TANZIA: GWAMAKA MWAMAKULA AMEFARIKI DUNIA
![](http://api.ning.com:80/files/vuUh0rgUyT5Rjg68STppIjA7V6RVRbBqF85Saw6VMEn7I5ThxcLII-WkQaJif6OduhkTWvfcNiuR9Jrn2I53bDXyMlyKiO-5/10246576_731165273602347_2134034104535542993_n.jpg?width=600)
Marehemu Gwamaka Mwamakula amefariki dunia katika ajali ya gari. KIJANA anayejulikana kwa jina la Gwamaka Mwamakula amefariki dunia katika ajali ya gari alipokuwa akitoka kijijini Manyara kwenda mjini Kateshi usiku wa kuamkia jana. Marehemu aliyekuwa akifanya kazi katika jeshi la polisi mkoani Manyara, alipata ajali hiyo baada ya gari lake dogo alilokuwa akiliendesha kugongwa na lori aina ya Fuso ambapo baada ya kupelekwa...
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-83KYd1SYlJI/XsoIHRbRlAI/AAAAAAALraI/rsxTY1qQkfk8cywehjrsx3RWW0C8Ua8RwCLcBGAsYHQ/s72-c/NJE.jpg)
TANZIA : BABU NJENJE AMEFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-83KYd1SYlJI/XsoIHRbRlAI/AAAAAAALraI/rsxTY1qQkfk8cywehjrsx3RWW0C8Ua8RwCLcBGAsYHQ/s640/NJE.jpg)
Taarifa iliyoifikia Globu ya Jamii asubuhi hii inaeleza kuwa, Mwanamuziki mkongwe wa Bendi ya Kilimanjaro maarufu kama wana njenje, Mabrouk Hamis Omar almaarufu kama Babu Njenje amefariki dunia leo jijini Dar es salaam baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Akizungumza nasi kwa njia ya simu, Mmoja wanamuziki wa bendi hiyo, John Kitime amesema "Ni kweli Babu Njenje amefariki na sasa naelekea pale alipokuwa akiishi, Mtaa wa Mindu Upanga ambapo taratibu zitafanyika".
Babu Njenje atakumbukwa kwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6ovfEf3pFLf*oQbPHC2by35YY*-FqtUtx43oX2zjiLFVY1pwJUFZx0ybIu4NqUB-EugE6XBhRf77Wd5iVW1126brFH2sCsWA/R.I_.P_.jpg?width=650)
TANZIA: MUIGIZAJI MZEE MANENTO AMEFARIKI DUNIA
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/GWkEmfliqss/default.jpg)
BANZA STONE AMEFARIKI DUNIA
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/11252759_1270562932958122_6544080775110454403_n.jpg)
Mwanamuziki wa muziki wa bendi Ramadhan Masanja maarufu kama ‘Banza stone’ amefariki dunia nyumbani kwao hivi punde baada ya kuugua kwa muda mrefu.R.I.P Banza Stone
9 years ago
GPLWAZIRI ABDALLAH KIGODA AMEFARIKI DUNIA
10 years ago
Bongo Movies30 Oct
MSIBA : Muigizaji Mzee Manento amefariki dunia.
Habari zilizotufukia hivi punde zinasema kuwa muigizaji Mzee Manento amefariki dunia hapo jana. Bado tunafuatilia kwa karibu habari hizi nz chanzo ch kifo cha mzee wetu huyu.
Mzee Mnento atakumbukwa hasa kwa filamu alizocheza kiumakin na marehemu Kanumba. Hero of the church, Dar to lagos,fake pastor n.k pumzika kwa Amani
Mungu ailaze Roho ya maerehemu mahali pema peponi amina.
9 years ago
Eatv![](https://fbcdn-photos-d-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xlp1/v/t1.0-0/s130x130/10449466_1343764422304639_2677089235026161154_n.jpg?oh=0c6a49588b4f31dba6f47d306669bd4d&oe=568AA299&__gda__=1456597857_adc11ee2aeaa30c64b03d35caf373139)
Mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe amefariki dunia
10 years ago
Dewji Blog09 Nov
Msanii wa muziki wa dansi nchini Amigolas amefariki dunia
Msanii aliyewahi kuwa mwimbaji wa Bendi ya African Stars International ‘Twanga Pepeta’, Khamis Kayumbu ‘a.k.a Amigolas (pichani) amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alikokuwa amelazwa akipatiwa matibabu
MOblog inajaribu kufanya mawasiliano ya karibu kwa njia ya simu na mjomba wa marehemu Bw. Rajab Ahmed ili kujua marehemu alikuwa akisumbuliwa na maradhi gani.
MOblog inaunga na familia ya marehemu katika kuombeleza kifo cha Khamis Kayumbu na mwenyezi...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-HxhISKJPWSQ/XnhVh-qVk9I/AAAAAAACJJA/aycwqgshgWkhQddyENKGi5IdNFxXpmsigCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200323_091307_393.jpg)
MBUNGE WA ZAMANI WA UKONGA DK. MAKONGORO MAHANGA AMEFARIKI DUNIA
![](https://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/mahanga.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-HxhISKJPWSQ/XnhVh-qVk9I/AAAAAAACJJA/aycwqgshgWkhQddyENKGi5IdNFxXpmsigCLcBGAsYHQ/s200/IMG_20200323_091307_393.jpg)
Katibu wa Chadema Mkoa wa kichama hicho wa Ilala, Jerome Olomi amethibitisha na kusema Dk. Makongoro ambaye alikuwa Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa huo wa Kichama Jijini Dar es Salaam, amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo Jumatatu, Machi 23, 202