Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BVR ZIONGEZWE, SIKU ZA KUJIANDIKISHA PIA ZIONGEZWE

Jaji Damian Lubuva. Baada ya kusema hayo niseme kuwa kazi ya kuandikisha wapiga kura katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika Mkoa wa Dar es Salaam ilianza rasmi wiki iliyopita kwa mfumo wa teknolojia ya utambuzi wa alama za mwili kizingu Biometric Voters Registration -BVR. Kazi hiyo inafanywa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) na inatarajiwa kukamilika Julai 31, mwaka huu.
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Nec, Julius Malaba, wiki...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Tunu za taifa ziongezwe -Vijana

BAADHI ya vijana nchini wamewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kupigania tunu za taifa ziongezwe katika ibara ya kwanza kifungu cha tano. Tunu ambazo wametaka ziongezwe ni ardhi na...

 

10 years ago

Habarileo

RC: Faini za makosa barabarani ziongezwe

MKUU wa Mkoa wa Kagera, Fabian Massawe ametaka sheria za usalama barabarani, ziangaliwe upya kwa lengo la kuongeza adhabu na faini kwa wanaosababisha ajali.

 

10 years ago

Habarileo

CCM Z’bar wahamasishwa kujiandikisha BVR

Naibu Katibu Mkuu wa CCM -Zanzibar, Vuai Ali VuaiWANACHAMA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar wametakiwa kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapigakura ambalo litaanza kuandikisha wapiga kura wapya mapema mwezi ujao.

 

10 years ago

Habarileo

Kanisa lazuia 4,000 kujiandikisha BVR

ZAIDI ya waumini 4,000 wa Kanisa kongwe la Watch Tower lenye umri wa zaidi ya miaka 100, wamenyimwa haki yao ya msingi ya kikatiba ya kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu.

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete ahimiza Watanzania kujiandikisha BVR

Rais Jakaya Kikwete akijiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapigakura kwa kutumia mfumo mpya wa kielektroniki (Biometric Voters Register -BVR) katika kijiji cha Msoga, wilayani Bagamoyo mkoani Pwani jana. Kulia ni mwandikishaji msaidizi, Happyness Misana, Ofisa TEHAMA kutoka Ofisi ya Tume ya Taifa Uchaguzi (NEC), Mariam Rajabu (katikati) na Mbunge wa Chalinze, Ridhwani Kikwete (kushoto mwenye baraghashia). (Picha na Freddy Maro).RAIS Jakaya Kikwete amewataka Watanzania kujiandikisha, vinginevyo wasije kushangaa watakapochaguliwa viongozi wasiofaa.

 

10 years ago

Habarileo

Wengi washindwa kujiandikisha kwa BVR

WATU wengi wameshindwa kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapigakura kwa kutumia mashine za kisasa (BVR), licha ya kukaa vituoni muda mrefu.

 

10 years ago

Habarileo

Ukerewe yavuka lengo kujiandikisha BVR

HALMASHAURI ya wilaya ya Ukerewe, Mwanza imeandikisha wananchi 162,883 katika daftari la kudumu la wapiga kura.

 

10 years ago

Habarileo

Wageni 2,000 matatani kwa kujiandikisha BVR

IDARA ya Uhamiaji nchini imetoa onyo kwa raia wa kigeni watakaobainika kuwa na vitambulisho vya kupigakura baada ya kubaini raia hao zaidi ya 2,000 kuwa na vitambulisho hivyo katika msako unaofanywa na maofisa wao kwenye miji iliyo mipakani hapa nchini.

 

10 years ago

Habarileo

Pwani kuanza kujiandikisha ndani ya BVR Juni 14

SHUGHULI ya kuandikisha wananchi kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura mkoani Pwani inatarajiwa kuanza Juni 14 mwaka huu kwa watu wenye sifa wakiwemo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani