Mwambusi apania makubwa msimu ujao
KOCHA mkuu wa klabu ya Mbeya City, Juma Mwambusi, amesema anajipanga kufanya maajabu msimu ujao wa Ligi Kuu ya Vodacom kwa kushika moja kati ya nafasi mbili za juu. Mbeya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo21 Sep
Lowassa apania makubwa
MGOMBEA urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chadema anayebeba pia jahazi la vyama vya CUF, NCCR-Mageuzi na NLD chini ya mwavuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Edward Lowassa ameahidi kushughulikia kero za wananchi kwa haraka pindi akiingia madarakani.
11 years ago
Tanzania Daima21 Jan
Mapunda apania makubwa Ligi Kuu
KIPA namba moja wa timu ya taifa, ‘Taifa Stars’ na klabu ya Simba, Ivo Mapunda, amesema atahakikisha analinda lango lake ipasavyo katika mechi za Ligi Kuu Bara ili timu yake...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-esPD69xCSkY/U7WbDbjbwpI/AAAAAAAFuuY/JixsCtjOCrU/s72-c/unnamed+(31).jpg)
Musley Al Rawahi apania kufanya mambo makubwa Simba
![](http://4.bp.blogspot.com/-esPD69xCSkY/U7WbDbjbwpI/AAAAAAAFuuY/JixsCtjOCrU/s1600/unnamed+(31).jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y-6c8O6EPx*vBOfR0aH4D29B4lFaSQvWGzUMUMRfJnnx3xNKE-WMGviLl7xtdZsW7n6gepMDMNyXnlB7H3bEaMTyfaBIzZVU/yangalogo.jpg?width=650)
11 KUTOVAA UZI WA YANGA MSIMU UJAO
11 years ago
Mwananchi09 Jun
Msimu ujao tiketi za kielektroniki zitumike
10 years ago
BBCSwahili14 Jan
Radamel Falcao ataenda wapi msimu ujao?
10 years ago
BBCSwahili13 Jan
Sijui nitacheza wapi msimu ujao:Messi
9 years ago
Mtanzania08 Dec
Mourinho ahofia Ligi ya Mabingwa msimu ujao
LONDON, ENGLAND
KOCHA wa Chelsea, Jose Mourinho amekiri kwamba itakuwa vigumu kwa timu yake kufuzu kwa Klabu Bingwa
barani Ulaya msimu ujao kutokana na mwenendo mbaya wa klabu hiyo.
Mwishoni mwa wiki iliyopita klabu hiyo ilikuwa kwenye uwanja wa nyumbani Stanford Bridge na kukubali kichapo cha bao 1-0 dhidi ya wapinzani wao Bournemouth, kwenye mchezo wa Ligi Kuu nchini England.
Kichapo hicho ni cha nane katika michezo 15 ya Ligi Kuu, kimewaacha mabingwa hao watetezi wakiwa katika nafasi ya...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-kOMfQZr7hBc/VXdDzgf8xFI/AAAAAAAAB_w/6ecHWbtlWyk/s72-c/arsenal.jpg)
JEZI MPYA YA ARSENAL MSIMU UJAO 2015/16
![](http://3.bp.blogspot.com/-kOMfQZr7hBc/VXdDzgf8xFI/AAAAAAAAB_w/6ecHWbtlWyk/s400/arsenal.jpg)
Kwa wale wanaojiuliza ni lini Arsenal watatoa jezi zao mpya za Puma kwa ajili ya msimu wa 2015/2016, jibu hili hapa. Jezi za nyumbani za Arsenal zitakazotumika msimu ujao wa 2015/2016 zimevuja….hivyo mashabiki wa London na duniani kote wajiandae kupata mzigo mpya.