Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Udhaifu wa CCM si ubora wa Ukawa

HATIMAYE ‘wapinzani wakuu’ katika Uchaguzi Mkuu ujao, yaani chama tawala CCM na Ukawa wamefanikiw

Evarist Chahali

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ubora, udhaifu wa makocha Ligi Kuu

Ligi Kuu Tanzania Bara inazidi kushika kasi huku ushindani baina ya timu na timu ukizidi kupamba moto. Wakati ligi ikiwa kwenye mzunguko wa mwisho, zipo timu ambazo zimeonyesha kiwango cha juu huku nyingine zikionyesha kiwango kibovu. Pia kuna timu ambazo zimeonyesha kiwango cha wastani.

 

9 years ago

Mwananchi

Udhaifu, ubora kuamua mshindi Yanga, Azam

Yanga inaikaribisha Azam leo kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika mechi inayoweza kuamuliwa na udhaifu au ubora wa upande mmoja dhidi ya mwingine.

 

9 years ago

Mwananchi

Ole Sendeka: Sumaye ameonyesha udhaifu kwenda Ukawa

Mgombea ubunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka amesema Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye ameonyesha udhaifu kisiasa kwa kuhamia upinzani kwa kuwa aliapiza Waziri Mkuu aliyejiuzulu Edward Lowassa akipitishwa anahama chama.

 

9 years ago

Raia Mwema

Kingunge hawezi kujitenga na mafanikio wala udhaifu wa CCM

TANGU kutangaza kujiondoa rasmi kutoka uanachama wa CCM aliyekuwa muitikadi mkuu wa chama hicho,

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tuwalaumu UKAWA au CCM?

NI takriban mwezi mmoja umesalia kabla ya Bunge Maalumu la Katiba kuanza vikao vyake mkoani Dodoma. Uhai wa Bunge hilo upo mikononi mwa wajumbe na viongozi wa Umoja wa Katiba...

 

11 years ago

Tanzania Daima

UKAWA, CCM wakwama

MAZUNGUMZO yanayoendelea kuhusu jinsi ya kunasua mchakato wa katiba mpya kati ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), yanaelekea kukwama kwa sababu yameingiliwa...

 

10 years ago

Mwananchi

CCM, Ukawa gumzo

Mazungumzo kuhusu siasa na hasa Uchaguzi Mkuu, idadi ya watu waliojitokeza kujiandikisha kupiga kura na idadi kubwa ya watu wanaojitokeza kwenye mikutano ya hadhara ya wanasiasa ndiyo hali iliyoenea kila kona ya nchi kwa sasa, kitu ambacho wachambuzi waliohojiwa na gazeti hili wamekielezea kuwa ni kuongezeka kwa mwamko wa wananchi katika masuala ya siasa.

 

11 years ago

Habarileo

CCM waivimbia Ukawa

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape NnauyeCHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimetangaza kwamba hakina mpango wa kushawishi viongozi wa Serikali au viongozi wa kitaifa, wawalazimishe au wawabembeleze wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, waliojiundia kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kurudi bungeni.

 

11 years ago

Tanzania Daima

UKAWA yaikwamisha CCM

 JITIHADA za Chama Cha Mapinduzi (CCM) za kutaka kurekebisha kanuni za Bunge Maalumu la Katiba, ili kutumia wingi wake kupitisha ibara na sura za rasimu ya katiba kwenye kamati zimegonga...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani