KIZAA ZAA BAGAMOYO ALIYEDHANIWA MAITI APUMUA WAKATI AKIKOSHWA!
![](http://3.bp.blogspot.com/-2X5N7vUUSq0/VZHnyxN15HI/AAAAAAADuyU/7j9vE2UUA0A/s72-c/wanandugu%2Bwa%2BBi.Hatujuani%2Bwakiwa%2Bmsibani.jpg)
Hospitali ya wilaya Bagamoyo ilithibitisha kuwa mgonjwa ni mauti !
Jasho lilianza kumtoka na joto kali la mwili ! Maziko hakuna tena !Bagamoyo,
Maajabu ya mwenyezi Mungu yametokea msibani huko mjini Bagamoyo katika eneo lijukanalo kama Majani Mapana jana baada ya mwanamama moja aletambulika kwa jina Bi.Hatujuani kuthibitishwa kuwa umauti umekuta au amekufa hatimaye amepumua wakati wakimkosha na kwa matayarisho ya kuvikwa sanda ambayo tayari ilikwisha shonwa,Bi.Hatujuani aliugua kwa muda na...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili04 Apr
Picha ya Rais Obama yazua kizaa zaa
11 years ago
Michuzi30 Apr
BASI LA SUMRY LAUA WATU 1( WAKATI WAKISITIRI MAITI ILIYOGONGWA NA GARI SINGIDA.
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/zSaPxWsKXfQnP_rz2cFLYndr134Dze4FNZsmYL6Nv3mndXZwS2NMYLv-SGEDJlBvl9NhHS1U3ryBQX_DQ5mFQVw7dmr7Uu6UlPDX4137x1YabIcpC82RJQ=s0-d-e1-ft#http://www.habarileo.co.tz/images/resized/images/sumry_300_183.jpg)
WATU 19 wakiwemo askari Polisi wanne wamepota maisha katika ajali ya barabarani, wakati basi linalomilikiwa na Kampuni ya Sumry, lilipopamia watu hao wakati wakimsitiri mtembea kwa miguu, aliyekufa kwa kugongwa na gari lisilofahamika. Ajali hiyo ilitokea usiku wa kuamkia jana katika Kijiji cha Utaho, kilometa 20 nje ya Mji wa Singida katika Barabara Kuu ya Singida Dodoma.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Singida, Kamishina Msaidizi Mwandamizi, Geofrey Kamwela, alisema jana kuwa...
11 years ago
Habarileo25 Apr
Aliyedhaniwa kufa ajitokeza
KATIKA hali isiyotarajiwa umati wa wakazi wa Mji wa Mpanda mkoani Katavi ulitimua mbio msibani baada ya mwendesha bodaboda Mohamed Kalyalya (24) aliyedhaniwa kuwa amekufa kujitokeza msibani hapo akiwa hai.
9 years ago
BBCSwahili13 Oct
Aliyedhaniwa amefariki aamka kabla ya upasuaji
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dnCWvahr*CpMxqCMzigGM7*eRJWeleQQCPBXt-ePpSdJ8XaQz67gJe1Ak*7swzkqk-v89hIAZI8kWpkqIlMGx2qbwM6a3*fP/DarasalamuzikikatikatahasisiyashuleyamuzikiReutlingenJhikomananakubalikakimataifa.jpg?width=650)
JHIKOMAN ATEMBELEA SHULE YA MUZIKI YA REUTLINGEN,UJERMANI : WANAFUNZI NA WAKUU WA SHULE WAAHIDI KUTEMBELEA BAGAMOYO ! KILA WAKATI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-a-FzCyHE-C*snTBrYpyQcMwspEWnoZi2aU5frnkZHgwnviBQnKbODCFKZsLO7vOz1TGZjZxh2ZKQZ*bv3-0lIqxtuvAFyih/wema.jpg?width=650)
MAMA KANUMBA: WEMA ZAA FASTA
11 years ago
Tanzania Daima29 Mar
Ni nini maana ya shughuli za kimwili?
WIKI iliyopita makala ililenga sababu na faida za mazoezi na hatari ya kukaa bila zoezi au maisha ya kutojishughulisha. Makala ya wiki hii tutajadili nini maana ya shughuli za kimwili ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Dyivh8oZtEzwojALzilSUzHpJc84bZ42xqmU7TLRNMyzjpTgNeNCmPT9mtpcZVZoy8chp4ti1zPJH7kWHpkYJkEMA6MBtYot/150000080.jpg)
HONGERA†‬WEMAâ€, ‬DIAMOND ACHA TABIA ZA†‬KISWAZI