Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kingunge hawezi kujitenga na mafanikio wala udhaifu wa CCM

TANGU kutangaza kujiondoa rasmi kutoka uanachama wa CCM aliyekuwa muitikadi mkuu wa chama hicho,

Mwandishi Wetu

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Mourinho: Costa wala hawezi kunisumbua

MouCostaLONDON, ENGLAND

KOCHA wa Chelsea, Jose Mourinho, amesema kuwa mshambuliaji wake, Diego Costa, hawezi kumsumbua kutokana na tabia yake ya utovu wa nidhamu.

Mchezaji huyo juzi hakupata nafasi ya kucheza katika mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Tottenham, ambapo timu hizo zilitoka suluhu, lakini alisimamishwa dakika ya 82 na kuanza kufanya mazoezi ya kupasha misuli ili aweze kuingia, lakini hadi dakika 90 zinamalizika hakupata nafasi hiyo.

Kutokana na hali hiyo, Costa aliamua kuvua jezi ya juu ambayo...

 

9 years ago

Raia Mwema

Udhaifu wa CCM si ubora wa Ukawa

HATIMAYE ‘wapinzani wakuu’ katika Uchaguzi Mkuu ujao, yaani chama tawala CCM na Ukawa wamefanikiw

Evarist Chahali

 

10 years ago

Mwananchi

Lipumba: Rais bora hawezi kutoka CCM

>Siku kadhaa tangu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete kuwatahadharisha wajumbe wa Halmashauri Kuu (NEC), ya chama hicho kwamba wanapaswa kumteua mgombea wa urais anayekubalika ndani na nje ya chama hicho, Chama cha Wananchi (CUF), kimesema kauli hiyo haina ukweli.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kingunge awalipua CCM

MWANASIASA mkongwe na Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Kingunge Ngombale – Mwiru, amesema makada wenzake wanaomshambulia aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, wanakitukana Chama...

 

9 years ago

TheCitizen

Kingunge quits CCM

CCM cadre Kingunge Ngombale Mwiru quits the party siting infringement of the party's constitution as the main reason.

 

9 years ago

GPL

MZEE KINGUNGE AACHANA NA CCM

Mzee Kingunge Ngombale Mwiru. Mwanasiasa mkongwe nchini ambaye ni kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mzee Kingunge Ngombale Mwiru hivi punde wakati akiongea na wanahabari jijini Dar ametangaza kuachana na chama hicho maana kimeshindwa kuheshimu katiba yake, asema hajiungi na chama chochote ila yupo upande wa mabadiliko.

 

9 years ago

TheCitizen

CCM: Business as usual without Kingunge

Just a day after  veteran politician Kingunge Ngombale-Mwiru's public exit from the ruling party, CCM’s youth Wing have today come out stating that  his exit will have no effect what so ever on the party's future.

 

9 years ago

Habarileo

Mzee Kingunge ang’oka CCM

MWANASIASA mkongwe nchini, Kingunge Ngombale- Mwiru, ametangaza kujiondoa kwenye chama tawala, CCM, ambacho amekuwa mmoja wa waumini wake wakubwa tangu enzi za TANU, kabla kuungana na ASP na kuzaliwa CCM mwaka 1977.

 

9 years ago

IPPmedia

CCM veterans 'respect' Kingunge's move


IPPmedia
CCM veterans 'respect' Kingunge's move
IPPmedia
Several prominent CCM cadres who have served the party for scores of years alongside Kingunge Ngombale-Mwiru, who quit the party on Sunday, say they respect his decision. Speaking in separate interviews with 'The Guardian' yesterday, the ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani