Filamu zitumike kuboresha utamaduni
Kizazi cha sasa cha sanaa, hasa ya filamu na michezo ya kuigiza kinaonekana kuikamia biashara bila kujali hadhira yao ambayo ni jamii inayowazunguka.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog10 Dec
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo afungua maoyesho ya 10 ya filamu za Asia
Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akifungua maonyesho ya 10 ya Filamu za Asia.Pembeni yake ni mabalozi wa nchi mbalimbali za Asia walihoudhuria uzinduzi huo.Maonyesho Hayo yatafanyika kuanzia tarehe 8-17 desemba katika ukumbi wa Century Cinemax Dar Free Market Oysterbay.
Balozi wa Japan nchini Tanzania Bw,Masaki Okada(wa kwanza kushoto) akizungumza jambo na Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Profesa Elisante Ole...
11 years ago
Michuzi24 Feb
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo apokea zawadi toka Kamati ya vibali vya filamu.
9 years ago
Dewji Blog01 Dec
Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kuendelea kushirikiana na wadau katika kuendeleza Utamaduni
Waziri Mkuu mstaafu Mizengo Pinda (kushoto) akifungua kituo cha utamaduni wa China nchini Tanzania mapema hii leo jijini Dar es Salaam, katikati ni Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel na kulia ni Mkurugenzi wa Utamaduni toka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Hermas Mwansoko.
Baadhi ya wanafunzi wa Kitanzania wanaojifunza lugha ya Kichina katika kituo cha Utamaduni wa China nchini Tanzania wakiimba nyimbo kwa lugha ya...
10 years ago
MichuziBodi ya Filamu Nchini yatoa wito kwa wamiliki wa Filamu kuweza kuwasilisha Filamu.
Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu , Joyce Fisoo ametoa wito kwa kampuni za Filamu nchini kuwasilisha filamu zao ili ziweze kuhakikiwa na kulipiwa kwa kupata kibali cha kuingia sokoni kama sheria ya filamu ya mwaka 1976 kifungu namba 4 inavyoeleza.
Akizungumza katika ofisi za Bodi leo jijini Dar es Salaam, Fisoo ameipongeza kampuni ya Al-Riyamy Production ambayo imeweza kutimiza wajibu wake na kulipia filamu 134 ambazo zimepata kibali cha kupatiwa stamp za TRA...
10 years ago
Vijimambo14 Nov
BODI YA FILAMU TANZANIA YAZITAKA KAMPUNI ZA FILAMU KUZINGATIA SHERIA NA KANUNI ZA FILAMU.
10 years ago
VijimamboCHAMA CHA WASAMBAZAJI WA FILAMU TANZANIA WASITISHA KUKUNUNUA STIKA ZA TRA NA KUPELEKA FILAMU ZAO BODI YA FILAMU KWAAJILI YA KUFANYIWA UKAGUZI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-X634UbgI2ow/VD5EtyIg6RI/AAAAAAAGqk0/-cGDN7ph7XY/s72-c/ABG%2B1.jpg)
AFRICAN BARRICK YASAINI MKATABA WA KUENDELEZA NA KUBORESHA CHUO CHA MUHIMBILI ILI KUBORESHA TAALUMA YA UDAKTARI
Ushirikiano huu utawezesha wanafunzi wa idara hiyo kupata nafasi za kwenda kufanya masomo kwa vitendo yani (field practise) kwenye ofisi na migodi ya kampuni ya ABG, pia pesa hizo zitatumika kwenye kukarabati majendo na utoaji wa vifaa...
10 years ago
Raia Tanzania22 Jul
Kura za maoni zitumike kuchuja makapi
NI takriban mwezi mmoja na nusu sasa tangu Chama cha Wananchi (CUF) kumaliza shughuli ya kuchuja wagombea wake ndani ya chama; vyama viwili vikuu vya siasa nchini, CCM na Chadema, navyo vimeanza mchakato wa kusaka wawakilishi wake bungeni.
Mchakato huo maarufu kama kura za maoni huwahusisha wanachama wa vyama husika, ambapo hupiga kura kupendekeza majina ya watu wanaofaa ama kuwa wabunge, madiwani, wawakilishi au masheha huko Zanzibar.
Hii ni nafasi ya mwanzo kabisa kwa wanachama...
9 years ago
Mwananchi22 Dec
Tafiti za elimu zitumike kuwazindua wazazi