Siku zilizoongezwa BVR zitumike kikamilifu
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeongeza siku nne zaidi kwa wakazi wa Dar es Salaam kujiandikisha kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura baada ya muda wa awali kumalizika leo.
Uandikishaji wa wapiga kura jijini Dar es Salaam uligubikwa na utata tangu siku ya kwanza, Julai 22 mwaka huu, huku mashine kadhaa za kielektroniki zinazotumika katika shughuli hiyo (BVR) zikiharibaka mara kwa mara.
Kwa namna yoyote ile muda wa takriban siku 10 uliotolewa awali na NEC usingetosha...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xGs6HG204NU/VlxHz57XWmI/AAAAAAAIJOY/HAX40Wf2erI/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-30%2Bat%2B3.56.53%2BPM.png)
Rais Magufuli aamuru Fedha zilizopaswa kutumika kugharamia Shamrashamra za siku ya Uhuru Desemba 9 sasa zitumike kujengea barabara ya Mwenge - Morocco, Jijini Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-xGs6HG204NU/VlxHz57XWmI/AAAAAAAIJOY/HAX40Wf2erI/s640/Screen%2BShot%2B2015-11-30%2Bat%2B3.56.53%2BPM.png)
Tayari fedha hizo kiasi cha shilingi bilioni nne zimepelekwa kwa wakala wa barabara hapa nchini TANROADS kwa ajili ya utekelezaji wa agizo hilo, linalopaswa...
9 years ago
Habarileo16 Aug
Mbowe ataka siku zaidi kukagua taarifa za BVR
MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe, amesema siku tatu zilizotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) kwa waliojiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapigakura katika mfumo wa (BVR) kuhakiki taarifa zao kuwa hazitoshi.
10 years ago
Mwananchi02 Aug
Mawakala BVR wagoma, wadai posho ya siku nne
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VittCBMQg0LNLrXpqsYWsJ3NKgMU6Hs6Z7B0HggYYGqTQGktCKKx8TbASq*5tjWKewNN1UUyqz2El4Erad1X11EN689qzEDX/Mwenyekiti.jpg?width=650)
BVR ZIONGEZWE, SIKU ZA KUJIANDIKISHA PIA ZIONGEZWE
10 years ago
Mwananchi23 Aug
Filamu zitumike kuboresha utamaduni
9 years ago
Mwananchi22 Dec
Tafiti za elimu zitumike kuwazindua wazazi
11 years ago
Mwananchi09 Jun
Msimu ujao tiketi za kielektroniki zitumike
10 years ago
Raia Tanzania22 Jul
Kura za maoni zitumike kuchuja makapi
NI takriban mwezi mmoja na nusu sasa tangu Chama cha Wananchi (CUF) kumaliza shughuli ya kuchuja wagombea wake ndani ya chama; vyama viwili vikuu vya siasa nchini, CCM na Chadema, navyo vimeanza mchakato wa kusaka wawakilishi wake bungeni.
Mchakato huo maarufu kama kura za maoni huwahusisha wanachama wa vyama husika, ambapo hupiga kura kupendekeza majina ya watu wanaofaa ama kuwa wabunge, madiwani, wawakilishi au masheha huko Zanzibar.
Hii ni nafasi ya mwanzo kabisa kwa wanachama...
11 years ago
Habarileo17 Apr
Gharama za serikali tatu zitumike kusaidia walemavu
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Ali Omar Makame ametaka gharama zitakazotumika kuanzisha serikali ya tatu zikatumike kuwasaidia watu wenye ulemavu wanaoishi katika dimbwi la umasikini miongoni mwa Watanzania walio wengi nchini.