Picha ya Rais Obama yazua kizaa zaa
Ikulu ya Whitehouse imeikashifu kampuni ya simu ya Samung kwa kutumia picha ya Rais Barack Obama aliyojipiga na mchezaji maarufu nchini Marekani David Ortiz kama tangazo la kibiashara.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cPakA0chAEy2DIie-DcPw*n7-ccK3tGrCdEs9jWKljdZR4AgfUDzLfTzMZlgC0AmKXzddvp4KDCH6GidRi8fd56eeyURlaZh/OBAMANAORTIZ.jpg?width=650)
PICHA YA RAIS OBAMA NA ORTIZ YAZUA KIZAAZAA
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-2X5N7vUUSq0/VZHnyxN15HI/AAAAAAADuyU/7j9vE2UUA0A/s72-c/wanandugu%2Bwa%2BBi.Hatujuani%2Bwakiwa%2Bmsibani.jpg)
KIZAA ZAA BAGAMOYO ALIYEDHANIWA MAITI APUMUA WAKATI AKIKOSHWA!
Jasho lilianza kumtoka na joto kali la mwili ! Maziko hakuna tena !
![](http://3.bp.blogspot.com/-2X5N7vUUSq0/VZHnyxN15HI/AAAAAAADuyU/7j9vE2UUA0A/s640/wanandugu%2Bwa%2BBi.Hatujuani%2Bwakiwa%2Bmsibani.jpg)
Maajabu ya mwenyezi Mungu yametokea msibani huko mjini Bagamoyo katika eneo lijukanalo kama Majani Mapana jana baada ya mwanamama moja aletambulika kwa jina Bi.Hatujuani kuthibitishwa kuwa umauti umekuta au amekufa hatimaye amepumua wakati wakimkosha na kwa matayarisho ya kuvikwa sanda ambayo tayari ilikwisha shonwa,
![](http://3.bp.blogspot.com/-Zh6jakuunoo/VZHnyvnLG-I/AAAAAAADuyQ/upnU78xBX3M/s640/baadhi%2Bya%2Bwakazi%2Bwa%2Bmajani%2Bmapana%2B%252CBagamoyo%2Bwakiwa%2Bmsibani%2Bna%2Bkustushwa%2Bkuwa%2Bmaiti%2Byu%2Bhai.jpg)
11 years ago
BBCSwahili16 Apr
Picha ya Rais Kim Jong-Un yazua mgogoro
10 years ago
Mwananchi08 Feb
Kauli ya Obama kuhusu Ukristo yazua kizaazaa
9 years ago
Bongo514 Sep
Rais Obama abandika picha aliyopiga na Sauti Sol wakicheza ‘Sura Yako’ kwenye ukuta wa White House
10 years ago
Bongo Movies11 Dec
Picha Ya Lulu Na Idriss Yazua Mjadala
Ikiwa ni takribani siku Nne sasa tangu mtanzania, Idris Sultan kuibuka mshind kwenye shindao la Big Brother Africa (BBA ) hotshots 2014, na kunyakua kiasi cha zaidi ya milioni 500. Kama ilivyokuwa kwa watanzania wengi kumuunga mkono kuanzia kwenye kumuombea kura hadi kumpongeza aliposhinda, hali ilikuwa tofauti pale mwanadada Elizabeth Michael aka Lulu ambe ni muigizaji maarufu wa filamu, alipompongeza kwakuwepa picha akiwa na mshiriki huyo na kumpongeza kwa kuandika “He did...
10 years ago
Bongo Movies06 Jun
Picha ya Wema Sepetu na ‘Mchumba’ wa Linnah Yazua Utata
Picha iliyosambaa mtandaoni ya Staa wa Bongo Movie,Wema Sepetu akiwa na aliyekuwa mchumba wa msanii wa Bongo Fleva,Linnah Sanga aitwaye Naga imezua utata baada ya mashabiki wa mwigizaji huyo kuhisi huenda amejiweka kwa mwanaume huyo baada ya kuachana na aliyekuwa mpenzi wake Staa wa Bongo Fleva,Diamond Platinumz.
Taarifa kutoka ‘kitaani’zinasema kuwa wawili hao wameingia kwenye uhusiano wa kimapenzi ili kulipiza kisasi cha miaka kadhaa iliyopita baada ya kusemekana kuwa Linnah aliwahi...
10 years ago
CloudsFM26 Feb
Picha ya Zari akioga bafuni yazua gumzo mtandaoni
Picha ya mpenzi wa Staa wa Bongo Fleva,Diamond Platinum,Zari aliyoipost kwenye Account yake ya Instagram akiwa kwenye bafu akioga imezua gumzo kwenye mitandao huku wengine wakisema kuwa hakupaswa kuweka picha ile na kwamba amejianika na haina maadili.
Haya ni baadhi ya maoni ya mashabiki wakizungumzia picha hiyo: faridahfakhi Noo kinachotia kinyaa ni kwamba haikupaswa ajianike apo ili iweje istoshe kamera zinawastili watu
santamolly1234 ajui kulea bhana amewaacha watoto ug anakuja kula bhata...
10 years ago
BBCSwahili25 Jul
Unamfahamu dadake rais Obama,Auma Obama?