Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Klabu zalia tiketi za kielektroniki

Baadhi ya timu zinazoshiriki Ligi Kuu zimelitaka Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na Benki ya CRDB kutatua au kusitisha matumizi ya tiketi za kielektroniki kutokana na changamoto zinazojitokeza.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Tiketi za kielektroniki zasitishwa

Serikali ya Tanzania imesitisha matumizi ya tiketi za elektroniki kwenye Uwanja wa Taifa uliopo kuanzia Machi 3, 2015

 

11 years ago

Mwananchi

Matumizi ya tiketi za kielektroniki yanahitajika

>Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), wiki iliyopita lilisitisha matumizi ya tiketi za kielektroniki kwenye viwanja vyote vinavyotumika kwa mechi za Ligi Kuu bara mpaka itakapotolewa taarifa nyingine.

 

11 years ago

Mwananchi

Msimu ujao tiketi za kielektroniki zitumike

Mwanzoni mwa mwezi wa Februari Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) lilisitisha matumizi ya tiketi za kielektroniki kwenye viwanja vyote vinavyotumika kwa mechi za Ligi Kuu Bara mpaka itakapotolewa taarifa nyingine.

 

9 years ago

Mwananchi

Tunataka tiketi za kielektroniki mzunguko wa pili wa ligi

Mwanzoni mwa mwaka jana Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) lilisitisha matumizi ya tiketi za kielektroniki kwenye viwanja vyote vinavyotumika kwa mechi za Ligi Kuu Bara mpaka itakapotolewa taarifa nyingine.

 

11 years ago

Mwananchi

Wadau waipinga TFF kusimamisha tiketi za kielektroniki

>Wadau mbalimbali wamelalamikia kitendo cha  Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kusimamisha matumizi ya tiketi za elektroniki badala kupambana na  changamoto hizo.

 

9 years ago

Mwananchi

Serikali kuzungumzia tiketi za kielektroniki, TFF yamua

Wakati Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limepiga kalenda matumizi ya tiketi za elektroniki, Serikali imepanga kutoa tamko kuhusu mfumo huo wiki ijayo.

 

5 years ago

Michuzi

SHIRIKA LA RELI TANZANIA LAZINDUA MFUMO UKATAJI TIKETI KWA NJIA YA KIELEKTRONIKI

Shirika la Reli Tanzania – TRC lazindua rasmi mfumo mpya wa ukataji tiketi kwa njia ya kielekroniki katika hafla fupi iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano uliopo ofisi ya Makao Makuu ya Shirika jijini Dar es Salaam Aprili 4, 2020.

Hafla hiyo ilihudhuriwa na Mgeni rasmi Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Isack Kamwele, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi TRC Prof. John Wajanga Kondoro, Kaimu Mkurugenzi Mkuu Ndugu Focus ,Mwakilishi kutoka Mamlaka ya Serikali Mtandao Bwana Benedictor...

 

11 years ago

Habarileo

Kamati za Bunge zalia na muda

ASILIMIA kubwa ya Kamati 12 za Bunge Maalumu la Katiba, zimedai muda uliotolewa kujadili sura mbili hautoshi, hivyo zinatarajia kuomba kuongezewa, zikamilishe. Kamati hizo 12 zilianza tangu juzi kujadili Sura ya Kwanza na ya Sita za rasimu hiyo na zilitakiwa kukamilisha kazi hiyo kabla ya leo.

 

11 years ago

Mwananchi

Asasi zalia na ulinzi mkali #Bunge la #Katiba, zahofu raia wataminywa [VIDEO]

Utaratibu wa kuendesha Bunge la Katiba utaminya uhuru wa mawazo, na huenda ukakwaza kwa kiwango kikubwa mchakato wa kupitia rasimu ya pili ya Katiba unaoendelea mjini hapa hivi sasa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani