TANZIA: MUIGIZAJI MZEE MANENTO AMEFARIKI DUNIA
![](http://api.ning.com:80/files/6ovfEf3pFLf*oQbPHC2by35YY*-FqtUtx43oX2zjiLFVY1pwJUFZx0ybIu4NqUB-EugE6XBhRf77Wd5iVW1126brFH2sCsWA/R.I_.P_.jpg?width=650)
Msanii wa filamu, Mzee Manento amefariki dunia hapo jana. Bado tunafuatilia kwa karibu kujua chanzo cha kifo cha mzee wetu huyu. Baadhi ya filamu alizocheza Mzee Mnento ni Hero of the church, Dar to lagos, Fake pastor n.k Mungu ailaze Roho ya maerehemu mahali pema peponi amina.
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies30 Oct
MSIBA : Muigizaji Mzee Manento amefariki dunia.
Habari zilizotufukia hivi punde zinasema kuwa muigizaji Mzee Manento amefariki dunia hapo jana. Bado tunafuatilia kwa karibu habari hizi nz chanzo ch kifo cha mzee wetu huyu.
Mzee Mnento atakumbukwa hasa kwa filamu alizocheza kiumakin na marehemu Kanumba. Hero of the church, Dar to lagos,fake pastor n.k pumzika kwa Amani
Mungu ailaze Roho ya maerehemu mahali pema peponi amina.
10 years ago
Michuzi30 Oct
TANZIA:MUIGIZAJI WA FILAMU NCHINI MZEE MANENTO AFARIKI DUNIA.
![](http://api.ning.com/files/6ovfEf3pFLf*oQbPHC2by35YY*-FqtUtx43oX2zjiLFVY1pwJUFZx0ybIu4NqUB-EugE6XBhRf77Wd5iVW1126brFH2sCsWA/R.I_.P_.jpg?width=650)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vuUh0rgUyT5Rjg68STppIjA7V6RVRbBqF85Saw6VMEn7I5ThxcLII-WkQaJif6OduhkTWvfcNiuR9Jrn2I53bDXyMlyKiO-5/10246576_731165273602347_2134034104535542993_n.jpg?width=600)
TANZIA: GWAMAKA MWAMAKULA AMEFARIKI DUNIA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-83KYd1SYlJI/XsoIHRbRlAI/AAAAAAALraI/rsxTY1qQkfk8cywehjrsx3RWW0C8Ua8RwCLcBGAsYHQ/s72-c/NJE.jpg)
TANZIA : BABU NJENJE AMEFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-83KYd1SYlJI/XsoIHRbRlAI/AAAAAAALraI/rsxTY1qQkfk8cywehjrsx3RWW0C8Ua8RwCLcBGAsYHQ/s640/NJE.jpg)
Taarifa iliyoifikia Globu ya Jamii asubuhi hii inaeleza kuwa, Mwanamuziki mkongwe wa Bendi ya Kilimanjaro maarufu kama wana njenje, Mabrouk Hamis Omar almaarufu kama Babu Njenje amefariki dunia leo jijini Dar es salaam baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Akizungumza nasi kwa njia ya simu, Mmoja wanamuziki wa bendi hiyo, John Kitime amesema "Ni kweli Babu Njenje amefariki na sasa naelekea pale alipokuwa akiishi, Mtaa wa Mindu Upanga ambapo taratibu zitafanyika".
Babu Njenje atakumbukwa kwa...
10 years ago
CloudsFM30 Oct
MSANII MZEE MANENTO AFARIKI DUNIA
MSANII wa filamu za Kibongo, Mzee Manento amefariki dunia jana jioni kiwa jijini Dar es Salaam baada ya kuugua kwa muda mrefu ugonjwa wa moyo.
Mzee Manento atakumbukwa katika filamu alizocheza kama 'Hero of the Church', 'Dar to Lagos', 'Fake Pastor' na nyinginezo.
11 years ago
Bongo Movies17 Jun
SAD News: Muigizaji Mkongwe Nchini Mzee Small Afariki Dunia.
Mwigizaji maarurfu nchini Said Ngamba "Mzee Small" amefariki dunia usiku wa kuamkia leo baada ya kupatwa na pressure na kukimbizwa hospitali ya taifa Muhimbili. Muigizaji huyo mkongwe kabla ya kifo chake aliugua kwa muda mrefu pia. Mzee Small ni mmoja wa wasanii wa mwazo katika sanaa ya maigizo nchini kwenye enzi zake akiwa ametamba na wasanii wenzake wakongwe kama vile Bi.Chau na King Majuto, ni mmoja wa wasanii ambao mchango wake katika sanaa ya maigizo na tasnia ya filamu nchini hauwezi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZA1MtBJn750/XsQ3W9D3y4I/AAAAAAALq14/Syaor53TJCst7e4JU6_kxvmzs4fxwZUIQCLcBGAsYHQ/s72-c/chris.jpg)
TANZIA: Mzee Edward Mfinanga wa Mworombo Arusha afariki dunia
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZA1MtBJn750/XsQ3W9D3y4I/AAAAAAALq14/Syaor53TJCst7e4JU6_kxvmzs4fxwZUIQCLcBGAsYHQ/s400/chris.jpg)
Mipango ya Mazishi inafanyika kwa Mworombo, Arusha. Habari ziwafikie ndugu, jamaa, majirani na Marafiki popote pale walipo.
BWANA ALITOA, BWANA AMETWAA.
JINA LAKE NA LIHIMIDIWEAMINA