Aliyedhaniwa amefariki aamka kabla ya upasuaji
Mwanamume aliyedhaniwa kuwa alikuwa amefariki aliamka muda mfupi kabla ya kufanyiwa upasuaji katika chumba kimoja cha kuhifadhia maiti India.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi06 Feb
Aamka asubuhi na kukuta miguu imekatika
Mmkazi wa Ludewa, Mkoani Njombe, Yohana Nkwera (54) anadai kukatika miguu katika hali ya kushangaza.
11 years ago
Habarileo25 Apr
Aliyedhaniwa kufa ajitokeza
KATIKA hali isiyotarajiwa umati wa wakazi wa Mji wa Mpanda mkoani Katavi ulitimua mbio msibani baada ya mwendesha bodaboda Mohamed Kalyalya (24) aliyedhaniwa kuwa amekufa kujitokeza msibani hapo akiwa hai.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-2X5N7vUUSq0/VZHnyxN15HI/AAAAAAADuyU/7j9vE2UUA0A/s72-c/wanandugu%2Bwa%2BBi.Hatujuani%2Bwakiwa%2Bmsibani.jpg)
KIZAA ZAA BAGAMOYO ALIYEDHANIWA MAITI APUMUA WAKATI AKIKOSHWA!
Hospitali ya wilaya Bagamoyo ilithibitisha kuwa mgonjwa ni mauti !
Jasho lilianza kumtoka na joto kali la mwili ! Maziko hakuna tena !
Bagamoyo,
Maajabu ya mwenyezi Mungu yametokea msibani huko mjini Bagamoyo katika eneo lijukanalo kama Majani Mapana jana baada ya mwanamama moja aletambulika kwa jina Bi.Hatujuani kuthibitishwa kuwa umauti umekuta au amekufa hatimaye amepumua wakati wakimkosha na kwa matayarisho ya kuvikwa sanda ambayo tayari ilikwisha shonwa,
Bi.Hatujuani aliugua kwa muda na...
Jasho lilianza kumtoka na joto kali la mwili ! Maziko hakuna tena !
![](http://3.bp.blogspot.com/-2X5N7vUUSq0/VZHnyxN15HI/AAAAAAADuyU/7j9vE2UUA0A/s640/wanandugu%2Bwa%2BBi.Hatujuani%2Bwakiwa%2Bmsibani.jpg)
Maajabu ya mwenyezi Mungu yametokea msibani huko mjini Bagamoyo katika eneo lijukanalo kama Majani Mapana jana baada ya mwanamama moja aletambulika kwa jina Bi.Hatujuani kuthibitishwa kuwa umauti umekuta au amekufa hatimaye amepumua wakati wakimkosha na kwa matayarisho ya kuvikwa sanda ambayo tayari ilikwisha shonwa,
![](http://3.bp.blogspot.com/-Zh6jakuunoo/VZHnyvnLG-I/AAAAAAADuyQ/upnU78xBX3M/s640/baadhi%2Bya%2Bwakazi%2Bwa%2Bmajani%2Bmapana%2B%252CBagamoyo%2Bwakiwa%2Bmsibani%2Bna%2Bkustushwa%2Bkuwa%2Bmaiti%2Byu%2Bhai.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-4zkn5JqwatE/VFctPasohgI/AAAAAAAARYo/l90KFPEj_5A/s72-c/INDEPENDENCE%2BNEW%2B1.jpg)
ZIMEBAKI SIKU 4 TU KABLA YA TICKET ZA DIAMOND UHURU PARTY SHOW HAZIJAPANDA,CHUKUA TICKET ZAKO KABLA YA NOV 10 KWA $75 TU.....BAADAYA NOV 10 ZITAKUWA $100
![](http://2.bp.blogspot.com/-4zkn5JqwatE/VFctPasohgI/AAAAAAAARYo/l90KFPEj_5A/s1600/INDEPENDENCE%2BNEW%2B1.jpg)
LIVE SHOW *DIAMOND PLATNUMZ
LIVE SHOW TANZANIA ALL STARS
RED CARPET WITH CELEBRITY HOST
PROFESSIONAL PHOTOGRAPHER
CASH BAR
...
10 years ago
BBCSwahili29 Jul
Kiongozi wa kundi la Taleban amefariki
Habari kutoka kwa serikali ya Afghanistan zimeiambia BBC kuwa kinara mkuu wa kundi la wapiganaji wa Taliban, Mullah Omar amefariki.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/GWkEmfliqss/default.jpg)
BANZA STONE AMEFARIKI DUNIA
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/11252759_1270562932958122_6544080775110454403_n.jpg)
Mwanamuziki wa muziki wa bendi Ramadhan Masanja maarufu kama ‘Banza stone’ amefariki dunia nyumbani kwao hivi punde baada ya kuugua kwa muda mrefu.R.I.P Banza Stone
9 years ago
GPLWAZIRI ABDALLAH KIGODA AMEFARIKI DUNIA
Waziri wa viwanda na Biashara, Abdalah Kigoda (Mb) enzi za uhai wake.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-83KYd1SYlJI/XsoIHRbRlAI/AAAAAAALraI/rsxTY1qQkfk8cywehjrsx3RWW0C8Ua8RwCLcBGAsYHQ/s72-c/NJE.jpg)
TANZIA : BABU NJENJE AMEFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-83KYd1SYlJI/XsoIHRbRlAI/AAAAAAALraI/rsxTY1qQkfk8cywehjrsx3RWW0C8Ua8RwCLcBGAsYHQ/s640/NJE.jpg)
Taarifa iliyoifikia Globu ya Jamii asubuhi hii inaeleza kuwa, Mwanamuziki mkongwe wa Bendi ya Kilimanjaro maarufu kama wana njenje, Mabrouk Hamis Omar almaarufu kama Babu Njenje amefariki dunia leo jijini Dar es salaam baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Akizungumza nasi kwa njia ya simu, Mmoja wanamuziki wa bendi hiyo, John Kitime amesema "Ni kweli Babu Njenje amefariki na sasa naelekea pale alipokuwa akiishi, Mtaa wa Mindu Upanga ambapo taratibu zitafanyika".
Babu Njenje atakumbukwa kwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vuUh0rgUyT5Rjg68STppIjA7V6RVRbBqF85Saw6VMEn7I5ThxcLII-WkQaJif6OduhkTWvfcNiuR9Jrn2I53bDXyMlyKiO-5/10246576_731165273602347_2134034104535542993_n.jpg?width=600)
TANZIA: GWAMAKA MWAMAKULA AMEFARIKI DUNIA
Marehemu Gwamaka Mwamakula amefariki dunia katika ajali ya gari. KIJANA anayejulikana kwa jina la Gwamaka Mwamakula amefariki dunia katika ajali ya gari alipokuwa akitoka kijijini Manyara kwenda mjini Kateshi usiku wa kuamkia jana. Marehemu aliyekuwa akifanya kazi katika jeshi la polisi mkoani Manyara, alipata ajali hiyo baada ya gari lake dogo alilokuwa akiliendesha kugongwa na lori aina ya Fuso ambapo baada ya kupelekwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania