WACHOTA MAJI "TAKA" KWA MATUMIZI YA NYUMBANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-G9Ki11HfijM/VS3sp6VpIiI/AAAAAAAASVs/X1P32EQysYg/s72-c/Shida%2Bya%2Bmaji.jpg)
Mama huyu mkazi wa Mabibo jijini Dar es Salaam, akichota maji yanayovuja kutoka kwenye bomba la la maji ambayo hata hivyo yamechanganyika na maji taka yanayotiririka kama yanavyoonekana kutoka kupande wa juu kushoto wa picha hii iliyopigwa Jumanne Aprili 15, 2015. Uchunguzi wa K-VIS blog umebaini kuwa maeneo ya Mabibo na Kigogo, yanakabiliwa na uhaba mkubwa wa maji ambapo sasa wakazi wake hususan akina mama na watoto wamekuwa wakiyatafuta hata yanapoonekana yakiwa kwenye mazingira ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLOMBI LA KUPANDA KWA BEI ZA MAJI SAFI NA MAJI TAKA
10 years ago
Dewji Blog22 Oct
Chuo Kikuu Ardhi kutatua tatizo la udhibiti wa maji taka na taka ngumu
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Ardhi Prof. Idrissa Mshoro akiwaeleza waandishi wa habari (Hawapo pichani) kuhusu mpango wa chuo hicho wa kuendelea na jitihada za kutatua tatizo la udhibiti wa maji taka na tanga ngumu ikiwemo ujengaji wa miundombinu ya majaribio ya teknolojia za kibiolojia zinazobadili tanga ngumu au maji taka ambayo huzalishwa majumbani kuwa mboji na gesi asili ya kupikia, wakati wa mkutano na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Naibu Makamu Mkuu wa Chuo...
10 years ago
Michuzi30 Aug
Bodi ya ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASA) yatembelea Eneo la Mradi wa Ujenzi wa Bwawa la Maji Kidunda
![](https://2.bp.blogspot.com/-utueJlLvcrc/VAEFt9bWIqI/AAAAAAAAXXc/60Yejvxm-3s/s1600/Modesta%2BMushi.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-dJAlQfjgYfw/VAEFtuoqMYI/AAAAAAAAXXY/p7ed-tfkWT8/s1600/Mhandishi%2BJohn%2BKirecha.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/g7CYaJh1SvLuGfe*gDKzGkS8WV63zi63mPHP0ygdvsL6YQSLKA0ozti-Qa--5S5foeXaGNOdC9o1ZprSQfrqcTnN1NDiQIGq/d1.jpg?width=650)
BODI YA WAKURUGENZI YA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA MAJI TAKA DAR ES SALAAM (DAWASA) YATEMBELEA ENEO LA MRADI WA UJENZI WA BWAWA LA MAJI KIDUNDA
10 years ago
GPLMAJI TAKA, BARABARA MBOVU NI KERO KWA WAKAZI WA MWENGE DAR
9 years ago
Michuzi24 Sep
MAMLAKA YA MAJI SAFI NA MAJI TAKA (DAWASA) MNADA WA HADHARA:
MALI ZITAKOZOUZWA: Meza za ofisi, Viti, Book case, Cupboard, File cabinets, 6 Photocopy m/c {Canon /Sharp} , Computer set, Printer, Scanner, A/c split unit & Window type na grili za milango...
11 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA KILIMANJARO AFANYA ZIARA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA MAJI TAKA MJINI MOSHI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-hCFaPLZwkf8/VQq47lDu_0I/AAAAAAAAGns/-inH7sbQC8M/s72-c/IMG_5432.jpg)
ENG. STELLA MANYANYA AKAGUA UJENZI WA MRADI WA MAJI SAFI NA MAJI TAKA SUMBAWANGA MJINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-hCFaPLZwkf8/VQq47lDu_0I/AAAAAAAAGns/-inH7sbQC8M/s1600/IMG_5432.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-E7F4kRMiW2I/U0AVIj_fnHI/AAAAAAACeL8/LdMkIhFlqFA/s72-c/IMG_3498.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,KINANA AKAGUA MIRADI YA MAJI TAKA NA MAJI SAFI WILAYANI SUMBAWANGA MKOANI RUKWA LEO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-E7F4kRMiW2I/U0AVIj_fnHI/AAAAAAACeL8/LdMkIhFlqFA/s1600/IMG_3498.jpg)