Wakimbizi wahalifu Waondolewe -Masauni
![](https://1.bp.blogspot.com/-vdNN6RlNwsI/Xlu3u0iY2zI/AAAAAAALgNQ/P7O3HBsopSouTUXRaeVBzX3r9EqvtWTawCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni ameviagiza Vyombo vya Ulinzi na Usalama mkoani Kigoma kuwaondosha na kuwafungulia mashtaka wakimbizi zaidi ya Elfu Moja waliotoroka kutoka katika Kambi mbalimbali za wakimbizi na kwenda kufanya uhalifu nje ya makambi.
Naibu Waziri Masauni ameyasema hayo leo wakati akiongea na wakimbizi kutoka nchini Burundi waliohifadhiwa katika Kambi ya Nduta iliyoko wilayani Kibondo, mkoani Kigoma huku ikihifadhi jumla ya wakimbizi na waomba...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0W9xQ3MjT7A/XkaBVX3z8RI/AAAAAAALdWY/moqTFGs3_m0MhfOyYXgMhc9ye4pBNQgOgCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1-11-1024x683.jpg)
MASAUNI ATEMBELEA CHUO CHA ZIMAMOTO NA UOKOAJI CHOGO NA KUFANYA MKUTANO NA WAKIMBIZI RAIA WANAOLALAMIKIA KUPORWA ARDHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-0W9xQ3MjT7A/XkaBVX3z8RI/AAAAAAALdWY/moqTFGs3_m0MhfOyYXgMhc9ye4pBNQgOgCLcBGAsYHQ/s640/PIX-1-11-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/PIX-2A-1024x682.jpg)
9 years ago
Dewji Blog09 Sep
Idadi ya Wakimbizi wa Burundi wanaohifadhiwa katika kambi ya Wakimbizi ya Nyarugusu yaongezeka
Wakimbizi kutoka nchini Burundi walioko katika kambi ya Nyarugusu wakiwa wamebeba shehena ya unga wa mahindi jana, muda mfupi baada ya kugawiwa chakula hicho Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia chakula (WFP), lililoweka kituo chake katika kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu wilayani Kasulu, mkoani Kigoma.(PICHA ZOTE NA KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI, WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI).
Mkimbizi kutoka nchini Burundi, Jacqueline Elulu (mwenye mtoto), akisubiri kupata huduma ya...
9 years ago
MichuziWAKIMBIZI WA BURUNDI WAONGEZEKA MAKAMBI YA WAKIMBIZI MKOANI KIGOMA
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHIIdadi ya raia wa Burundi wanaoingia nchini kutafuta...
9 years ago
MichuziZOEZI LA KUWAPOKEA WAKIMBIZI KUTOKA BURUNDI LAENDELEA VIZURI KATIKA KAMBI YA WAKIMBIZI NYARUGUSU MKOANI KIGOMA
11 years ago
Tanzania Daima23 May
Wakulima wavamizi waondolewe — Laizer
MBUNGE wa Longido, Lekule Laizer ameitaka serikali kutoa tamko la kuwaondoa wakulima wote waliovamia maeneo ya wafugaji. Akiuliza swali la nyongeza bungeni jana, Laizer alisema yapo maeneo ya wafugaji yaliyotengwa...
11 years ago
Mwananchi23 Feb
Dk Makaidi, mkewe waondolewe bungeni
11 years ago
Habarileo15 Jul
Waliopunguzwa na kurejea TRL waondolewe — Tizeba
NAIBU Waziri wa Uchukuzi, Dk Charles Tizeba ameagiza wafanyakazi wote waliopunguzwa na kurejea kazini katika Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), kuondolewa mara moja.
11 years ago
Mwananchi27 Feb
‘Wadai posho watajwe, waondolewe bungeni’ -Wananchi
11 years ago
Mwananchi08 Aug
Wasomi wataka wanasiasa waondolewe Bunge la Katiba