Laizer ajitokeza kupambana na Lema
JOTO la ubunge kwenye jimbo la Arusha Mjini, limezidi kupanda mara baada ya kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Arusha, Francis Laizer kutangaza rasmi kuwania ubunge katika jimbo hilo, endapo akipewa ridhaa na chama chake kugombea.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
TheCitizen21 Jun
Laizer pulls out of Glasgow meet
11 years ago
TheCitizen14 Jul
TOC sweating on Laizer’s visa
11 years ago
Tanzania Daima23 May
Wakulima wavamizi waondolewe — Laizer
MBUNGE wa Longido, Lekule Laizer ameitaka serikali kutoa tamko la kuwaondoa wakulima wote waliovamia maeneo ya wafugaji. Akiuliza swali la nyongeza bungeni jana, Laizer alisema yapo maeneo ya wafugaji yaliyotengwa...
11 years ago
Habarileo22 Jul
Mrithi wa Laizer KKKT kujulikana leo
HATIMA ya kinyang’anyiro cha kumpata mrithi wa Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini Kati, Dk Thomas Laizer aliyefariki mapema mwaka huu, inajulikana leo.
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-g4Y4StZR2b4/U84CTOZOyeI/AAAAAAAABaI/_SFi62ZgdMg/s72-c/laizer-1.jpg)
Mrithi wa Askofu Laizer kujulikana leo
NA LILIAN JOEL, ARUSHA
ASKOFU mpya wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Kaskazini Kati, anatarajwa kupatikana leo katika Mkutano Mkuu wa 23 wa Dayosisi hiyo utakaohudhuriwa na zaidi ya wajumbe 300.
Wajumbe hao watakaokutana katika Shule ya Sekondari ya Peace House, Matevesi, Kisongo nje kidogo ya jiji la Arusha, watamchagua kiongozi atakayechukua nafasi ya Dk. Thomas Laizer, aliyefariki dunia Februari 6, mwaka jana.
Kwa sasa, nafasi hiyo inakaimiwa na Mchungaji...
9 years ago
TheCitizen28 Dec
Cycling sensation Laizer set for Germany Bike Aid Club
11 years ago
Habarileo25 Apr
Aliyedhaniwa kufa ajitokeza
KATIKA hali isiyotarajiwa umati wa wakazi wa Mji wa Mpanda mkoani Katavi ulitimua mbio msibani baada ya mwendesha bodaboda Mohamed Kalyalya (24) aliyedhaniwa kuwa amekufa kujitokeza msibani hapo akiwa hai.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-t0q2zD8CHYM/Xq1v5_adRGI/AAAAAAALo2A/NddrkexQq3YkjKAWDRN_NVUX_9xPIp_iwCLcBGAsYHQ/s72-c/2020-05-02t000522z_1633412141_rc20gg9sf4q5_rtrmadp_3_north-korea-kim_0.webp)
KIONGOZI WA KOREA KASKAZINI AJITOKEZA HADHARANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-t0q2zD8CHYM/Xq1v5_adRGI/AAAAAAALo2A/NddrkexQq3YkjKAWDRN_NVUX_9xPIp_iwCLcBGAsYHQ/s400/2020-05-02t000522z_1633412141_rc20gg9sf4q5_rtrmadp_3_north-korea-kim_0.webp)
Shirika la habari la KCNA limesema wafanyakazi katika kiwanda cha mbolea walianza ," kushangiliia kwa nguvu" wakimshangilia Kim, ambao shirika hilo lilisema , analiongoza taifa hilo katika mapambano ya ujenzi wa uchumi wa kujitegemea kutokana na "upepo mkali unaokuja" kutoka kwa "nguvu...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-GEJX1Gu_hJs/XvMb1pFpuAI/AAAAAAABMkk/Y4Bx_Dvf3BgF_ol6KbGLhL8oLrOvnTZtQCLcBGAsYHQ/s72-c/TANZANITE.jpeg)
LAIZER AWA BILIONEA KWA KUIUZIA BENKI KUU KILO 14 ZA TANZANITE ALIYOCHIMBA MERERANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-GEJX1Gu_hJs/XvMb1pFpuAI/AAAAAAABMkk/Y4Bx_Dvf3BgF_ol6KbGLhL8oLrOvnTZtQCLcBGAsYHQ/s400/TANZANITE.jpeg)