Mawakala BVR wagoma, wadai posho ya siku nne
Mawakala wanaoandikisha vitambulisho vya wapigakura kwa kutumia mfumo wa Biometric Voter Registration (BVR), katika Kituo cha Shule ya Msingi Umoja, wamegoma kuendelea na uandikishaji kwa madai ya kutolipwa posho.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Raia Mwema25 Nov
Posho ya siku ni posho ya kujikimu siyo ya kujikirimia
Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.
11 years ago
Mwananchi13 May
Tazara wagoma, wadai mishahara tangu Feb.
11 years ago
Mwananchi27 Feb
‘Wadai posho watajwe, waondolewe bungeni’ -Wananchi
10 years ago
Mwananchi15 Sep
Wataka posho ya Sh500,000 kwa siku
11 years ago
Habarileo17 Feb
Posho Bunge la Katiba Sh 300,000 kwa siku
BUNGE Maalumu la Katiba litafunguliwa rasmi Jumatano ijayo ya Februari 26, mwaka huu likiwa na wajumbe 629 na imethibitishwa kuwa kila mjumbe atalipwa Sh 300,000 kwa siku. Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Thomas Kashillilah, aliwaambia waandishi wa habari hayo jana ndani ya ukumbi mpya wa Bunge, walipoingia kwa mara ya kwanza ndani ya ukumbi huo kuangalia mfumo wa kisasa wa sauti na mambo mengine.
11 years ago
MichuziWENYE BUCHA MOSHI WAGOMA KUUZA NYAMA KWA SIKU MBILI
Globu ya Jamii, Moshi
WAKAZI wa mji Manispaa ya Moshi, wametaabika kwa siku mbili sasa wakiwa hawapati kitoweo cha Nyama baada ya halmashauri ya manispaa hiyo na mamlaka ya udhibiti wa Chakula na dawa TFDA kuyafunga maduka ya nyama ambayo hayakidhi vigezo vya afya.
Katika hali inayoonesha kuwapo kwa mgomo wa wauza...
10 years ago
Raia Tanzania31 Jul
Siku zilizoongezwa BVR zitumike kikamilifu
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeongeza siku nne zaidi kwa wakazi wa Dar es Salaam kujiandikisha kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura baada ya muda wa awali kumalizika leo.
Uandikishaji wa wapiga kura jijini Dar es Salaam uligubikwa na utata tangu siku ya kwanza, Julai 22 mwaka huu, huku mashine kadhaa za kielektroniki zinazotumika katika shughuli hiyo (BVR) zikiharibaka mara kwa mara.
Kwa namna yoyote ile muda wa takriban siku 10 uliotolewa awali na NEC usingetosha...
9 years ago
Habarileo16 Aug
Mbowe ataka siku zaidi kukagua taarifa za BVR
MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe, amesema siku tatu zilizotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) kwa waliojiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapigakura katika mfumo wa (BVR) kuhakiki taarifa zao kuwa hazitoshi.
11 years ago
Michuzi16 Feb
mhe livingtsone lusinde aongelea bunge maalumu la katiba, na posho ya laki saba kwa siku