Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukerewe yavuka lengo kujiandikisha BVR

HALMASHAURI ya wilaya ya Ukerewe, Mwanza imeandikisha wananchi 162,883 katika daftari la kudumu la wapiga kura.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Serikali yavuka lengo usambazaji umeme

Profesa Sospeter MuhongoSERIKALI imekiomba Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuipangia upya malengo ya kusambaza umeme kwa wananchi kwa sababu malengo yaliyopangwa katika Ilani ya Uchaguzi Mkuu wa 2010 yamefikiwa na kupitwa hata kabla ya kumalizika kipindi cha miaka mitano.

 

10 years ago

Mwananchi

Tume yavuka lengo la uandikishaji Makambako

Wakazi wa Mji wa Makambako, mkoani Njombe wamevuka lengo lililowekwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) la kuandiksha watu 32,370 katika Daftari la kudumu la Mpiga Kura, ambalo unatumika mfumo mpya kuandikisha wa Biometrick Voters Regstration (BVR) na kufikia watu 39,579, huku kazi hiyo ikitarajiwa kuhitimishwa leo katika kata tisa za mji huo.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tabora yavuka lengo chanjo surua na rubera

MKOA wa Tabora umevuka lengo la kampeni shirikishi ya chanjo ya surua, rubera na magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumembele licha ya kukabiliwa na changamoto mbalimbali. Akizungumza na Waandishi wa Habari mjini...

 

10 years ago

Dewji Blog

Chanjo ya Surua na Rubella: Manispaa ya Ilala yavuka lengo

02

Mganga Mkuu wa Hospitali ya Manispaa ya Ilala Dkt. Willy Sangu akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) ofisini kwake leo.

Na Eleuteri Mangi-MAELEZO

Manispaa ya Ilala imevuka lengo la kutoa chanjo ya ugonjwa wa Surua na Rubella kwa watu 468,297 ambapo awali lengo lao lilikuwa kutoa chanjo hiyo kwa watu 445,801 wakati wa wiki ya kutoa chanjo hiyo nchini.

Hayo yamesemwa na Mganga Mkuu wa Hospitali ya Manispaa ya Ilala Dkt. Willy Sangu leo jijini Dar es salaam alipokuwa akitoa...

 

9 years ago

Global Publishers

TRA yavuka lengo la kusanya Trilioni 1.4 kwa mwezi

IMG_0614 Kaimu Kamishna Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA, Alphayo Kidata.

Jumla ya shilingi trilioni 1.4 imekusanywa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) katika kipindi cha mwezi Desemba mwaka uliopita wa 2015.

Kiasi hicho ni sawa na ongezeko la wastani wa shilingi bilioni 490 kwa mwezi ukulinganisha na wastani wa makusanyo ya kuanzia Julai hadi Novemba ambapo ,TRA ilikuwa imekusanya wastani wa shilingi bilioni 900 kwa mwezi.

Takwimu hizo zimetolewa leo jijini Dar es salaam na Kaimu Kamishna Mamlaka ya...

 

9 years ago

Michuzi

TRA YAVUKA LENGO YAKUSANYA TRILIONI 1.4 KWA MWEZI

 kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka Tanzania (TRA) (Katikati) Alphayo Kidata akisisitiza jambo wakati alipofanya mazungumzo na waandishi wa habari kuhusu taarifa za ukusanyaji wa mapato wa kila mwezi Kushoto ni Kaimu Kamishna wa Forodha Jocktan Kyamuhanga na kulia  ni Kaimu Kamishna wa Kodi za Ndani Yusufu Salum .
 Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka Tanzania (TRA) (Katikati) Alphayo Kidata akizungumza na waandishi wa Habari wakati akitoa taarifa za ukusanyaji wa mapato wa kila mwezi.Picha Na...

 

10 years ago

Michuzi

Chanjo ya ugonjwa wa surua na rubella Manispaa ya Ilala yavuka lengo

Mganga Mkuu wa Hospitali ya Manispaa ya Ilala Dkt. Willy Sangu akionyesha picha ya yenye maelezo ya Chanjo ya kukinga ugonjwa wa Surua na Rubella wakati akitoa taarifa ya maendeleo ya zoezi la chanjo hiyo linalofanyika nchi nzima.
Na Eleuteri Mangi-MAELEZO
Manispaa ya Ilala imevuka lengo la kutoa chanjo ya ugonjwa wa Surua na Rubella kwa watu 468,297 ambapo awali lengo lao lilikuwa kutoa chanjo hiyo kwa watu 445,801 wakati wa wiki ya kutoa chanjo hiyo nchini.
Hayo yamesemwa na Mganga...

 

10 years ago

Habarileo

Arusha wavuka lengo uandikishaji BVR

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeongeza siku mbili za uandikishwaji katika Halmashauri ya Jiji la Arusha na kulazimika kazi hiyo kumalizika jana badala ya kuisha Julai 16 mwaka huu.

 

10 years ago

Habarileo

Uandikishaji BVR Dar wavuka lengo

LICHA ya kuanza kwa kusuasua, kazi ya uandikishaji wapigakura katika mfumo wa kielektroniki wa BVR katika Jiji la Dar es Salaam, imepata mafanikio na kuvuka lengo la uandikishaji lililokuwa limewekwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani