Msimu ujao tiketi za kielektroniki zitumike
Mwanzoni mwa mwezi wa Februari Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) lilisitisha matumizi ya tiketi za kielektroniki kwenye viwanja vyote vinavyotumika kwa mechi za Ligi Kuu Bara mpaka itakapotolewa taarifa nyingine.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili04 Mar
Tiketi za kielektroniki zasitishwa
Serikali ya Tanzania imesitisha matumizi ya tiketi za elektroniki kwenye Uwanja wa Taifa uliopo kuanzia Machi 3, 2015
11 years ago
Mwananchi10 Feb
Matumizi ya tiketi za kielektroniki yanahitajika
>Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), wiki iliyopita lilisitisha matumizi ya tiketi za kielektroniki kwenye viwanja vyote vinavyotumika kwa mechi za Ligi Kuu bara mpaka itakapotolewa taarifa nyingine.
10 years ago
Mwananchi23 Oct
Klabu zalia tiketi za kielektroniki
Baadhi ya timu zinazoshiriki Ligi Kuu zimelitaka Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na Benki ya CRDB kutatua au kusitisha matumizi ya tiketi za kielektroniki kutokana na changamoto zinazojitokeza.
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Serikali kuzungumzia tiketi za kielektroniki, TFF yamua
Wakati Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limepiga kalenda matumizi ya tiketi za elektroniki, Serikali imepanga kutoa tamko kuhusu mfumo huo wiki ijayo.
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Wadau waipinga TFF kusimamisha tiketi za kielektroniki
>Wadau mbalimbali wamelalamikia kitendo cha Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kusimamisha matumizi ya tiketi za elektroniki badala kupambana na changamoto hizo.
9 years ago
Mwananchi09 Nov
Tunataka tiketi za kielektroniki mzunguko wa pili wa ligi
Mwanzoni mwa mwaka jana Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) lilisitisha matumizi ya tiketi za kielektroniki kwenye viwanja vyote vinavyotumika kwa mechi za Ligi Kuu Bara mpaka itakapotolewa taarifa nyingine.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lNCZjkmC4ms/XsbPoHDSKuI/AAAAAAALrM0/KR3JM7tF8UsZPoouJ2bEMjrycWWQhFUpwCLcBGAsYHQ/s72-c/42e0e685-2ba0-4bfe-9d58-1b66fbf8bb7d.jpg)
MSIMU MPYA WA KAHAWA, KDCU WAZINDUA MIZANI YA KIELEKTRONIKI.
Na Abdullatif Yunus Michuzi TV.
Chama cha Ushirika cha Wakulima wa Kahawa Wilaya za Karagwe na Kyerwa (KDCU), kimezindua Mizani 15 mipya ya Kielektroniki yenye thamani ya shilingi Milioni 46, na kugawiwa katika Vyama vya Msingi, wakati tukielekea msimu mpya wa zao la kahawa.
Mizani hiyo imezinduliwa na iliyozinduliwa na kukabidhiwa na Mkuu wa Mkoa Kagera Brigedia Jenerali Marco Gaguti katika tukio lililofanyika mapema Mei 21, katika Viwanja vya Chama hicho Wilayani Karagwe, huku tukio hilo...
11 years ago
Tanzania Daima07 Jun
Mwambusi apania makubwa msimu ujao
KOCHA mkuu wa klabu ya Mbeya City, Juma Mwambusi, amesema anajipanga kufanya maajabu msimu ujao wa Ligi Kuu ya Vodacom kwa kushika moja kati ya nafasi mbili za juu. Mbeya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y-6c8O6EPx*vBOfR0aH4D29B4lFaSQvWGzUMUMRfJnnx3xNKE-WMGviLl7xtdZsW7n6gepMDMNyXnlB7H3bEaMTyfaBIzZVU/yangalogo.jpg?width=650)
11 KUTOVAA UZI WA YANGA MSIMU UJAO
Kutokana na ripoti ya Benchi la Ufundi iliyowasilishwa mara baada ya kumalizika kwa Msimu wa Ligi Kuu 2013/2014 baadhi ya wachezaji hawataitumikia tena Yanga SC kwenye msimu ujao, wachezaji 11 wamemaliza muda wao na kumalizana na uongozi hivyo wapo huru kujiunga vilabu mbalimbali:
Wachezaji hao ni:
1. David Luhende
2. Athuman Idd "Chuji"
3. Geroge Banda -U20
4. Yusuph Abdul -U20
5. Rehani Kibingu -U20
6. Hamisi Thabiti
7....
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania