KKKT wataka Katiba ya Watanzania
MSAIDIZI wa Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kikristo Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Dodoma Mchungaji Samweli Mshana, amewataka wajumbe walio katika mchakato wa Katiba kuhakikisha wanawapatia watanzania Katiba itakayotoa haki zote bila upendeleo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper08 Apr
Watanzania Zimbabwe wataka rasimu ya katiba
Na Athanas Kazige, Harare BAADHI ya Watanzania wanaoishi Zimbabwe, wameiomba serikali kupeleka Rasimu ya Katiba ili waisome na kuielewa vizuri. Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania wanaoishi hapa, Apatae Fatacky, alisema hayo alipokuwa akihojiwa na mwandishi wa habari hii, katika klabu ya Watanzania iliyoko 6 Allan Willson.
Alisema wamekuwa wanafuatia rasimu hiyo kwa kusoma kupitia mitandao ya kijamii na kuomba kama kuna uwezekano wapelekewe vitabu angalau 10, katika ofisi ya ubalozi....
11 years ago
Michuzi20 Apr
11 years ago
Mwananchi07 Mar
Watanzania wataka nchi ikumbukwe duniani
11 years ago
Mwananchi20 Dec
Wataka Katiba ya Tanganyika
10 years ago
Tanzania Daima06 Oct
Walemavu wataka elimu ya katiba
UMOJA wa Wafanyabiashara Walemavu Dar es Salaam (Uwawada), umesema baada ya Bunge Maalumu kupitisha Katiba iliyopendekezwa, kilichobaki sasa ni wananchi kupewa elimu ya kutosha ili wafanye uamuzi sahihi. Akizungumza na...
10 years ago
Habarileo03 Oct
Wataka Katiba inayopendekezwa itembezwe
BAADHI ya wajumbe wameshauri Katiba Inayopendekezwa iliyopatikana jana, itembezwe na kutumika kutoa elimu kwa wananchi, ikiwemo kupitia mkutano wa hadhara utakaofanyika Kibandamaiti, Zanzibar.
9 years ago
MillardAyo05 Jan
Wakenya wataka Watanzania kufungiwa matumizi ya Instagram!! Na hizi ndio sababu zao…
Wakenya wameanza mwaka wa 2016 kwa kuomba Watanzania waondolewe kwenye mtandaoa wa Instagram, mtandao maarufu wa kijamii! Watumiaji wa mtandao huo kutoka Kenya, wanadai Watanzania wamethibitisha kuwa hawawezi kutumia mtandao huo vizuri kutokana na lugha nzito inayotumiwa na Watanzania pamoja na tabia ya baadhi ya Watanzania kupost videos za utupu kwenye mtandao huo. Wakenya wengi […]
The post Wakenya wataka Watanzania kufungiwa matumizi ya Instagram!! Na hizi ndio sababu zao… appeared first...
11 years ago
Tanzania Daima20 Jul
ACT wataka maridhiano Bunge la Katiba
CHAMA cha Aliance for Change and Transparency (ACT- Tanzania), kimeyataka makundi yanayosigana ndani ya Bunge Maalum la Katiba watafute maridhiano yatakayowezesha kupatikana kwa katiba iliyo bora. ACT-Tanzania imeyataka makundi hayo...
11 years ago
Mwananchi01 Mar
Wazanzibari wataka uwiano Bunge la Katiba