michuzi

MBUNGE CHADEMA ASEMA UAMUZI WA LOCKDOWN HAUKUWA WA MAANA, AHOJI HIVI RAIS ATOE MAAMUZI YA KUUA WATANZANIA WENGI KWA AJILI YA CORONA ILI APATE FAIDA GANI

Na Said Mwishehe, Michuzi TV.
WAKATI Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema) kikiwa kwenye mpasuko baada ya baadhi ya wabunge wake kukaidi agizo la Chama hicho kuwataka kutohudhuria Bunge na kisha kukaa 14 kama sehemu ya kujilinda na virusi vya Corona limechukua sura mpya baada ya Mbunge wa Kilombero kwa tiketi ya Chama hicho Peter Lijualikali kuelezea hatua kwa hatua madhara ya Lockdown kwa Watanzania na namna ambavyo aliamua kutokubaliana na uamuzi huo kwa maslahi ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Ulanga: Mchakato wa Katiba umetugawa Watanzania

Mwaka 2015 ni mwaka wa kihistoria nchini. Miongoni mwa mambo yanayoupa mwaka huu sifa za kipekee ni kuwapo kwa matukio makubwa ya Kura ya Maoni ya Katiba Mpya pamoja na Uchaguzi Mkuu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani