Aliyedhaniwa kufa ajitokeza
KATIKA hali isiyotarajiwa umati wa wakazi wa Mji wa Mpanda mkoani Katavi ulitimua mbio msibani baada ya mwendesha bodaboda Mohamed Kalyalya (24) aliyedhaniwa kuwa amekufa kujitokeza msibani hapo akiwa hai.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili13 Oct
Aliyedhaniwa amefariki aamka kabla ya upasuaji
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-2X5N7vUUSq0/VZHnyxN15HI/AAAAAAADuyU/7j9vE2UUA0A/s72-c/wanandugu%2Bwa%2BBi.Hatujuani%2Bwakiwa%2Bmsibani.jpg)
KIZAA ZAA BAGAMOYO ALIYEDHANIWA MAITI APUMUA WAKATI AKIKOSHWA!
Jasho lilianza kumtoka na joto kali la mwili ! Maziko hakuna tena !
![](http://3.bp.blogspot.com/-2X5N7vUUSq0/VZHnyxN15HI/AAAAAAADuyU/7j9vE2UUA0A/s640/wanandugu%2Bwa%2BBi.Hatujuani%2Bwakiwa%2Bmsibani.jpg)
Maajabu ya mwenyezi Mungu yametokea msibani huko mjini Bagamoyo katika eneo lijukanalo kama Majani Mapana jana baada ya mwanamama moja aletambulika kwa jina Bi.Hatujuani kuthibitishwa kuwa umauti umekuta au amekufa hatimaye amepumua wakati wakimkosha na kwa matayarisho ya kuvikwa sanda ambayo tayari ilikwisha shonwa,
![](http://3.bp.blogspot.com/-Zh6jakuunoo/VZHnyvnLG-I/AAAAAAADuyQ/upnU78xBX3M/s640/baadhi%2Bya%2Bwakazi%2Bwa%2Bmajani%2Bmapana%2B%252CBagamoyo%2Bwakiwa%2Bmsibani%2Bna%2Bkustushwa%2Bkuwa%2Bmaiti%2Byu%2Bhai.jpg)
10 years ago
Habarileo10 May
Laizer ajitokeza kupambana na Lema
JOTO la ubunge kwenye jimbo la Arusha Mjini, limezidi kupanda mara baada ya kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Arusha, Francis Laizer kutangaza rasmi kuwania ubunge katika jimbo hilo, endapo akipewa ridhaa na chama chake kugombea.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-t0q2zD8CHYM/Xq1v5_adRGI/AAAAAAALo2A/NddrkexQq3YkjKAWDRN_NVUX_9xPIp_iwCLcBGAsYHQ/s72-c/2020-05-02t000522z_1633412141_rc20gg9sf4q5_rtrmadp_3_north-korea-kim_0.webp)
KIONGOZI WA KOREA KASKAZINI AJITOKEZA HADHARANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-t0q2zD8CHYM/Xq1v5_adRGI/AAAAAAALo2A/NddrkexQq3YkjKAWDRN_NVUX_9xPIp_iwCLcBGAsYHQ/s400/2020-05-02t000522z_1633412141_rc20gg9sf4q5_rtrmadp_3_north-korea-kim_0.webp)
Shirika la habari la KCNA limesema wafanyakazi katika kiwanda cha mbolea walianza ," kushangiliia kwa nguvu" wakimshangilia Kim, ambao shirika hilo lilisema , analiongoza taifa hilo katika mapambano ya ujenzi wa uchumi wa kujitegemea kutokana na "upepo mkali unaokuja" kutoka kwa "nguvu...
9 years ago
Habarileo20 Aug
Mwajuma ajitokeza kuwania Urais UPDP Zanzibar
MGOMBEA wa urais wa Zanzibar kwa tiketi ya chama cha UPDP, Mwajuma Ali Khamis amejitokeza katika Ofisi za Tume ya Uchaguzi kuchukua fomu. Alikabidhiwa fomu na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar, Jecha Salum Jecha.
5 years ago
CCM BlogMWANAMKE WA KWANZA AJITOKEZA KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR
Kada wa Chama cha Mapinduzi Mhe. Mwatum Mussa Sultan akiwa Mwanamke wa Kwanza kuchukua Fomu ya Kugombea Urais wa Zanzibar akiwa ni Mwanachama wa 11 kujitokeza kuchukua Fomu leo katika Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar. Akionesha mkoba ukiwa na Fomu za Kugombea Urais wa Zanzibar baada ya kukabidhiwa akiwaonesha Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali waliohudhuria hafla hiyo leo.
11 years ago
Mwananchi02 Jun
Mumewe Flora Mbasha ajitokeza, afichua siri
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YkTQKvQouuq-4t*Nt2L4ECX2bCLU3Bf3g6-y-pJK08-Tt4HnekFM9hdhWDaEhIrtiJcKDgCTwj9N5l4TVt63tQB3pY0CAxGS/MAAJABU.jpg)
KIJANA AJITOKEZA KWENYEZA KWENYE MAZISHI YAKE
11 years ago
Michuzi12 Feb
MWALIMU AJITOKEZA KUOMBA UBUNGE KALENGA KUPITIA CHADEMA