Watanzania wataka nchi ikumbukwe duniani
>Ujumbe wa Tanzania katika mikutano muhimu inayofanyika Marekani wameipigia debe nchi yao wakitaka ikumbukwe.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo505 Jan
Website maarufu ya Marekani Buzzfeed yaitaja Tanzania nchi ya 8 katika nchi 20 zinazovutia duniani
![enhanced-7309-1430834722-9](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/enhanced-7309-1430834722-9-300x194.jpg)
Website maarufu ya Marekani, Buzzfeed imeitaja Tanzania kuwa ni nchi ya nane katika orodha yake ya nchi 20 zinazovutia zaidi duniani.
Afrika Kusini imekata nafasi ya kwanza kwenye orodha hiyo.
Kuhusu Tanzania website hiyo imeandika:
Land of the Serengeti, Lake Victoria, Lake Natron and Lake Manyara, the Ngorongoro Crater, Zanzibar, the Spice Islands, Dar Es Salaam and a million more, Tanzania is almost beyond belief.
Mount Kilimanjaro rises over 3 miles above the surrounding plains, making...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-mNtikCdLRTQ/Xphv0QRrbdI/AAAAAAAC3Mw/NB3npuPKqDE9G-oytYF4X3m-wT9yiEhHQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.png)
NCHI 20 ZENYE NGUVU KIUCHUMI WAKUBALIANA KUSAMEHE KWA MUDA MADENI YA NCHI MASIKINI DUNIANI ILI ZIWEZE KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-mNtikCdLRTQ/Xphv0QRrbdI/AAAAAAAC3Mw/NB3npuPKqDE9G-oytYF4X3m-wT9yiEhHQCLcBGAsYHQ/s400/1.png)
Mawaziri wa fedha na magavana wa benki kuu wa G20 wamesema wanaunga mkono kusimamisha kwa muda malipo ya madeni kwa nchi hizo ambazo zinahitaji kuvumiliwa.
Uamuzi huo umefikiwa jana katika mkutano wao uliofanyika kwa njia ya video.
Muda huo unaanza Mei Mosi hadi mwishoni mwa mwaka 2020 na deni kuu pamoja na malipo yote ya riba yatasimamishwa.
Mkurugenzi...
10 years ago
Vijimambo24 Mar
WATANZANIA LAZIMA TUWE MAKINI NA MATAJIRI WA NCHI HII KWA MUSTAKABALI WA TAIFA LETU NA USTAWI WA WATANZANIA MASKINI
![](https://www.rafikifoundation.org/CMS/Images/tanzaniamap.png)
10 years ago
Habarileo30 Aug
KKKT wataka Katiba ya Watanzania
MSAIDIZI wa Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kikristo Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Dodoma Mchungaji Samweli Mshana, amewataka wajumbe walio katika mchakato wa Katiba kuhakikisha wanawapatia watanzania Katiba itakayotoa haki zote bila upendeleo.
11 years ago
BBCSwahili26 Jul
CAR:Waasi wataka nchi kugawanywa
10 years ago
Uhuru Newspaper08 Apr
Watanzania Zimbabwe wataka rasimu ya katiba
Na Athanas Kazige, Harare BAADHI ya Watanzania wanaoishi Zimbabwe, wameiomba serikali kupeleka Rasimu ya Katiba ili waisome na kuielewa vizuri. Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania wanaoishi hapa, Apatae Fatacky, alisema hayo alipokuwa akihojiwa na mwandishi wa habari hii, katika klabu ya Watanzania iliyoko 6 Allan Willson.
Alisema wamekuwa wanafuatia rasimu hiyo kwa kusoma kupitia mitandao ya kijamii na kuomba kama kuna uwezekano wapelekewe vitabu angalau 10, katika ofisi ya ubalozi....
9 years ago
MillardAyo05 Jan
Wakenya wataka Watanzania kufungiwa matumizi ya Instagram!! Na hizi ndio sababu zao…
Wakenya wameanza mwaka wa 2016 kwa kuomba Watanzania waondolewe kwenye mtandaoa wa Instagram, mtandao maarufu wa kijamii! Watumiaji wa mtandao huo kutoka Kenya, wanadai Watanzania wamethibitisha kuwa hawawezi kutumia mtandao huo vizuri kutokana na lugha nzito inayotumiwa na Watanzania pamoja na tabia ya baadhi ya Watanzania kupost videos za utupu kwenye mtandao huo. Wakenya wengi […]
The post Wakenya wataka Watanzania kufungiwa matumizi ya Instagram!! Na hizi ndio sababu zao… appeared first...
9 years ago
Dewji Blog09 Dec
Mtandao wa Act Alliance wataka nchi kuunga mkono mapambano ya kufikia nyuzi joto 1.5!!
Mmoja wa watu wanaohudhuria mkutano mkuu wa 21 wa mabadiliko ya tabianchi wa Umoja wa Mataifa COP 21 akipita huku akionyesha madaha ya kucheza kwenye zuria la kijani kuhamasisha upunguzaji wa joto Duiani. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog, Paris).
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[PARIS] Mtandao wa kimataifa wa dhidi ya mambo ya mazingira wa Act Alliance umepaza sauti yao kwa kushinikiza mataifa ya dunia katika uungaji mkono mapambano ya kufikia nyuzi joto 1.5, ifikapo 2050.
Act...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-f-Fu57YkwR8/XqhAdTkIYxI/AAAAAAABMB8/c-MGQc3IZiEC74HoEQT_LmTC2JXxeGANACLcBGAsYHQ/s72-c/_111602722_a0e8fa16-954a-4b3f-8530-a5b62f3db17c.jpg)
ZIJUE NCHI 15 DUNIANI ZISIZOKUWA NA WAGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-f-Fu57YkwR8/XqhAdTkIYxI/AAAAAAABMB8/c-MGQc3IZiEC74HoEQT_LmTC2JXxeGANACLcBGAsYHQ/s400/_111602722_a0e8fa16-954a-4b3f-8530-a5b62f3db17c.jpg)
Katika maeneo mbalimbali ya dunia wakaanza kuongezeka.
Kufikia sasa zaidi ya watu zaidi ya milioni 2.9 wamethibitishwa...