Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Laizer ajitokeza kupambana na Lema

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbles Lema.JOTO la ubunge kwenye jimbo la Arusha Mjini, limezidi kupanda mara baada ya kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Arusha, Francis Laizer kutangaza rasmi kuwania ubunge katika jimbo hilo, endapo akipewa ridhaa na chama chake kugombea.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

TheCitizen

Laizer pulls out of Glasgow meet

>Team Tanzania’s preparations for the 2014 Commonwealth Games suffered early setback yesterday when the country’s cycling sensation, Richard Laizer, pulled out of the multi-sport event.

 

11 years ago

TheCitizen

TOC sweating on Laizer’s visa

The Tanzania Olympic Committee (TOC) is racing against time to secure a visa for the country’s medal hopeful, Richard Laizer.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima wavamizi waondolewe — Laizer

MBUNGE wa Longido, Lekule Laizer ameitaka serikali kutoa tamko la kuwaondoa wakulima wote waliovamia maeneo ya wafugaji. Akiuliza swali la nyongeza bungeni jana, Laizer alisema  yapo maeneo ya wafugaji yaliyotengwa...

 

11 years ago

Habarileo

Mrithi wa Laizer KKKT kujulikana leo

HATIMA ya kinyang’anyiro cha kumpata mrithi wa Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini Kati, Dk Thomas Laizer aliyefariki mapema mwaka huu, inajulikana leo.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Mrithi wa Askofu Laizer kujulikana leo


NA LILIAN JOEL, ARUSHA
ASKOFU mpya wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Kaskazini Kati, anatarajwa kupatikana leo katika Mkutano Mkuu wa 23 wa Dayosisi hiyo utakaohudhuriwa na zaidi ya wajumbe 300.
Wajumbe hao watakaokutana katika Shule ya Sekondari ya Peace House, Matevesi, Kisongo nje kidogo ya jiji la Arusha, watamchagua kiongozi atakayechukua nafasi ya Dk. Thomas Laizer, aliyefariki dunia Februari 6, mwaka jana.
Kwa sasa, nafasi hiyo inakaimiwa na Mchungaji...

 

9 years ago

TheCitizen

Cycling sensation Laizer set for Germany Bike Aid Club

Tanzania’s cycling sensation Richard Laizer has signed a one-year contract with Germany-based Bike Aid Club.

 

11 years ago

Habarileo

Aliyedhaniwa kufa ajitokeza

KATIKA hali isiyotarajiwa umati wa wakazi wa Mji wa Mpanda mkoani Katavi ulitimua mbio msibani baada ya mwendesha bodaboda Mohamed Kalyalya (24) aliyedhaniwa kuwa amekufa kujitokeza msibani hapo akiwa hai.

 

5 years ago

CCM Blog

KIONGOZI WA KOREA KASKAZINI AJITOKEZA HADHARANI

Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un hatimaye amejitokeza hadharani katika uzinduzi wa kiwanda cha mbolea Ijumaa Mei 1 baada ya uvumi kuhusu afya yake, limesema shirika la habari la serikali la KCNA.
Shirika la habari la KCNA limesema wafanyakazi katika kiwanda cha mbolea walianza ," kushangiliia kwa nguvu" wakimshangilia Kim, ambao shirika hilo lilisema , analiongoza taifa hilo katika mapambano ya ujenzi wa uchumi wa kujitegemea kutokana na "upepo mkali unaokuja" kutoka kwa "nguvu...

 

5 years ago

CCM Blog

LAIZER AWA BILIONEA KWA KUIUZIA BENKI KUU KILO 14 ZA TANZANITE ALIYOCHIMBA MERERANI

Mchimbaji madini eneo la Mererani Laizer Kuryani, amepata mawe mawili ya Tanzanite yenye uzito mkubwa ,moja lina kilo 9.27 na jingine kilo 5.8 , ambapo serikali kupitia Benki Kuu, imeyanunua mawe hayo, kwa gharama ya Bilioni 7.8 . Kuryani ametambuliwa rasmi kama Bilionea

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani